Onhoo,huwajui vizuri hawa wenzio...kakojoa sekunde kama jogoo...eti usimwambie bali umsifu ..eti,"babe wangu,we una pumziii!....waapiii!?
Kukukojolea sekunde saazingine hutokana na wewe mwenyewe dem!
Mtu kaonesha hisia na unaona kabisa jamaa kaingia kingi "kakufia", halafu unaendelea kumzungusha mwaka mzima, unategemea performance ya maana siku mtapokutana?
Kwanza kwa mashoga zako ama kwa kuwadi wake ushamsema vibaya na kumtukana kwamba: "lione, kwanza bayaaa" na msimamo wako kwamba haumtaki!
Jamaa anajiongeza hakati tamaa kukusorolea, mwishowe unamkubali kwa sharti la kumtoza hela kubwa akishindwa aache na mkimalizana asikuzoee!
Jamaa anasikia masharti hayo na anakubali kuyatekeleza, atafanyaje!
Sasa wadhani mwanaume kama huyo atakuwa na utulivu kwenye kinena chako siku atayokupata?
Kutokana na presha kubwa ya kihisia uliyomdhalilishia, waweza kuta jamaa anamwaga huku akilia machozi kama mtoto mdogo kwa kumbukizi hasi za manyanyaso ulomfanyia na siyo kwa hisia za kukupenda kupindukia!
Akienda "sehemu" iliyotulia, mtu huyo huyo mambo atayafanya kimpangilio kwa furaha na kufurahishana, kwa sababu hakuna shinikizo kichwani mwake.
Mwanaume atakojoaje kipumbaf pumbaf kama kuku bila sababu bhana?
Labda awe mgonjwa ambapo suala hilo lina mada yake.
Ogopa sana mwanaume kunyanyaswa kisaikolojia katika mapenzi, hawezi kufanya kwa kiwango cha ubora kwa sababu ulishamtoa kwenye reli ya confidance ukammaliza akaisha!
Kuweni na utu linapokuja suala zima la kupendwa, acheni kuringa na kunyanyasa wanaume!