Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

Wakiume na si dhaifu mbele yao kwa kua sina unyanyasaji wa kubepari natumia terminology sahihi kuwaelekeza hata wakiniona wanapata faraja lkn wewe mkuu utapata shida sana na hizi attitude zako za miaka ya Sabini(70) ambapo ilikua tanzania ya Giza!
Sawa, kuwa na siku njema.
 
Aibu ni hali ya kuona (HAYA)

Udhaifu ni unyonge na huu unyonge unatokana na mabavu ambayo wengi wetu tumekua tukiyaonyesha mbele zao na kujikweza lkn inapofikia tu siku umekosa kidogo mbele yao huwa wanaanza na kukudharau na kisha unakua dhaifu mbele Yao.
Haya unaiona kwasababu ni dhaifu.
 
Umeongea viingi yawezekana yapo meeng tu ya ukwl nakubaliana na ww....lakini pia wanawake ni dhaifu yaaan ndio maana mkiwa tunaoshi kwa kutegemeana mfano Viongoz wa kike huoni wanaforce 50 kwa 50 yaani kama ww ni bora utachaguliwa tu kuwa kiongoz ,ata mfano YAKO apooo juu ya wanaume wapo pia wanawake wa dizaini hizo hizo na kuonekana dhaifu na wanaume

La msingi ni kwamba hakuna mwanadamu aliemkamilifu ,,jinsi ulivyomwepesi kuoni madhaifu ya mwenzako na mwenzako ni hivo hivo juu YAKO NOBODY IS PERFECT
 
Feminism [emoji706][emoji706]. Yan mwanaume umekaa unahaikweza mbavu (ya kushoto) eti iuzidi mwili. Mwanamke atabaki kuwa mbarara tu mpaka jua litapochomozea magharibi.
Hay
Umeongea viingi yawezekana yapo meeng tu ya ukwl nakubaliana na ww....lakini pia wanawake ni dhaifu yaaan ndio maana mkiwa tunaoshi kwa kutegemeana mfano Viongoz wa kike huoni wanaforce 50 kwa 50 yaani kama ww ni bora utachaguliwa tu kuwa kiongoz ,ata mfano YAKO apooo juu ya wanaume wapo pia wanawake wa dizaini hizo hizo na kuonekana dhaifu na wanaume



La msingi ni kwamba hakuna mwanadamu aliemkamilifu ,,jinsi ulivyomwepesi kuoni madhaifu ya mwenzako na mwenzako ni hivo hivo juu YAKO NOBODY IS PERFECT
upo sahihi mkuu
 
Wakiume na si dhaifu mbele yao kwa kua sina unyanyasaji wa kubepari natumia terminology sahihi kuwaelekeza hata wakiniona wanapata faraja lkn wewe mkuu utapata shida sana na hizi attitude zako za miaka ya Sabini(70) ambapo ilikua tanzania ya Giza!

Kuwa makini usije ukaanza kuwa na mambo ya kike.

Ngoja nikwambie kitu, sasa hivi kumekuwa na aina fulani hivi ya campaign kwenye jamii yakuwafanya wanaume waone ni sawa tu kuact kama wanawake.

Hiyo si sawa. Utapotea
 
Kwa taarifa yako tu aliyemuumba Ke mwenyewe alikiri dhahiri kuwa "KE NI KIUMBE DHAIFU"

Mi ni nani haswa hata nipingane na kauli yake Mungu?
Unaamini katika maandishi lkn hiyo roho bado inaonekana inamashaka, Kitendo cha kutokubalina na hali ilivyo kwa sasa inashiria hali ya udhaifu ulionao.
 
Kuwa makini usije ukaanza kuwa na mambo ya kike.

Ngoja nikwambie kitu, sasa hivi kumekuwa na aina fulani hivi ya campaign kwenye jamii yakuwafanya wanaume waone ni sawa tu kuact kama wanawake.

Hiyo si sawa. Utapotea
Mwanaume rijali ni yule ambaye hana udhaifu kwani anajali na kuzingatia haki na sio mabavu wala ubabe dhidi ya mwanamke na kwakufanya hivyo hautapungukiwa na kitu chochote ila utakua umejiwekea misingi ya kuheshimika na kuaminika pia.
 
Mwanaume rijali ni yule ambaye hana udhaifu kwani anajali na kuzingatia haki na sio mabavu wala ubabe dhidi ya mwanamke na kwakufanya hivyo hautapungukiwa na kitu chochote ila utakua umejiwekea misingi ya kuheshimika na kuaminika pia.

Haki ipi unazungumzia?

Mwanaume lazima uwe mtoa maamuzi kwenye familia au uhusiano uliopo.

Tofauti na hapo wote mtakuwa wanawake na very soon mwanamke ataanza dharau.

Mwanamke hata awe mrembo vipi usisahau kumpeleka kijeshi kimtindo.
 
Unaamini katika maandishi lkn hiyo roho bado inaonekana inamashaka, Kitendo cha kutokubalina na hali ilivyo kwa sasa inashiria hali ya udhaifu ulionao.
Tunaishi na Ke sababu wanatuzaa na kutuzalia tu, mbali na hapo Ke ni dhaifu saaana na tena kizuri zaidi hata wao wenyewe Ke huwa hawajui akili zao zinatakaga nini haswa toka Me wakiwa ktk mahusiano ya mapenzi au ndoa [emoji16]
 
Haki ipi unazingumzia?

Mwanaume lazima uwe mtoa maamuzi kwenye familia au uhusiano uliopo.

Tofauti na hapo wote mtakuwa wanawake na very soon mwanamke ataanza dharau.

Mwanamke hata awe mrembo vipi usisahau kumpeleka kijeshi kimtindo.
Huko kumpeleka kijeshi ndipo unapoonyesha udhaifu wako kwani uliambiwa ukali ndio njia sahihi ya kuelekeza!

Mimi naamini ukiheshimu taratibu zake na yeye atafuata hatua zako lkn unapokoroma ndio unampajitihada za kukudharau na hata kupelekea mahusino kuwa mabovu huenda ikawa ni kwenye shughuli zetu au hata nyumbani...
 
Tunaishi na Ke sababu wanatuzaa na kutuzalia tu, mbali na hapo Ke ni dhaifu saaana na tena kizuri zaidi hata wao wenyewe Ke huwa hawajui akili zao zinatakaga nini haswa toka Me wakiwa ktk mahusiano ya mapenzi au ndoa [emoji16]
Sio kweli wapo wachache ambao kujielewa huwa inawachukua mdaa kidogo lkn wapo wale ambao wamepata kujitambua na wanapamba kwelikweli kuliko hata sisi wanaume!
 
Mfano mwanamke anapotongozwa huona aibu(HAYA)
Ila wananume tukikosea huwa tunadhaulika na kuwa dhaifu
Hakuna aliyekamilifu hata mungu....kwahyo kukosea hakumfanyi mtu kuwa dhaifu.
Strong men are those that fail and wake up stronger.

Na kudharaulika hakumfanyi mtu kuwa dhaifu.
Binadamu anaweza akakudharau tu kwasababu wewe ni dini tofauti na yeye, hiyo itakufanya wewe kuwa dhaifu?

Lakini aibu (soni) ni kitu psychological kabisa ambacho binadamu huwa anafeel hiyo hisia pale ambapo amekutana na binadamu mwingine(haijalishi jinsia) ambaye kiakilini mwake ameamini yupo juu yake na amemuweka katika awkward situation , hivyo aibu ni dalili kubwa ya udhaifu psychologicaly speaking.
 
Hakuna aliyekamilifu hata mungu....kwahyo kukosea hakumfanyi mtu kuwa dhaifu.
Strong men are those that fail and wake up stronger.

Na kudharaulika hakumfanyi mtu kuwa dhaifu.
Binadamu anaweza akakudharau tu kwasababu wewe ni dini tofauti na yeye, hiyo itakufanya wewe kuwa dhaifu?

Lakini aibu (soni) ni kitu psychological kabisa ambacho binadamu huwa anafeel hiyo hisia pale ambapo amekutana na binadamu mwingine(haijalishi jinsia) ambaye kiakilini mwake ameamini yupo juu yake na amemuweka katika awkward situation , hivyo aibu ni dalili kubwa ya udhaifu psychologicaly speaking.
Mcqueenen kidogo unatafari nzuri lkn hicho unachozungumzia wewe ndio kimefanya vijana wengi wa kiume wamepoteza uhalisia wao kwa kushindwa kutofautisha aibu aliyonayo mwanamke kwa mwanaume na kujikuta wao ndio wanakua dhaifu mbele ya mwanamke.

Siku zote kwanza mwanaume hana aibu ilounapaswa kutambua na kwanini mwanaume hana aibu! Ni kwasababu tunajitambua zaidi na kwa haraka kuliko mwanamke hivyo ukisha fahamu hili hutakiwi kuendeshwa na hisia wakati wote wewe unatakiwa kuonyesha misingi yako kama mwanaume mbele ya mwanamke ili kukwepa udhaifu lkn sio kwa kutumia hasira.

Sasa pale unapokuwa unahitaji kuwa mwenye utimamu unatakiwa kuelewa saikolojia ya mwanamke mapema ili kuweza kendana naye iwe ni wakati wa amani au karaha, hapa utaweza epukana na athari mbalimbali za mafarakano baina yako mwanaume kwa mwanamke ndipo na yeye mwanamke anapoanza kuonyesha heshima kwako kwa unakua umeua mizizi ya udhaifu mbele yake.
 
Onhoo,huwajui vizuri hawa wenzio...kakojoa sekunde kama jogoo...eti usimwambie bali umsifu ..eti,"babe wangu,we una pumziii!....waapiii!?
Kukukojolea sekunde saazingine hutokana na wewe mwenyewe dem!

Mtu kaonesha hisia na unaona kabisa jamaa kaingia kingi "kakufia", halafu unaendelea kumzungusha mwaka mzima, unategemea performance ya maana siku mtapokutana?

Kwanza kwa mashoga zako ama kwa kuwadi wake ushamsema vibaya na kumtukana kwamba: "lione, kwanza bayaaa" na msimamo wako kwamba haumtaki!

Jamaa anajiongeza hakati tamaa kukusorolea, mwishowe unamkubali kwa sharti la kumtoza hela kubwa akishindwa aache na mkimalizana asikuzoee!

Jamaa anasikia masharti hayo na anakubali kuyatekeleza, atafanyaje!

Sasa wadhani mwanaume kama huyo atakuwa na utulivu kwenye kinena chako siku atayokupata?

Kutokana na presha kubwa ya kihisia uliyomdhalilishia, waweza kuta jamaa anamwaga huku akilia machozi kama mtoto mdogo kwa kumbukizi hasi za manyanyaso ulomfanyia na siyo kwa hisia za kukupenda kupindukia!

Akienda "sehemu" iliyotulia, mtu huyo huyo mambo atayafanya kimpangilio kwa furaha na kufurahishana, kwa sababu hakuna shinikizo kichwani mwake.

Mwanaume atakojoaje kipumbaf pumbaf kama kuku bila sababu bhana?

Labda awe mgonjwa ambapo suala hilo lina mada yake.

Ogopa sana mwanaume kunyanyaswa kisaikolojia katika mapenzi, hawezi kufanya kwa kiwango cha ubora kwa sababu ulishamtoa kwenye reli ya confidance ukammaliza akaisha!

Kuweni na utu linapokuja suala zima la kupendwa, acheni kuringa na kunyanyasa wanaume!
 
wanawake wamepewa vitobo na utamu wa mwanaume, wakikasilika basi Mwanamme hawezi kupata utamu mwisho wasiku inabidi mwanaume na ubabe wake wote akubali kupiga goti.
 
Unawasaidia haki sawa kuwasemea. Jambo zuri kuwa na ushirikiano! Stori yako ina mtizamo wa upande mmoja though...ukija kidini ni viceversa.
 
Back
Top Bottom