Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Interesting, mkishazoeana tu ule moto wa mawasiliano full time unakata. Baada ya hapo mwanamke anakua mpweke kihisia mpaka anaweza kupata mchepuko ambaye ana time ya kutosha for her.
Wakizoeana tena na huyo mchepuko, upweke tena na anakua kama yatima upya...circle inaenda hvohvo....mchepuko kasalitiwa😂😂 mapenzi ni somo gumu wazee nyieee weee🤭
 
Baadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂
Ila ss hivi nimekua nimeacha, hata kususa nimeacha.!!

Nilikuwa nikiandika msg sio gazeti Bali ni waraka wa mtume Paulo kwa watu wote 🤣🤣

Alivyo kichaa hasomi anafuta basi mimi naendeleza najua napiga kwenye mshono kumbe najichosha bure.!! 🤣🤣
Siku niliyojua nikavunja simu yake
Kumbe nawewe huwa unazama deep😁
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
What
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
the party is over when cake is eaten! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Baadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂
Ila ss hivi nimekua nimeacha, hata kususa nimeacha.!!

Nilikuwa nikiandika msg sio gazeti Bali ni waraka wa mtume Paulo kwa watu wote 🤣🤣

Alivyo kichaa hasomi anafuta basi mimi naendeleza najua napiga kwenye mshono kumbe najichosha bure.!! 🤣🤣
Siku niliyojua nikavunja simu yake
Tabuyote ya nn😃😃ila hasira bhana
 
Kabla hatujakupata hua tunajifanya wajinga sana tutapiga simu muda wote dekeza sana, sms za hapa na pale hata ukirespond kwa mapozi sawa tuu cha muhimu mission iwe accomplished, ukishachanua mapaja baasi tunarelax sasa wewe ndio uanze kuteseka sasa kutuma sms za malalamiko😁😁
 
Kabla hatujakupata hua tunajifanya wajinga sana tutapiga simu muda wote dekeza sana, sms za hapa na pale hata ukirespond kwa mapozi sawa tuu cha muhimu mission iwe accomplished, ukishachanua mapaja baasi tunarelax sasa wewe ndio uanze kuteseka sasa kutuma sms za malalamiko😁😁
Unajifanya kuchangamka eeeh!!
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mhhh, endelea kumfanya mwanamime kuwa ATM yako. Utashangaa mpaka ushangae. Kwani kaka yako huyo?
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Hata SGR watu wanaikimbilia sana lakn baada ya muda utasikia wanasema wamemiss kupita Gairo, Dumila na Chalinze so wanataka mabasi
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mission ikiwa imekamilika uhangaike nini sasa lengo lishatimia kukuweka kwenye himaya ni zamu yako sasa kumuhudumia mume hiyo sio kwa binadamu hata kwa wanyama jogoo anakuwekea mchele ukila anakukula kisha anakua busy
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuku ni wako. Manati ya nini?
 
Huwa tunawapenda sana sema unakuta hatuna kingine (especially hizo mbwembwe unazotaka) cha zaidi maana vyote tumefanya, kwahiyo kinachotufanya tuendelee kuwa pamoja inakuwa ni chemistry na characters zetu tu, na hapo ndipo wanaume tunaamua kufukuzia dream goal zetu badala ya kuendekeza mbwembwe za kimapenzi ambazo hazitasaidia for more years to come.

Jiulize mwanaume na mwanamke waliokaa pamoja let's say miaka 2, kuna chochote kipya ambacho mtakuwa hamjafanya.? Mnakuwa mshajuana kuanzia aina ya utani, style za mapenzi zote, reactions juu ya issues mbalimbali....kwahiyo kila kitu anachofanya mwanaume kinaonekana ordinary tu.
Umejibu vizuri sana
 
Back
Top Bottom