Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Tulizinguana hiyo siku hasira nikapasua simu yake, akajifanya jeuri akatoka nikamfata, akaingia kwenye gari nikatafuta mjiwe nikavunja kioo 🤣🤣🤣

Alivyotoka nikakimbia, baadae nikampigia video call aone nguo zake ninavyozichoma moto 😹😹
Mwanaume mwenyewe mfupi km kikombe cha kahawa halafu anisumbue Mxieeeeww
🤣🤣🤣Wii wew kiboko nitakuja unifundishe umafia
 
Ni kweli wajuzi wanasema
Don't chase instead attract him/her
Usikimbize kitu kinachokimia huwez kukipata kamwe bali kivute
Ni Somo pana sana
Chase ni usifukuzie kwa lengo la kukipata ila hii formula inakuwa applied katika every day life kwa wanaume wakati wa kumtongoza mwanamke
 
Interesting, mkishazoeana tu ule moto wa mawasiliano full time unakata. Baada ya hapo mwanamke anakua mpweke kihisia mpaka anaweza kupata mchepuko ambaye ana time ya kutosha for her.
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Wanasema wanawake wakipenda wanapenda mmoja ila wakichukizwa na mmoja wanachukia wanaume wote. By the way Wengine hatujaoa kwahyo hatuna ufahamu wa kutosha juu ya hilo. Bas njoo nikuoe naamini si wanaume wote wapo hivyo
 
Huwa haujutii 😃
Baadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂
Ila ss hivi nimekua nimeacha, hata kususa nimeacha.!!

Nilikuwa nikiandika msg sio gazeti Bali ni waraka wa mtume Paulo kwa watu wote 🤣🤣

Alivyo kichaa hasomi anafuta basi mimi naendeleza najua napiga kwenye mshono kumbe najichosha bure.!! 🤣🤣
Siku niliyojua nikavunja simu yake
 
Back
Top Bottom