Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
πππππ wachinjwe xmas
Na hiyo mifupa..? tuchemshe supu ya kongoro au maana nyama hata hawana maskiini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ wachinjwe xmas
Kama kweli ni mpole sema hivi...ππ
Hivi Mimi na huu upole naanzia wapi eti..??
Huyo ni wewe nimezoom nimethibitisha ππππ
Hivi Mimi na huu upole naanzia wapi eti..??
ππππWanawake bhana...
Au unakuta kamtu kananyoa nyusi zote halafu kana ku video call eti kanakuomba hela ya kubandika Nyusi bandia πππ
Kabisa hayo ndio mapenzi bhana na Hao ndio wanaume ππWii hivi viumbe ukivijulia wala havikupi shida ππ
πππ tuwapike hivyo hivyo wanaboa sana.!!ππ
Na hiyo mifupa..? tuchemshe supu ya kongoro au maana nyama hata hawana maskiini...
ππHuyo ni wewe nimezoom nimethibitisha ππ
Sema ww una uvumilivu kidogo, mimi napasua simu kabisaa π€£
Nothing to sayUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushauriniπ₯Ίπ₯Ί
Hahaa π, au kanabandika kucha ili ulete house girl, na akija kanakusingizia unamahusiano nae, wanawake bhanWanawake bhana...
Au unakuta kamtu kananyoa nyusi zote halafu kana ku video call eti kanakuomba hela ya kubandika Nyusi bandia πππ
Noma sana mkuu.. ukute wale wenye Kithembe sasa utasikia "Twende Thamaki Thamaki" ππππππ
Ananyoaa nyusi afu anapaka wanjaaa daah aisee
Nikisikia neno tigo najisikia vibaya na actually sijawahi tumia tigo katika mawasilianoKama kweli ni mpole sema hivi...
"Sijawahi kuukubali mtandao wa tiGO"
Mimi bado nina hasira na wewe balaa, mpaka uniambie ushayafitisha yale 'mambo'...!πππ tuwapike hivyo hivyo wanaboa sana.!!
Siku hizi najiheshimu toka niwajulie ila nilikuwa nakiwasha mpk anawashauri wenzie msioe kabila la kina Lamomy π€£π€£π€£Kabisa hayo ndio mapenzi bhana na Hao ndio wanaume ππ
Kumbe Wii ni bondia π€£π€£π€£Siku hizi najiheshimu toka niwajulie ila nilikuwa nakiwasha mpk anawashauri wenzie msioe kabila la kina Lamomy π€£π€£π€£
ππNoma sana mkuu.. ukute wale wenye Kithembe sasa utasikia "Twende Thamaki Thamaki" ππ
π€£π€£π€£ umeanza halafu kuna kitu ntakwambia tulia utacheka sana.!!Mimi bado nina hasira na wewe balaa, mpaka uniambie ushayafitisha yale 'mambo'...!
Baaaaas! Uzi ufungwe......Kuna kingine?Love is automatic chemistry.
Mseme hamtaki kupendwa?Baaaaas! Uzi ufungwe......Kuna kingine?
Ni kwasababu huwa tunapenda makeup wakinawa uso upendo unaondoka na makeup