Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Usiongee sana kuna mtoto yumo humu usiku huu nimeahidiwa utelezi akiusoma huu uzi wako atasanuka
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Anakuwa amekata tamaa, wakati anakupa attention wewe ulikua huipokei, hakuna mtu asie na moyo wa nyama.
Inauma mno mtu unampa muda yeye anakuchukulia kawaida.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuna kitabu kinaitwa " The subtle of art of not giving a fu<k" ukisoma hicho utajua kinachotakiwa ufanye ni....

The less the fu<k you give, the more the fu<k you get, usimpe sana attention yako mwanaume hadi akaona attention yako yote amechukua. jifunze ku balance equation maana mapenzi wala sio magumu.
 
Tunataka sana tuu, ila tunaakili, siwezi kununua kiatu bila kujaribishia
 
Wanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu amesimama pembeni ya kitanda ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni 😀😀
Nimewahi kuazimwa simu mtu apitie issue fulani hivi mtandaoni, nikatoa password nikajisahau nikapitiwa usingizi, saa nane usiku namulikwa na torch usoni kama nimelala, nilivyoshtuka nilikutana na Varangati la normal txt na DM's za Insta.

Tulikesha hadi asubuhi, maana nafsi ilikuwa inagoma kabisa kulala nisije kumwagiwa maji ya moto😁
 
Chochea mahaba bibie upendwe

Tatizo lenu mkishaolewa mnaona mmeshamaliza kazi

Jiweke katika hali ya kumvutia mumeo na mahaba tele kama enzi za uchumba au ndoa ilipokuwa changa
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuna kitabu kinaitwa " The subtle of art of not giving a fu<k" ukisoma hicho utajua kinachotakiwa ufanye ni....

The less the fu<k you give, the more the fu<k you get, usimpe sana attention yako mwanaume hadi akaona attention yako yote amechukua. jifunze ku balance equation maana mapenzi wala sio magumu.
 
Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.

Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mnatakiwa mtuheshimu,sisi ndio tuwapende!Ndio Maana huyo alikupenda na Sasa kakuoa.
 
Back
Top Bottom