Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 MxieeeewwSasa jimbo nshachukua kampeni za nini tena
Hata kwenye sex nkishamwaga tu
NAMWAMBIA VAA KYUPI UKO SIO UNAKAA UCHI UCHI TU
Usiku mwemaaaaWanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu amesimama pembeni ya kitanda ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni 😀😀
Wii 😂😂Naam 😀
Huyo dada so humbleSasa jimbo nshachukua kampeni za nini tena
Hata kwenye sex nkishamwaga tu
NAMWAMBIA VAA KYUPI UKO SIO UNAKAA UCHI UCHI TU
Anakuwa amekata tamaa, wakati anakupa attention wewe ulikua huipokei, hakuna mtu asie na moyo wa nyama.Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuna kitabu kinaitwa " The subtle of art of not giving a fu<k" ukisoma hicho utajua kinachotakiwa ufanye ni....Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Ushapata mchumb mpya?Usiku mwemaaaa
😀😀😀Usiku mwemaaaa
Nimewahi kuazimwa simu mtu apitie issue fulani hivi mtandaoni, nikatoa password nikajisahau nikapitiwa usingizi, saa nane usiku namulikwa na torch usoni kama nimelala, nilivyoshtuka nilikutana na Varangati la normal txt na DM's za Insta.Wanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu amesimama pembeni ya kitanda ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni 😀😀
Kuna kitabu kinaitwa " The subtle of art of not giving a fu<k" ukisoma hicho utajua kinachotakiwa ufanye ni....Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuna Ile unanuna ili ubembelezwe lakini haubembelezwi
Mnatakiwa mtuheshimu,sisi ndio tuwapende!Ndio Maana huyo alikupenda na Sasa kakuoa.Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
MhUshapata mchumb mpya?