Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko mimi navyowaogopa nyinyi..?Nawaogopa sana niny viumbe
😂😂😂 wachinjwe xmasMen are hunters by nature..!!
Huo muda wanahamishia chimbo jingine kufanya campaign, huwa wanadai hawataki tactics zao za kutongoza zipungue makali, hivyo wanazifanyia mazoezi..!!😂😂
Kwanini mtuonee huruma? Si kila mtu atapigwa matukio.
Jioneeni huruma wenyewe ambao tayari mmepigwa matukio, sisi bado 😂
Zingatia kula vizuri na kulala vizuri mamyUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuliko mimi navyowaogopa nyinyi..?
Wanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu amesimama pembeni ya kitanda ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni 😀😀Tunaogopana
Naam 😀Uliona wapi mbunge akiapishwa anarudi tena kupiga kampeni??
Imeisha hiyooooo 🤣🤣🤣🤣
Kumkuta mwanamke aliyezama kwenye utafutaji na anaelea watoto kikamilifu ni sawa na kupatwa kwa jua (wapo ila ni wachache mno), vivyo hivyo mwanaume kama hajajipata na kama ana msimamo juu ya ndoto zake kifedha lazima ahangaike tu na katika hicho kipindi hunekana "kama" hajali kuhusu mapenzi.kheeeh', kwani kunibebisha huku unatafuta hela kuna ugumu gani jamani..?
Mbona sisi tunalea watoto 7 na mapacha watatu na huku tunatafuta hela eti baba mchungaji..??😂
😀😀Kisa nn sasaWanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni 😀😀
Mwanaume sii wa kudekewa,sii wakukerwa,sii wakuchungwa,sii wa kuonewa vivu,sii wakulindwa,sii wa kusingiziwa,hivyo ni kujua anataka nini,hataki nini anapenda nini na hapendi nini.sasa mwanamke kisirani asubuhi mchana,jioni,sasa mambo yakibadilika unalalamikaje kwa mfano.Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua Na juhudi Sana Na wewe utapigiwa Sana message Kwa Sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention Kwa Sana the moment tu mwanamke ameanza tu Ku reciprocate the love Ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa Na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mnaishiwaga vituko nyinyi 😀😀😀😀Kisa nn sasa