Mimi bora usiniletee pigo hizo za kunionyesha sijui unanipenda sijui wewe nikirudi nikalie tu uchi chumbani hayo mengine niachie Mimi sio lazima unionyeshe Wewe nionyeshe Ile kitu Roho inapenda eeh ushaelewa vizuri? Eeh hivyo hivyo nionyeshe nanioTufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Wakizoeana tena na huyo mchepuko, upweke tena na anakua kama yatima upya...circle inaenda hvohvo....mchepuko kasalitiwa😂😂 mapenzi ni somo gumu wazee nyieee weee🤭Interesting, mkishazoeana tu ule moto wa mawasiliano full time unakata. Baada ya hapo mwanamke anakua mpweke kihisia mpaka anaweza kupata mchepuko ambaye ana time ya kutosha for her.
Kumbe nawewe huwa unazama deep😁Baadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂
Ila ss hivi nimekua nimeacha, hata kususa nimeacha.!!
Nilikuwa nikiandika msg sio gazeti Bali ni waraka wa mtume Paulo kwa watu wote 🤣🤣
Alivyo kichaa hasomi anafuta basi mimi naendeleza najua napiga kwenye mshono kumbe najichosha bure.!! 🤣🤣
Siku niliyojua nikavunja simu yake
WhatUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
the party is over when cake is eaten! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Tabuyote ya nn😃😃ila hasira bhanaBaadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂
Ila ss hivi nimekua nimeacha, hata kususa nimeacha.!!
Nilikuwa nikiandika msg sio gazeti Bali ni waraka wa mtume Paulo kwa watu wote 🤣🤣
Alivyo kichaa hasomi anafuta basi mimi naendeleza najua napiga kwenye mshono kumbe najichosha bure.!! 🤣🤣
Siku niliyojua nikavunja simu yake
Bora wewe unatujua.Men are hunters by nature..!!
Huo muda wanahamishia chimbo jingine kufanya campaign, huwa wanadai hawataki tactics zao za kutongoza zipungue makali, hivyo wanazifanyia mazoezi..!!😂😂
Unajifanya kuchangamka eeeh!!Kabla hatujakupata hua tunajifanya wajinga sana tutapiga simu muda wote dekeza sana, sms za hapa na pale hata ukirespond kwa mapozi sawa tuu cha muhimu mission iwe accomplished, ukishachanua mapaja baasi tunarelax sasa wewe ndio uanze kuteseka sasa kutuma sms za malalamiko😁😁
Babe yanazungumzika haya ujue🤣🤣🤣Sema mbele ya kila mtu kama kweli unanipenda🤣🤣
Nimeacha utoto ss hivi 😹Kumbe nawewe huwa unazama deep😁
Tunaomba jibu lako mzee wa busaraBado sijajibu😁
Mhhh, endelea kumfanya mwanamime kuwa ATM yako. Utashangaa mpaka ushangae. Kwani kaka yako huyo?Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Hata SGR watu wanaikimbilia sana lakn baada ya muda utasikia wanasema wamemiss kupita Gairo, Dumila na Chalinze so wanataka mabasiUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Mission ikiwa imekamilika uhangaike nini sasa lengo lishatimia kukuweka kwenye himaya ni zamu yako sasa kumuhudumia mume hiyo sio kwa binadamu hata kwa wanyama jogoo anakuwekea mchele ukila anakukula kisha anakua busyUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Kuku ni wako. Manati ya nini?Unakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Umejibu vizuri sanaHuwa tunawapenda sana sema unakuta hatuna kingine (especially hizo mbwembwe unazotaka) cha zaidi maana vyote tumefanya, kwahiyo kinachotufanya tuendelee kuwa pamoja inakuwa ni chemistry na characters zetu tu, na hapo ndipo wanaume tunaamua kufukuzia dream goal zetu badala ya kuendekeza mbwembwe za kimapenzi ambazo hazitasaidia for more years to come.
Jiulize mwanaume na mwanamke waliokaa pamoja let's say miaka 2, kuna chochote kipya ambacho mtakuwa hamjafanya.? Mnakuwa mshajuana kuanzia aina ya utani, style za mapenzi zote, reactions juu ya issues mbalimbali....kwahiyo kila kitu anachofanya mwanaume kinaonekana ordinary tu.