Wanaume ni kwanini hampendi kuoa wanawake wanaokunywa pombe na ikitokea umeoa unaamua anywee nyumbani?

Wanaume ni kwanini hampendi kuoa wanawake wanaokunywa pombe na ikitokea umeoa unaamua anywee nyumbani?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
 
Hamna demu aliekunywa pombe zangu nikaacha kumchokonoa na ukuni wangu,ila huwa naangalia na demu wa kumpa pombe natoa kwa wale ambao naona siyo wachoyo wa kitumbua.Sasa leo ukiniambia nioe mwanamke anaekunywa pombe siwezi kukubali kwa sababu ya tabia zao
 
Kwasababu pombe huathiri ufanyaji kazi wa ubongo kwa muda hivyo mnywaji anaweza fanya au fanywa kitu mbaya kisa tu hakuwa katika utimamu wake hivyo,msingi mzuri ni kunywa kwa kipimo sio mpk unafloat
 
Juzi nimepokea msg kutoka kwa mpango wa kando ananiambia hivi, “nina hamu ya kunywa pombe sana lakini sio nyumbani” . Hii ni Turn Off kubwa niliyowahi kuipokea. Mtu anashindwa hata kujisitiri kwa kutumia maneno ya ulaghai, “baby naomba unitoe out?”
Demu kama huyu kweli?
 
Juzi nimepokea msg kutoka kwa mpango wa kando ananiambia hivi, “nina hamu ya kunywa pombe sana lakini sio nyumbani” . Hii ni Turn Off kubwa niliyowahi kuipokea. Mtu anashindwa hata kujisitiri kwa kutumia maneno ya ulaghai, “baby naomba unitoe out?”
Demu kama huyu kweli?
Sasa kosa nn? Mwenzio kasema ukweli, ko kumbe mnapenda kudanganywa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Akili nyingine bana.

Kwanini mnalazimisha kama vile pombr ( Bia ) Ni UHAI, kwamba mtu asipokunywa Maisha yanasimama au ??

Mimi Niko ROMBO tena huku Kuna kila aina ya Pombe unayoijua. Tena kunywa Ni kuanzia asubuhi mpaka just linazama.

Lakini mtu akitaka tukosane , aniletee hizo stori za Pombe.

Wanywa Pombe walio wengi Ni MATEJA wa Pombe mpaka wanatia HURUMA.

Wasio na kipato wanageuka OMBA OMBA wa Pombe.

In short, Unywaji wa Pombe Ni UZUZU uliohalalishwa, sasa kama huna AKILI Ni lazima UTAPOTEA.

Dunia Tambara BOVU.
 
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Bado naendelea kupata maoni ya wachambuzi
 
Kuna vijana bana ukifika bar utawakuta Wana bia mojamoja tu ya kuzugia ,wanavizia mzoga wa mtu(mke wa mtu) ukikata network kidogo tu anamnyakua Kama Tai...
 
Kwa sababu nilishawaambia, hata kama wewe Mwanaume ni chapombe, usioe Mwanamke mnywaji.

asilimia 70 ya wanawake ninaowajua ni wanywaji na wameolewa.

Point ni wasiwe walevi, mwanamke anakunywa mavitu magumu Hennessy, JD, Black Label anashinda Bar huyo hapana aisee.

Kama anakunywa Wine, Savanah mbili tatu sidhani kama ni vibaya.

Tunaishi mara moja tu jamani mbona nyie mnakunywa
 
asilimia 70 ya wanawake ninaowajua ni wanywaji na wameolewa.

Point ni wasiwe walevi, mwanamke anakunywa mavitu magumu Hennessy, JD, Black Label anashinda Bar huyo hapana aisee.

Kama anakunywa Wine, Savanah mbili tatu sidhani kama ni vibaya.

Tunaishi mara moja tu jamani mbona nyie mnakunywa
Natamani nikununulie wine au savannah...tunafanyaje?
 
Back
Top Bottom