Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali linafikirisha sana!Demu mwenyewe umemkuta bar anakunywa kwa nini umzuie ukishamuoa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna vijana bana ukifika bar utawakuta Wana bia mojamoja tu ya kuzugia ,wanavizia mzoga wa mtu(mke wa mtu) ukikata network kidogo tu anamnyakua Kama Tai...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asilimia 70 ya wanawake ninaowajua ni wanywaji na wameolewa.
Point ni wasiwe walevi, mwanamke anakunywa mavitu magumu Hennessy, JD, Black Label anashinda Bar huyo hapana aisee.
Kama anakunywa Wine, Savanah mbili tatu sidhani kama ni vibaya.
Tunaishi mara moja tu jamani mbona nyie mnakunywa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kudinywa. WoiiiiiiDont judge.
Savanna zinavua kyupi sana na wine inalegeza miguu inapanuka panuka tu tena mpaka 180°
Kila mmoja na kinywaji anachoweza kumudu.
Kulewa sio kudinywa. Kudinywa ni tabia za mtu.
Nilishashuhudia mwanamke aliyelewa, tena mtu mzima, amegongwa na vijana kadhaa, wakamwagia mishahawa ile kwenye vuzi, enzi hizo jamaa alipofungua mlango wa nyuma wa gari nilistuka mno. na mama hata hajielewi. jamaa kampeleka kwake. nilishashuhudia wanawake pombe ikipanda kichwani anapigwa madole wazi wazi na haoni noma. mwanamke anayekunywa pombe hata kama halewi, nilishaapaga sitamtaka kabisa awe mke.Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Tusiwapangie vinywaji.Tusitetee Ulevi kwa mtoto wa kike haipendezi, kunywa kwa kiasi ila sio kuwa cha pombe.
Mwisho wa siku kila mtu na maisha yake.
Mwanamke akishalewa hajui kubana mzigo, yeye ni kutoa tuHapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Sijui sababu ni nini,ila anywee nyumbani tu kwa kweli...Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wanaolewa watamu jamani acheni tuu....yaani akishapiga dompo, savannah au deaparado na ukamlisha menu ya maana hiyo show yake ni balaaa...yaani unakuta sasa ananza kukutamkia hadi sexual fantasy zake wee ni kutekeleza tuu