Wanaume ni kwanini hampendi kuoa wanawake wanaokunywa pombe na ikitokea umeoa unaamua anywee nyumbani?

Wanaume ni kwanini hampendi kuoa wanawake wanaokunywa pombe na ikitokea umeoa unaamua anywee nyumbani?

Mwanamke anae kunywa pombe Kuliwa ni anytime tena wengi wakiamka asubuhi ndo wanashituka hata marinda hawana sasa mwanaume gani anataka kutake risk ka hiyo
Uache kuwala wanawake wakishalewa wewe.
 
asilimia 70 ya wanawake ninaowajua ni wanywaji na wameolewa.

Point ni wasiwe walevi, mwanamke anakunywa mavitu magumu Hennessy, JD, Black Label anashinda Bar huyo hapana aisee.

Kama anakunywa Wine, Savanah mbili tatu sidhani kama ni vibaya.

Tunaishi mara moja tu jamani mbona nyie mnakunywa
Dont judge.

Savanna zinavua kyupi sana na wine inalegeza miguu inapanuka panuka tu tena mpaka 180°

Kila mmoja na kinywaji anachoweza kumudu.

Kulewa sio kudinywa. Kudinywa ni tabia za mtu.
 
Yeah kama mtu sio mgawaji hata anapo enda kulewa sehemu anakua na backup ili arudi salama
Sema mwanamke akienda bar anachukuliwa tofauti[emoji48], wengine wanaenda kwa starehe zao binafsi
Kweli eti?
 
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.

Pombe zinauzwa wapi? Bar! Huko kuna kila aina ya watu! Baada ya pombe kulimbilia huko downstairs nini kitafuata? Akianzisha ugomvi nani atamuokoa huyo mke? Yote kwa yote kua na mwenza wa Ke mlevi ni MTIHANI!
 
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Hamuwezi kuwa mafahari wawili nyumbani, yaani nikanywe na mke akanywe nani atamfungulia mwenzake mlango au kumpikia mwenzake na la mwisho wanawake wengi ambao wanakunywa pombe ni rahisi kupigwa mashine huko nje
 
Dont judge.

Savanna zinavua kyupi sana na wine inalegeza miguu inapanuka panuka tu tena mpaka 180°

Kila mmoja na kinywaji anachoweza kumudu.

Kulewa sio kudinywa. Kudinywa ni tabia za mtu.


Tusitetee Ulevi kwa mtoto wa kike haipendezi, kunywa kwa kiasi ila sio kuwa cha pombe.

Mwisho wa siku kila mtu na maisha yake.
 
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.

Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.

Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.

Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Mkilewa mkiwa baa huwa mnapigwa madole kirahisi sana.
 
Back
Top Bottom