reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tamu,onja siku moja ka reds
Hapana kwa umri huu nshagashindwaNi tamu,onja siku moja ka reds
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna vijana bana ukifika bar utawakuta Wana bia mojamoja tu ya kuzugia ,wanavizia mzoga wa mtu(mke wa mtu) ukikata network kidogo tu anamnyakua Kama Tai...
Natamani nikununulie wine au savannah...tunafanyaje?
Uache kuwala wanawake wakishalewa wewe.Mwanamke anae kunywa pombe Kuliwa ni anytime tena wengi wakiamka asubuhi ndo wanashituka hata marinda hawana sasa mwanaume gani anataka kutake risk ka hiyo
Dont judge.asilimia 70 ya wanawake ninaowajua ni wanywaji na wameolewa.
Point ni wasiwe walevi, mwanamke anakunywa mavitu magumu Hennessy, JD, Black Label anashinda Bar huyo hapana aisee.
Kama anakunywa Wine, Savanah mbili tatu sidhani kama ni vibaya.
Tunaishi mara moja tu jamani mbona nyie mnakunywa
👏👏👏👏
Yeah kama mtu sio mgawaji hata anapo enda kulewa sehemu anakua na backup ili arudi salamaKulewa sio kudinywa. Kudinywa ni tabia za mtu.
Kweli eti?Yeah kama mtu sio mgawaji hata anapo enda kulewa sehemu anakua na backup ili arudi salama
Sema mwanamke akienda bar anachukuliwa tofauti[emoji48], wengine wanaenda kwa starehe zao binafsi
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Si ndo apo sasa ,maisha yenyewe yako wapii acha watu wainjoy na vinavyowapa furaha [emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Watu wana masharti utadhani anaoa
Hamuwezi kuwa mafahari wawili nyumbani, yaani nikanywe na mke akanywe nani atamfungulia mwenzake mlango au kumpikia mwenzake na la mwisho wanawake wengi ambao wanakunywa pombe ni rahisi kupigwa mashine huko njeHapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.
Dont judge.
Savanna zinavua kyupi sana na wine inalegeza miguu inapanuka panuka tu tena mpaka 180°
Kila mmoja na kinywaji anachoweza kumudu.
Kulewa sio kudinywa. Kudinywa ni tabia za mtu.
Mkilewa mkiwa baa huwa mnapigwa madole kirahisi sana.Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe anakunywa bia mbili tu.
Alipoona kelele zimekua nyingi best alichukua kitenge akafunga lemba kichwani akielekea kwa mjumbe kumshtaki mume wake.
Pombe sio chai, kunywa kwa uwangalifu.