Wanaume ni wa ovyo sana

Huo ndio uanaume. Mwanamme aliyekamilika hawezi kaa na mwanamke mmoja. Hiyo ndiyo asili yetu.
 
Asant mamy
Usikae kiboya boya mwari wangu, ndoa bila unafiki haziendi....ukijifanya Una real love sasa hivi tutakusindikiza India Moyo umetanuka.
Usisikie wamama WA zamani walikuwa wanadumu kwenye ndoa, sio Kama hayo yalikuwa hayapo, walikuwa wanajua kubalance🤣🤣🤣 mmama ana kimchepuko cha kudumu kijijini kwao, akienda kusalimia kwao anampa yooote....akirudi Kwa mumewe heshima na magoti juu.....maisha bila unafiki utapata maradhi sugu.
 
Hupati unachotaka hapo nyumbani?

Kuna siku umelala njaaa?

Amewahi kutongoza au kufanya hayo mbele ya macho yako?

Kuna shida gani nyingine ambayo hasa wewe imekusibu mpka uone hayo uloyaona n magumu?

Ukipewa Nafasi Uchague, Uwe mmoja kati ya hao side chick Kisha Mmoja kati ya hao side chick awe ndio Maza house kama ulivyo wewe, Utachagua kipi?

Sikia mama, hebu andaa thread ya mume halipi ada hatoi hela ya matumizi lakini umegundua ana wanawake FB,whatsapp anawatumia hela, Hapo nitaelewa Uzi wako.

ila haya malalamiko hapa,hujayaanza wewe Hata Mke wangu nae analalamika kama wewe...
 
Jiangalie vizuri kwa kiwango cha darunini ya wataalam wa kuangalia nyota. Bila shaka kuna eneo hutimizi wajibu wako Ipasavyo. Pengine u feminism umekuzidi au una lugha chafu. Maeneo ya kujichunguza ni mengi. Re examine yourself critically
No way.... Mwanamume anayetembea na wanawake 15.... Huwezi kuleta justification ya aina hii.... Acheni kutetea ujinga.
 
Wanawake mnasababisha wenyewe haya mambo ,unakuta mtu unataka shoo mke unakuja na visingizio vingi,mara nimecheka ,sababu Kila siku,na unafahamu fika mumeo ni rijaal unategemea Nini,mfano mimi nimeamua kumcheat mke wangu Kwa ujinga wake
 
Mtombewaj* anaenda kutomb*
Dunia ngumu hii.

Aliyekupiga ngumi ya jino mpige ya sikio.

#YNWA
 
"Ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap"🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…