Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

kabla ya kuta
FAIDA ZA NDOA

1. KUPATA MSAADA KUTOKA KWA MKE WAKO/MUME WAKO PINDI UNAPOPATWA NA MAGONJWA MAKUBWA NA MAZITO YA MWILI WOTE KWA UJUMLA HUSUSANI SEHEMU ZA SIRI.
-Hapa ieleweke kuwa kama ni mwanaume na ikatokea umepatwa na magonjwa mazito na makubwa kama tezi dume,
KABLA YA KUTAJA SIFA KIBAO ZA NDOA,
SWALI JE NDOA HIZI ZA SASA NDIZO ALIZOKUSUDIA MWENYEZI MUNGU?
 
KABLA YA KUTAJA SIFA KIBAO ZA NDOA,
SWALI JE HIYO NDOA NDIYO ALIYOIKUSUDIA MWENYEZI MUNGU?
 
Ngoja tuwasubiri umefanya vyema kuweka baadhi ya hoja ambazo wangekuja nazo

Naongezea Wengine watesema kuwa na heshima katika jamii .. heshima pesa [emoji3] kila mtu atakusujudia kuwa kapuku na ndoa yako uone
Pesa bila ndoa hakuna kitu hapo.
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza wazalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi boyz wanaweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Kikubwa,ni stability ya malezi ya watoto(inaweza isiwepo vile vile),unarudi hm wanaakuona,sasa ukiwa na madem watatu,wote umezaa nao,na kila mmoja anaishi kama single mother,watoto wanakuonaje?wanaletwa gheto kwako,unakutana nao stend?

Kama Mond,watoto aliozaa na Zari,mobeto,na Yule sis wa Kenya,akitaka kuwaona anawafsta huko kwa single ladies hao(maana hao wadada wana maisha yao na wapenzi wapya),au analetewa nyumbani kwake,anakaa nao,house girl anapika,Kwisha!!

So kuwa na mke,unatengeneza nyumba,makazi yanayokutambulisha,inaleta heshima,kwamba huyu ni baba Fulani kwake pale,na ile ndio familia yake(hata kama mke ni kimeo).

It's Afrikan necessity,jamii inakutegemea hivyo,Ila vile vile Cha. Muhimu sana ni watoto,hata kama ulizaa na madem lakini huishi nao,kikubwa huwa wanakuja kwako kukaa jspo kidogo,hii huleta sense of ownership,something to live for,kama Mond,kila muda watoto wanaletwa kwake akae nao kidogo,lakini Hana mke,!!ukialikwa sehemu unaendaje?una beba lolote?

Tofauti sio kubwa sana,ni swala la kijamii sana,aliyeoa,mwenye mke,anaonekana wa maana sana,kuliko msela(Tena kama huna pesa,ndio kabisa)
 
kabla ya kuta

KABLA YA KUTAJA SIFA KIBAO ZA NDOA,
SWALI JE NDOA HIZI ZA SASA NDIZO ALIZOKUSUDIA MWENYEZI MUNGU?
Sijakuelewa, imani ni zilezile na vitabu vya dini ni vilevile havibadiliki karne na karne, Sheria za ndoa za kidini ni zile zile rnzi na enzi. Kwanini unasema ndoa za sasa hazijakusudiwa na Mwenyezi Mungu
 
Au una kaumaskini ka kipato mkuu? Yaani unapata raha kwa kukaa sebuleni??
Kweli mkuu! Yaani uache kwenda burudika na rafiki zako kwenye moja mbili moto na kitit moto juu eti nikae sebureniiiii naota moto na kuanagalia vifaranga mwee!

Kwanza mke atakuchoka mapema....sometimes tunawafukuzaga waondoke waka kae na rafiki zao hukooooo!...then waje bidaye nyumba ni ya watoto na mama yao! tu! weye ni kibarua chao!

Sasa kibarua akae atapata mishemishe saaa ngapiii! ili tule! hata ukijenga tuna taka ya pili na ya tatu!...ukinunua meli sasa tunataka ndege!....ivivo mpaka rockets tunahitaji
 
mwanaume ambaye hajaoa na umri ushavuka miaka 30 anaonekana shoga, mwoga wa majukumu, mpuuzi na mshamba mshamba.
Kwendeni zenu huko bodaboda wajinga sana mnataka vya bwereree yaani mie nioe wewe ufaidi tako la mke wangu eti akushike hivi!! wkt unaendesha mjipikipiki wako huo mbovu???!

Wanaume kataeni mtakufa kwa pressure ! Boda boda wanatabia mbaya sana mie nawajua kwa wake za watu viwembe!! na ndo wengi wanasema eti heshima sijui upuuzi gani !!

Na kweli unaheshimika si unawasaidia kuwasogezea huduma ya maku ya Bureee!!! nani asye jua mke wa mtu ni rahisi kuliwa?? aseme hapa tumuwone, utalea visivyo leleka?

Komaeni viovivo mkioa tu..... utatunza mitoto ya mabodaboda mpaka ulie pooo! na vitasa litakutia ilimlilirithi mali limpe boda boda!.....karne ya leo si ya jana!! tena labda uwe mchawi sanaaaa!!

lkn vinginevyo watakudedisha faster tuu!! weye umetoka mara ukakutana na mmakonde wa Mtwara kukuua ni dakika sifuri tu!! hakuna wa kumuuliza, hapo ataishi na boda wake!
 
Pesa bila ndoa hakuna kitu hapo.
Maweee wewe oa lkn ukishajenga na watoto wamemaliza chuo kikuuu unakufwaaaa mazimaaa!! ........ukiona vitoto vyako vinakua zako zinahesabika tu...make hamkawiagi kuwaolea mke mwingine!
 
Kuna dili zinapatikana ukweni,
Kama hujaoa ile familia huwez kuzipata.

1. Kuna hekar 35 nmepewa na wakwe zangu uko mkoani, nalima mpunga kila mwaka.

2. Nanunuaga ndama wadogo napeleka ukweni, wananifugia bure. Sahv nna ngombe wengi Kias uko mkoani.

Nikihitaji pesa,
Ni Simu Moja tu ng'ombe au mpunga unakobolewa unauzwa chap napata pesa nafanya mambo yangu.
Mkuu endelea kupata faida tu!!.......Lkn IKO siku isiyo kuwa na tarehee hao ng'ombe wataibiwa..... Somalia kuna njaa!.....km ukipata faida weeeee! na wao wanaitaka .....

siku kikikata ghafla wakt unamategemeo makubwa ndo utajua ubaya! wa ukweni....nakwambia unatafuta ubaya kwa watu

hakuna asiye penda hela ya Mbesa!.... nacho kushauri fanya lkn hasty hasty!!.......mwaka huu una vuna mazao meeengi lkn mwaka kesho dororororoooo!!! yaani kifupi usitabirike!

Mifugo lazima ya kwako itazaa sana!..........Usipeleke ukabweteka ki viiile! kamoja kamoja tu...kwakuwa sisi binadamu tuna geukaga sana!...watakugeuka tu!! then utachukia...

jifanye km hamnazo/mlevi flani hivi......... lkn ukiwa makini kiutafutaji ....jua unatafuta kifo! tena cha kujitakia!....Mali ndo zinauaga undugu......
 
Kwa mwanaume ndoa ni Mzigo tuu hasa ndoa za siku hizi zisizofuata maadili.

Bila mfumo Dume Mimi naona Ndoa haina maana yoyote zaidi ya mwanaume kujitafutia masumbuko yasiyo na ulazima.
 
Kwa mwanaume ndoa ni Mzigo tuu hasa ndoa za siku hizi zisizofuata maadili.

Bila mfumo Dume Mimi naona Ndoa haina maana yoyote zaidi ya mwanaume kujitafutia masumbuko yasiyo na ulazima.
Yaani muzee leo unmeongea ukweli mutupu sijui umiamukia wapi vile??..Mungu aliposema ishini na sisi kwa akili alimaanisha sana!!! ila kulijua hili kazi kweli kweli.........

na sie siyo viumbe dhaifu tungekuwa dhaifu Mungu asingesema ivo!........hawa wanaume wa siku hizi hawajui mfumo dume ndo tumewaweza kabisaaa!!....kamfumo Dume ni aina flani hivi ya UuNgu!

Ila Shetani sasa kaja na hii... ''Haki sawa kwa wote'' na kweli Binadamu wameikumbatia balaaa!! Lkn likija suala la Karo za shule watoto/ nguo/kusuka/kujipodoa/mafuta ya gari zote mbili/

kujitoa /Matumizi nyumbani/Mlo/kujenga/kuua majambawazi...... utasikia Baba ndo kichwa cha Nyumba!! ile haki sawa kwa wote inafunikwa pyuuu! na hii huwa inaibuka mbaya endapo tu

Masrahi ya mke yakiguswa na kuchezewa chezewa hivi!.......... ile neno ya uzima loool! ''Muishi nao kwa akili'' huwa linafunikwa kwa mada km hizi....... huwa najiuliza hivi

kwa nini shetani ametawala saaana eneo hili?'' isipokuwa kwa watu wachache mnooo! wenye uelewa wa hali ya juu!...sasa je kwa muktadha huu waoe au wasituwowe??/...je tulio jirekebisha tutaonwaje??
 
Jana nilikua nimekaa sebuleni na watoto pamoja na mama yaoo,, wenyewe wanakaa mji mwingine na ninao kaa mimi sababu ya kikazi.. Sebuleni palikua pazuri sana yaani ile feeling tu ya kuona we are together as a family cant be explained kwa kweli.... labda kama kuna migogoro ndio ndoa inakua chungu lkn kama mna amani raha ya ndoa huwezi ifananisha na chochote..
Hallelujah [emoji126]
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza wazalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi boyz wanaweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Ukiona mtu anatoa hoja za hovyo hivyo ujue ama ni SINGLE MOTHER ambaye anatamani ndoa lakini hakubarikiwa kuipata au ni MSIMBE ALIYEACHIKA na hivyo ana kisirani na maisha ya ndoa.

Acha hoja za kijinga, waache wenye nia ya kuingia katika ndoa waingie kwa raha zao kuliko kuanza kupandikiza hofu ili waikose kama wewe!!!

Unachosha!!
 
Ukiona mtu anatoa hoja za hovyo hivyo ujue ama ni SINGLE MOTHER ambaye anatamani ndoa lakini hakubarikiwa kuipata au ni MSIMBE ALIYEACHIKA na hivyo ana kisirani na maisha ya ndoa.

Acha hoja za kijinga, waache wenye nia ya kuingia katika ndoa waingie kwa raha zao kuliko kuanza kupandikiza hofu ili waikose kama wewe!!!

Unachosha!!
Hoja hujibiwa kwa hoja. Kumpiga mawe mtoa hoja ni ukosefu wa hoja
 
Faida ni kuwa familia nzuri yenye kuheshimu, mila desturi na dini. Ukiwa single huwezi kupata watoto wenye kuheshimu vitu hivyo.
 
Mkuu ningekuwa na namba yako ningekurushia hela ya supu. Majibu safi Sana haya. Nitayatumia huku mtaani kuwaelimisha wanaonipa kadi zao ili waoe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
 
Back
Top Bottom