Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza wazalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi boyz wanaweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?

Nitajibu kwa style ya tofauti:

- kuna utafiti ulifanyika, wanasema 98% ya wanaume waliofika 45 bila ndoa walijuta:

My comment:

- Mtoto anaitaji malezi ya Baba na Mama, kama unathamini malezi na makuzi, huwezi bila ndoa.

- Mwanaume anavyokua in age ndivyo uitaji wa kuwa na Mwanamke unaongezeka.

Usione watu wazima wanaongeza wake, au wenye umri mkubwa wakifiwa huwa wanaoa tena, hizi zote ni sababu.
 
Kampani, uroda, heshima, stutus, malezi ya watoto, familia, utulivu wa mwili na akili, mlezi
Mhuni hata umwimbie hatokuelewa!
Wanadhani kuzaa ovyoovyo kama wanyama ndio msingi wa jamii.
Misingi ya jamii ipo katika familia; ndio mana wazee huuliza 'wazembe' UNAOA LINI?
 
Jana nilikua nimekaa sebuleni na watoto pamoja na mama yaoo,, wenyewe wanakaa mji mwingine na ninao kaa mimi sababu ya kikazi.. Sebuleni palikua pazuri sana yaani ile feeling tu ya kuona we are together as a family cant be explained kwa kweli.... labda kama kuna migogoro ndio ndoa inakua chungu lkn kama mna amani raha ya ndoa huwezi ifananisha na chochote..

Fanya hima urudi ukaishi Na mke! Si vyema kumwacha mke mbali, watakiulia na hiyo migogoro itaanza
 
Tumesema unaweza kuzaa hata bila ndoa na bado ukamuona mwanao. Hoja yako haina nguvu
Una kichwa kigumu hatari. Huyo mtoto utamwona wapi? Utacheza naye wapi? Utahamia kwa mama mtoto? Au wewe ndo wale wanaume wa kulelewa?

Tunaposema kucheza na mtoto, haimaanishi kumtembelea kwa mamake. Tunamaanisha uko naye kwako, unamwona ukiwa kwako. Ukitoka kazini unapata muda wa kuchezaa na mtoto kisha mamake.

Natamani uelewe, ukimpata mwanamke mwema, maisha hata yawe magumu, utanenepa mwili na akili.
 
Mwanaume kuoa sio kwasababu ya kufanyiwa hivyo vitu,bali mwanaume anatakiwa kuoa kwasababu ni WAJIBU wa mwanaume kuanzisha familia.ndo maana hata wanyama wasiopika wala kufua huwa wanaanzisha familia kwasababu huo ni wajibu uliowekwa ndani yao.Unapokua mwanaume kamili ni wajibu kua na mwanamke/wanawake unaowamiliki.sasa uku kumiliki ndiko binadamu tulikokuweka kua rasmi kwa namna ya ndoa.
 
Una kichwa kigumu hatari. Huyo mtoto utamwona wapi? Utacheza naye wapi? Utahamia kwa mama mtoto? Au wewe ndo wale wanaume wa kulelewa?

Tunaposema kucheza na mtoto, haimaanishi kumtembelea kwa mamake. Tunamaanisha uko naye kwako, unamwona ukiwa kwako. Ukitoka kazini unapata muda wa kuchezaa na mtoto kisha mamake.

Natamani uelewe, ukimpata mwanamke mwema, maisha hata yawe magumu, utanenepa mwili na akili.
Ukiwa na hela hakuna linaloshindikana. Unamuona Diamond Platinum anavyowalea watoto wake? Wengine wanatoka South Africa, wengine Uganda, na wengine hapa hapa bongo lkn bado anacheza nao.

Mwanaume ukiwa huna hela unazuiwa hata kuwaona watoto.

N.B; Ubaba siyo kutoa mbegu kutia mimba,, bali ubaba ni kutoa hela kwenye malezi
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza wazalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi boyz wanaweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Ndoa ni zaidi ya hayo uliyo yataja. Hayo ukiyotaja ni minor sana kwenye ndoa
 
Ukiwa na hela hakuna linaloshindikana. Unamuona Diamond Platinum anavyowalea watoto wake? Wengine wanatoka South Africa, wengine Uganda, na wengine hapa hapa bongo lkn bado anacheza nao.

Mwanaume ukiwa huna hela unazuiwa hata kuwaona watoto.

N.B; Ubaba siyo kutoa mbegu kutia mimba,, bali ubaba ni kutoa hela kwenye malezi
Umeconclude vizuri sana. Any tom dick and harry anaweza mwagia ndani ila ubaba ni kutoa hela tuu basi.
Na ndio maana ata wanawake wanachagua vidume wenye hela wawazishe ata kama jamaa hana nia ya kumuoa
 
Ndiyo tunatamani kuyajua hayo. Tunaomba ututajie tuyajue
Tunaporudi kwenye origin ya ndoa. Unakuta ndoa ni swala la kiroho zaidi na ni la kimajukumu zaidi ( utelekezaji wa jukumu - purpose - vision - assignment ) ambalo Mungu anakuwa ameliachia ndani ya mtu, na utelekezaji wake unahitaji partneship ( male and female ). Ukirudi nyuma Mtu alifanywa siku moja from Mtu kukawa na Adam na Eva- Manifestation ikaanza ya Adam, then Mungu akaona mambo hayaendi sawia katika utelekezaji wa mandate ya Adam kwasababu kuna part ambayo haikuwa ime manifest ambayo ni Eva. Ukiangalia mandate iliyokuwepo haipo katika hizo ulizotaja wewe. But kama ndoa uta iweka kwenye fungu la mwilini upo sahihi
 
wengi wanaopinga ndoa Sasa hivi wengi ni waoga,(they don't have big balls to face it)
kuingia ndani ya ndoa inakukamilisha kuwa mwanaume,YES!!majukumu utayabeba na changamoto zote kuzikubali...Kuna wengine watakwambia sababu kibaaaaao wakiiweka pesa mbele (anasema hivi Hali ya kuwa anajiweza kuhudumia demu na pesa za saluni kila wiki anatoa)Sasa si Bora uoe TU [emoji16][emoji16][emoji16]

kijana mwenzangu ndoa NI Ibada ,ndoa haijengwi na pesa,ndoa inajengwa na UPENDO...usishawishi mwanamke aje kwako kwa sababu ya pesa zako ambazo unazo,zitakuliza,zitakuliza!!
Ndoa tamu na nzuri kama ukitumia UPENDO kuitafuta na si kwa uzuri ama status ya mwanamke(elimu ama kipato)
 
Tunaporudi kwenye origin ya ndoa. Unakuta ndoa ni swala la kiroho zaidi na ni la kimajukumu zaidi ( utelekezaji wa jukumu - purpose - vision - assignment ) ambalo Mungu anakuwa ameliachia ndani ya mtu, na utelekezaji wake unahitaji partneship ( male and female ). Ukirudi nyuma Mtu alifanywa siku moja from Mtu kukawa na Adam na Eva- Manifestation ikaanza ya Adam, then Mungu akaona mambo hayaendi sawia katika utelekezaji wa mandate ya Adam kwasababu kuna part ambayo haikuwa ime manifest ambayo ni Eva. Ukiangalia mandate iliyokuwepo haipo katika hizo ulizotaja wewe. But kama ndoa uta iweka kwenye fungu la mwilini upo sahihi
Usichanganye lugha, chagua lugha moja uandike vizuri, eleza sababu kuntu za kuoa. Yaani kuna ulazima wa kuoa?
 
SINGLE MOTHER ambaye anatamani ndoa lakini hakubarikiwa kuipata au ni MSIMBE ALIYEACHIKA na hivyo ana kisirani na maisha ya ndoa.
Basi ndo hivo! msio kuwa na Baba Mna dhalilisha ke walio wazaa! ile maku yake ilitoa wamb km wewe! ambako kange banwa tu kakafa! hustahili kuishi mdharau ulipotoka weye!

hebu nikuulize weye ulitokea wapi wkt huna nguo......???
 
Back
Top Bottom