Kwahiyo wasioyataka yoote hayo wako sahihi kuishi single?KILA mtu ana interest zake za kuoa na hazifanani na mwingine. Wapo uoa kwa lengo la kupata
1.watoto
2.Faraja mtu wa kumliwaza wakati
3.Kushiriki tendo
4.Mlinzi wa nyumba na mali zake
5.Msukumo wa familia, ndugu,kazi au kabila
6.nk
Inaweza kuwa mnasukumwa na mila potofu tuhuku kwetu mwanaume ambaye hajaoa na umri ushavuka miaka 30 anaonekana shoga, mwoga wa majukumu, mpuuzi na mshamba mshamba.
Point[emoji106]Sipo kwenye ndoa ila nadhani ndoa ni kama kuwa na haki miliki kwa huyo mwanamke au mwanaume!
kwamba umekuwa umeshajimilikisha kihalali. Hapo atakuwa na mipaka ya kimahusiano na watu wengine! Kitu ambacho huleta heshima na muunganiko wa familia mtakayojenga.
Sasa hawa wasiokuwa na ndoa utakuta Mama ana watoto 6 ila kila mtoto ana Baba yake! Nadhani kwa staili hiyo familia haitakuwa na muunganiko... Watoto wakikua wanasambaratika kama vitoto vya mbwa vilivyoacha kunyonya.
Halafu pia, kutokuwa ndani ya ndoa, utakuwa ni kama malaya tu uliyestaarabika. Muda wowote unaweza ukatoka na mtu yeyote.
Mnakuwa kama ng'ombe tu... Mbabe (e.g mwenye pesa) ndo atachukua mwanamke!
Tena inafaa kupigwa marufuku, inajenga na kukuza ubinafsi ktk jamii. Yaani unammilikj mwanaume au mwanamke eti inakuwa haramu kumtafuna kwasabb kaoa ama kaolewa na mtu Fulani. Kwann isiwe free kwa kila mtu kwa utashi wake??Hii desturi mbovu sana
Dawa ya matatizo yako yooote haya ilikuwa kutafuta hela. Hela ingekupa vyote hivyo1. Nilichoka kupigwa,
Nilihitaji cheap labour
MKE wangu simlipi mshahara
2. Nilihitaji family,
Anizalie watoto wengi
Nipate cheap labour zaidi (wanangu)
3. Nilihitaji heshima na kuaminika,
Bachelor Kuna deal na fursa nilizikosa Kwasababu TU sijaoa (siaminiki)
4. Nilimpata mwanamke niliempenda
Na nilijihakikishia ananipenda Zaid ya nnavompenda
nAKAZIADawa ya matatizo yako yooote haya ilikuwa kutafuta hela. Hela ingekupa vyote hivyo
Mtazaliana kama ng'ombe kwa staili hyo na ndugu wanaoshea damu moja kulana.Tena inafaa kupigwa marufuku, inajenga na kukuza uubinafsi ktk jamii. Yaani unamuona mwanaume au mwanamke eti inakuwa haramu kumtafuna kwasabb kaoa ama kaolewa na mtu Fulani. Kwann isiwe free kwa kila mtu kwa utashi wake??
Kwani Kuna tofauti gani kati ya kuendesha gari la kuazima na la kwako mwenyewe, hakuna kinachoongezeka?Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Tuhskikishe tunatoa majina ya ukoo kwa kila mtotoMtazaliana kama ng'ombe kwa staili hyo na ndugu wanaoshea damu moja kulana.
Nadhan madhara ya ndugu wenye vinasaba vinavyofanana kuzaliana inajulikana.
Ungefunguka hapa jukwaani hizo faida ungesaidia kila mmoja wetu.Watoto rudini shule. Mkikua ndo mtajua umuhimu familia.
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Au una kaumaskini ka kipato mkuu? Yaani unapata raha kwa kukaa sebuleni??
Sio kweli, maybe if you work with stupid people, uninyime deal kisa sijaoa? that's a bullshit, anajaribu kukumanipulate uishi anavyotaka, those are kind of people who i dont associate with.Kama Ni mzee wa dili na fursa,
Kina baadhi ya dili na fursa utazikosa Kwasababu hujaoa (yaan huaminiki)