Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Possibly umetoka kumaliza shule hivi karibuni, kama ulisoma Physics basi kuna kitu inaitwa MA ie mechanical advantage MA = fO/fi

MA ikiwa <1 ni hasara kwako, MA ikiwa >1 ni faida kwako, baiskeli huwa na MA <1 lakini ukiwauliza wengi watakuambia pamoja na kuwa na <1 unapata yafuatayo:
What are the advantages of bicycle?
The health benefits of regular cycling include:
  • increased cardiovascular fitness.
  • increased muscle strength and flexibility.
  • improved joint mobility.
  • decreased stress levels.
  • improved posture and coordination.
  • strengthened bones.
  • decreased body fat levels.
  • prevention or management of disease.
Kama umesoma vizuri utakuwa umenielewa
Sijaelewa. Mada inahusu umuhimu wa ndoa wewe unaeleza umuhimu wa baiskeli
 
For me nafikiria vitu km 3 or 4 hivi.
1.Dini imezuia kuzini
2.upweke ndio mana magonjwa ya akili yamewapata wengi kwa sasa.
3.itakupunguzia baadhi ya gharama nautaweza panga maendeleo yako
4.kiafya ukiwa nauhakika wa jambo la tendo akili inatulia. .hali yakulizika.
 
Kuna wanaokimbiwa mkuu. Ndiyo maana maandiko yamekataza kumtegemea mwandamu. Maandiko yanasema "amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Ndugu usitumie maandiko vibaya, soma biblia nzima ndio uje udadavue uo mstari kwa upande wa ndoa. Tuache kutumia biblia kujustify uhuni.
 
Au una kaumaskini ka kipato mkuu? Yaani unapata raha kwa kukaa sebuleni??
Kwaujumla wewe ndio maskini, pesa anayotumia kutunza familia ni kubwa unayotumia wewe kufanya uhuni. Ukitaka kujua, ingia kwenye ndoa kimasihara uone halafu na familia itengenezeke. Watanzania vijana tuna karoho fulani cha inferiority complex na pia ushamba.
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Kwanza ni baraka Za Allah kwajili ya ndoa
Pili mkee hana mashari ya time
Mkee atakusaidia kwenye shida na raha
Mkee anatunza Baker ya kufika malengo
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.


Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Ukitaka kujua utamu wa ndoa, ingia mkuu.

Haya maswali yako hayana mantiki
 
Kama Ni mzee wa dili na fursa,
Kina baadhi ya dili na fursa utazikosa Kwasababu hujaoa (yaan huaminiki)
Hivi Ruge alioa.. matajiri wangapi wameoa??!! Mengi pia ilimbidi arudi kuwa single akajakuoa alipoona mda wa ku retire umefika..

Vipi kuhusu Elon.. Billgate na Jeff Bezos wanandoa?

Kumalizia kabisa Yesu alikuja na mwili wa binadamu lakini alikufa Single [emoji23] [emoji23]

Yani Kama unataka kufanya mambo makubwa kuoa ni stress ya kuepuka.. bora kuishi kisela tu
 
Jana nilikua nimekaa sebuleni na watoto pamoja na mama yaoo,, wenyewe wanakaa mji mwingine na ninao kaa mimi sababu ya kikazi.. Sebuleni palikua pazuri sana yaani ile feeling tu ya kuona we are together as a family cant be explained kwa kweli.... labda kama kuna migogoro ndio ndoa inakua chungu lkn kama mna amani raha ya ndoa huwezi ifananisha na chochote..
Kosa hela siku mbili halafu uje
 
Hakuna cha kulinganisha na famili.

Kuoa ni jambo mhimu na la baraka sana. Katika ndoa ndo tunapata familia. Familia inajenga muunganiko ambao hakuna taasisi inaweza ujenga. Familia ndo mahala pekee wanakubali kuwa wewe. Japo wanaweza kukutukana, kukutenga, kukusema ila katika yote is for better.

Imagine maisha yako yangekuaje bila familia iliyokulea. Ndani ya familia ndiko nidhamu na kujifunza kuwajibika kunatengenezwa ili uje kuwa faida kwa jamii na taifa kwa ujumla.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Back
Top Bottom