Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

FB_IMG_16606775282186247.jpg
 
Jana nilikua nimekaa sebuleni na watoto pamoja na mama yaoo,, wenyewe wanakaa mji mwingine na ninao kaa mimi sababu ya kikazi.. Sebuleni palikua pazuri sana yaani ile feeling tu ya kuona we are together as a family cant be explained kwa kweli.... labda kama kuna migogoro ndio ndoa inakua chungu lkn kama mna amani raha ya ndoa huwezi ifananisha na chochote..
Mimi nikikaa nao mbali week mbili tu kichwa kinauma lazima niwachungulie
 
Ndugu usitumie maandiko vibaya, soma biblia nzima ndio uje udadavue uo mstari kwa upande wa ndoa. Tuache kutumia biblia kujustify uhuni.
Sasa mtu anapotoa hoja kwamba ameoa ili kwamba akiugua mkewe atamsaidia. Huyu mtu huoni kwamba anamuoa mke afanyike kuwa tegemeo wakati wa shida (ugonjwa)? Kwann asimtumainie mola wake akaamua kumtegemea mke?

Hakika amelaaniwa mtu mume qma mtu mke amtegemea mtu mkewe ama mumewe.
 
Sio kumtegemea mwanadamu kwa namna hiyo, Tafsiri ya hilo andiko ni kuwa amelaaniwa anayekwenda kwenye uganga na ulozi
Hapana. Hata kumtegemea mwanadamu wakati wa shida ni kosa. Binadamu anapaswa kumtegemea Mungu kwa kila Jambo. Kuoa kwa lengo kwamba ukiugua mkeo atakusaidia ni kumsaliti (kumdogosha) Mungu.
 
Kwaujumla wewe ndio maskini, pesa anayotumia kutunza familia ni kubwa unayotumia wewe kufanya uhuni. Ukitaka kujua, ingia kwenye ndoa kimasihara uone halafu na familia itengenezeke. Watanzania vijana tuna karoho fulani cha inferiority complex na pia ushamba.
Mkuu mke anaweza kukaa na upande wa kanga mwaka mzima. Lkn demu asipohongwa anasepa. Kwa ufupi wasiooa wanatumia pesa ndefu kudumisha mahusiano yao.

Mkuu njoo na hoja za msingi kuelezea faida za kuoa. Acha kumbwela mbwela
 
Kila kitu kina risk, mbona huachi kutembea au kuvuka barabarani, siunaweza gongwa na gari ukafa ila mbona huachi. Ndoa za sasa hazidumu kwasababu kila mtu humuwazia vibaya mwenzake, yaani ni full immaturity na nonsense.
Watu hawaachi kusafiri ama kutembea kwasabb kuna faida kubwa isiyoepukika ktk kusafiri na kutembea. Ambayo ni kutafuta riziki.

Sasa tuambie faida kubwa ya ndoa isiyoepukika ambayo tusio kwenye ndoa itatushawishi
 
1.. Kwanza ni baraka Za Allah kwajili ya ndoa
2. Pili mkee hana mashari ya time
3. Mkee atakusaidia kwenye shida na raha
4. Mkee anatunza Baker ya kufika malengo
1. Baraka za Allah hulindwa na wema na uongofu wa mtu. Lkn kama una ndoa lkn unachepuka, unadhulmu, unaua, unasengenya, n.k hiyo ni kazi bure. Unapoteza mida na baraka hutazipata.
2. Kuna mademu wanang'ang'ania mpk wanafukuzwa.
3. Wanawake wa siku hizi wana kauli mbiu kuwa "kwenye shida pambana peke yako raha tule wote"
4. Wapo waliorudi nyuma kimaisha baada ya kuoa
 
Hapana. Hata kumtegemea mwanadamu wakati wa shida ni kosa. Binadamu anapaswa kumtegemea Mungu kwa kila Jambo. Kuoa kwa lengo kwamba ukiugua mieo atakusaidia ni kumsaliti (kumdogosha) Mungu.
Sasa unataka mwanandoa asaidiwe na nani kama sio mwandani wake
 
Pamoja na yote lukuki yaliyo mazuri

Nikimuona mwanangu anacheka kwa kufuraha nikimuita au kumtania/kumchokoza huwa nafurahi sana.

Ana 6 months sasa, I can't wait akianza kutembea na kuzungumza, napenda na kupendwa sana na watoto tangu nikiwa around 10yrs old hadi sasa
 
kwa hiyo umeoa ili usionekane shoga, mshamba nk ,kifupi hapa huna hoja,
tunaoa kwa ajili ya kujichallenge tu hakuna vingine.

huku kwetu mwanaume ambaye hajaoa na umri ushavuka miaka 30 anaonekana shoga, mwoga wa majukumu, mpuuzi na mshamba mshamba.
 
Sio kweli, maybe if you work with stupid people, uninyime deal kisa sijaoa? that's a bullshit, anajaribu kukumanipulate uishi anavyotaka, those are kind of people who i dont associate with.
Nmeongelea kwa deal zinazohusu ukweni,
Ukishaoa sehem n Kuna fursa, unachukuliwa Ni mwanafamilia
 
Back
Top Bottom