Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Ndoa ni zaidi ya sex
Ndoa ni zaidi ya kupikiwa na kufuliwa.
Ndoa ni moja ya uwezekezaji unaoleta furaha na heshima katika jamii iliyostaarabika.
Kuna nchi ukitaka visa zao ikiwa huna ndoa/familia inaweza kukupa kaugumu flani kuwa unaweza kuzamia na usirudi.

Mwenye ndoa imara na thabiti ni mtu mwenye furaha sana.
Mwenzi wako hasa mke ni mwalimu wa familia na dhamana bora kabisa.

Usiichukulie poa ndoa hata siku moja japo ni moja ya taasisi hatari usipomuomba Mungu akupe mtu sahihi.
 
Alie single Hawezi kusema system ya kupata utelezi ataipa sawa na mtu aliepo ndan ya ndoa Apo haina tofaut na mtu kuuliza kunafaida gani ya kununua gari akidai kua unaweza panda daladala au kunafaida gan kununua Tv kwamba kuna mabanda y video mwenye timamu ataona tofaut pia malanyingi watu hupata upendo wa kweli kutoka kwa wake zao hii huleta faida kadha wa kadha pamoja na kujenga familia ambayo mtashirikiana kuitunza na kukupa faraja
 
Alie single Hawezi kusema system ya kupata utelezi ataipa sawa na mtu aliepo ndan ya ndoa Apo haina tofaut na mtu kuuliza kunafaida gani ya kununua gari akidai kua unaweza panda daladala au kunafaida gan kununua Tv kwamba kuna mabanda y video mwenye timamu ataona tofaut pia malanyingi watu hupata upendo wa kweli kutoka kwa wake zao hii huleta faida kadha wa kadha pamoja na kujenga familia ambayo mtashirikiana kuitunza na kukupa faraja
Ndoa pia ni zaid ya hayo inafaida nyingi huwezi maliza
 
Family is the basic unit of any society.. A good family is made by father, mother and children..

Jamii yoyote imara msingi wake ni familia imara.. Familia inatokana na ndoa.. Katika familia tunategemea watoto wafundishwe maadili bora heshima na ustaarabu.. Hivyo basi.. Ili kujenga jamii bora, basi hatuna budi kufunga ndoa ili tujenge familia bora na imara..

Ndoa ni ibada.. Ndoa ni baraka.. Ndoa ni furaha.. Ndoa ni faraja.. Ndoa inatumikiwa na wanandoa.. Kitabu cha Mathayo sura ya 19 kinasema wazi kuwa MTU ATAMUACHA BABA YAKE NA MAMA YAKE NA ATAAMBATANA NA MKE WAKE KUWA MWILI MMOJA.. Na katika kitabu cha Mithali imeelezwa wazi kuwa APATAYE MKE APATA KITU CHEMA KABISA.. NAYE ATAJIPATIA KIBAMIA MBELE YA BWANA..

Ndoa sio utelezi tu kama vijana wengi wanavyodhani.. Ndio ni muunganiko wa nafsi.. Ndoa ni wawili kuwa mwili mmoja..

Hasara za uzinzi ni nyingi na kubwa sana kiroho na kimwili kuliko vijana wa leo wanavyodhani.. Kimwili ni magonjwa ya aibu.. Mafangass ya ajabu ajabu, kaswende Gonorrhea, Herpatitis B, Bila kusahau Baba lao UKIMWI yote yatakuwinda wewe..Utayaepuka mpaka lini..??

Kiroho ndio mbaya zaidi.. Tendo la ndoa ni mkataba wa damu baina ya wawili mnaoshiriki tendo hilo.. Utaingia mkataba huo na wangapi..?? Wapo wenye mikosi, laana za ukoo wanapotokea, pamoja na matakataka mengi tu yaliyobebwa na mtu huyo unayeahirikiana naye kingono..

Swali..
Kwa nini usichague mtu mmoja tu wa kushirikiana naye na kuingia naye mkataba wa damu kimwili na kiroho ili mjenge familia..??

NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE..
 
Sense of belonging

~mtu akipata mke apata kitu chema naye atapata kibali mbele za mungu
 
Family is the basic unit of any society.. A good family is made by father, mother and children..

Jamii yoyote imara msingi wake ni familia imara.. Familia inatokana na ndoa.. Katika familia tunategemea watoto
Hujawaelewa vijana wengi wanavyo dhani "wanazungumzia utelezi kwa sababu hili ni tendo pekee kuu linalo wakilisha ndoa na mapenz ndio maana huitwa tendo la ndoa au kufanya mapenz ila sio kama wanafikir kua ndoa ni utelezi tuu its just selection of main points
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Hukulelewa na baba? Maswali haya yalipaswa kupatiwa majibu na baba yako sio mtu mwingine yeyote. Asante
 
Ndoa ni jambo zuri kama utapata mwenza anayejua maisha na mkashirikiana bega kwa bega katika kujijenga kifamilia na maendeleo kwa ujumla. Ila ni bahati wanayoipata watu wachache sana kupata mtu sahihi.

Wengi wamejidanganya na mali ama fedha wakihisi ndio furaha inakopatikana wakaishia kuchukuana kwa kuzingatia nyege. Mwisho wa siku nyege zimeisha na hela zimeisha sasa wanaishi kama maadui.
 

Biblia kitabu cha​

Mwanzo 2:18 inasema​

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Mleta mada mpagani .Mungu alisema si vema mtu akae peke yake bila mume au mke

Sasa wewe kama mjuaji kuliko Mungu kuwa waweza kuishi peke yako bila mume wala mke shauri yako.Kitakachokukuta kwenye maisha utakoma

Shahidi atakuwa maisha yako mwenyewe
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Watoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo haya

Changudoa aliyezaa mwanawe peke yake na baba mtoto waliyekutana uchangudoani aliyeyeyuka hewani au hausomewi basi na mitoto akizaa huwa na mentality hiyo hiyo kuwa huhitaji mume au mke

Familia imara zenye upendo wa dhati kwa watoto na zilizowalea vizuri watoto tamanio lao kubwa wakijua ni kuoa au kuolewa

Lakini watoto wa machangudoa neno kuoa au kuolewa ni.msamiati usiokuwemo vichwani mwao

Tatizo lako hapa ni background yako.Hahitajiki mtaalamu wa saikolojia kukujua maisha ya nyuma uliyoishi.Maelezo yako yanajitosheleza kukujua wewe ni nani
 
Unataka tu kuishi na mtoto wa watu bila ndoa.akikufia ndani humo ni jela miaka tisa? Alafu kumbe ushaona kuoa ni sawa tu kwann bado unakuwa sio muadilifu unapita pita vichoroni na lodge?

Chunguzeni watoto wote wa nje ya ndoa wame base sana upande wa mama kule kwa baba wa mchongo kama hawaeleweki hivi.All in all vijana tuache ujuaji mwingi mtu kama una fursa ya kuoa fanya maamuzi mana maisha yenyewe mafupi. Tusianze kutafuta vijisababu vya hovyo eti ooh kama kufuliwa si kuna house girl ? Kwan ukioa huwez kuwa na house girl ?

Vijana wa siku hizi wanatafuta njia za kukwepa ndoa kwa cheap reason.
 
Mm naona hizi kampeni za kutokuoa hazina tofauti na za kuhimiza ushoga , mwanaume unapata faida gani kumshauri wanaume mwenzako wasioe? Binafsi nitaoa wanawake wa tano , kama umechukia kufa.[emoji16]
 
Hukulelewa na baba? Maswali haya yalipaswa kupatiwa majibu na baba yako sio mtu mwingine yeyote. Asante
Kwahiyo wewe umeoa /umeolewa kwa kufuata mkumbo tu. Hata hukuchukua muda wa kujifukiza faida za ndoa? Pathetic!
 
Kampani, uroda, heshima, stutus, malezi ya watoto, familia, utulivu wa mwili na akili, mlezi
Anafanya kazi kwa gharama nafuu. Ushauri bila hata kuuliza, kupika, kufua, kunipa nanhii (sihitaji kununua machangu), kulea watoto wetu, huniliwaza nikivurugwa, ni mtafutaji (mimi nikiwa busy kazini, yeye busy na kijiwe chetu).

Kwangu mimi mkewangu ndiye msimamizi wa bajeti za watoto shuleni. Huniambia mtoto fulani anahitaji kiasi fulani. Nampa ok alipe au ampe mahitaji.

Hunishauri kuhusu matatizo ya kijamii na kuyashughulikia au kunikumbusha kuhusu hayo.

Kwangu mke wangu ni faraja.

Ninafurahia kuwa na mwenza kwa kweli.
 
Watoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo haya

Changudoa allies mwanawe machangudoa peke yake na baba mtoto waliyekutana uchangudoani aliyeyuka hewani au hausomewi basi na mitoto akizaa huwa na mentality hiyo hiyo kuwa huhitaji mume au mke

Familia imara zenye upendo wa shati.kwa watoto na zilizowalea vizuri watoto tamanio lao kubwa wakijua ni kuoa au kuolewa

Lakini watoto wa machangudoa neno kuoa au kuolewa ni.msamiati usiokuwemo vichwani mwao

Tatizo lako hapa ni background yako.Hahitajiki mtaalamu wa saikolojia kukujua maisha ya nyuma uliyoishi.Maelezo yako yanajitosheleza kukujua wewe ni nani
Duuh! Maelezo mengi lkn pumba tupu. Taja faida ya ndoa moja kubwa isiyoepukika tukuelewe. Acha kubwabwaja
 
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.

Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima

On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.

Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?

Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Mahouse gelo wanafanya kazi kuanzia 1,2,3,4 na 5. Houseboy kuanzia 2 mpaka 5. Japo wapo wanaofanya hata 1🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom