Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Wanaume nijibuni swali hili kwa dhati ya mioyo yenu. Unapata nini katika ndoa ambacho mwanaume aliye single hapati?

Toa mfano wa dili linaloweka marital status kama contigency...?
Kuna dili zinapatikana ukweni,
Kama hujaoa ile familia huwez kuzipata.

1. Kuna hekar 35 nmepewa na wakwe zangu uko mkoani, nalima mpunga kila mwaka.

2. Nanunuaga ndama wadogo napeleka ukweni, wananifugia bure. Sahv nna ngombe wengi Kias uko mkoani.

Nikihitaji pesa,
Ni Simu Moja tu ng'ombe au mpunga unakobolewa unauzwa chap napata pesa nafanya mambo yangu.
 
Mkuu mke anaweza kukaa na upande wa kanga mwaka mzima. Lkn demu asipohongwa anasepa. Kwa ufupi wasiooa wanatumia pesa ndefu kudumisha mahusiano yao.

Mkuu njoo na hoja za msingi kuelezea faida za kuoa. Acha kumbwela mbwela
Mtoa mada najua vijana wenye umri wa chini ya miaka 35 ndo watapinga hili swala. But ukifika umri kuanzia 35 ndo wanajua faida ya ndoa. Ambayo hupelekea kujenga familia. Je Kuna kitu chenye thaman chini ya hua kama familia. Najua Kuna wajinga watakuja hapa kusema hela ndo Cha kwanza. Hao ni waongo. Faida za kuoa
. Kupata msaidizi wa maisha.
Kupata utelezi bila shida
Kupata faraja.
Kuondoa maisha ya uhuni.
Kujenga familia inayoeleweka.
Kuwafundisha watoto umuhimu wa baba na mama katika malezi ya watoto
.kujenga status nzur kwa jamii.
Kuondoa upweke.
Na ndoa ni zaidi ya hayo

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
daa nimemuuliza mke wangu kanijib makavu,"niliolewa bahati mbaya" na ninkweli hatukupanga kuoana ila nikimtundika mimba akiwa bado masomoni(level staji).nyumban alifukuzwa so nkamwambia sogea tulianzishe.sasa ni miaka 7 na tuna watoto wawili na maisha yanasonga.pamoja na muda kupita kumbe hakusahau kuwa haukuwa mpango wetu hata mm amenikumbusha huko!
 
Mkuu mke anaweza kukaa na upande wa kanga mwaka mzima. Lkn demu asipohongwa anasepa. Kwa ufupi wasiooa wanatumia pesa ndefu kudumisha mahusiano yao.

Mkuu njoo na hoja za msingi kuelezea faida za kuoa. Acha kumbwela mbwela
kwaakili zako wewe ukajua kuoa utabakia kuwa mme na mke tu😂😂😂. Basi ndio maana hujui faida ya ndoa. Swali unalojiuliza unashindwa kukaa chini na kudadavua msimamo wako unategemea mtu mzima mwingine akupe jibu tena linaloegemea upande wako, we unawaza deep kweli. Nani alikuambia ndoa ni kukaa na mke tu! Ulishaambiwa ndoa ni majukumu, mapenzi ni kipande tu. Ila wewe unakaa kuwaza gharama za kulala na mwanamke tu kwa siku. Boss, wewe ni mwanaume acha kuwaza leo tu, unatakiwa uwe nauwezo wa kudadavua zaidi ya leo. Basically unatafuta validation au justification ya kulala na wanawake tofauti😂😂😂. Jaribu kukua na kutake accountability ya maamuzi yako.
 
Watu hawaachi kusafiri ama kutembea kwasabb kuna faida kubwa isiyoepukika ktk kusafiri na kutembea. Ambayo ni kutafuta riziki.

Sasa tuambie faida kubwa ya ndoa isiyoepukika ambayo tusio kwenye ndoa itatushawishi
Wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu na unayeweza kuyachambua maisha yako, huitaji ushawishi ili kutoa maamuzi ya maisha yako. Kama huwezi kufanya maamuzi bila ushawishi basi kwaujumla wewe hujakua hivyo hujui unalolitaka. Maana ukitaka kufanya mauaji leo hutaomba ushawishi kwanza, bali utatekeleza tu.
 
Hapana. Hata kumtegemea mwanadamu wakati wa shida ni kosa. Binadamu anapaswa kumtegemea Mungu kwa kila Jambo. Kuoa kwa lengo kwamba ukiugua mkeo atakusaidia ni kumsaliti (kumdogosha) Mun

Sasa mtu anapotoa hoja kwamba ameoa ili kwamba akiugua mkewe atamsaidia. Huyu mtu huoni kwamba anamuoa mke afanyike kuwa tegemeo wakati wa shida (ugonjwa)? Kwann asimtumainie mola wake akaamua kumtegemea mke?

Hakika amelaaniwa mtu mume qma mtu mke amtegemea mtu mkewe ama mumewe.
Yeye ametoa tafsiri yake ila kwa mtazamo wake ila si kwa mtazamo wa kiroho yaani kupitia biblia, ila wewe ukamjudge kulingana na biblia. Ndio maana nikakwambia ukitaka kumjudge huyo mtu kupitia biblia basi tafsiri ndoa kwenye biblia ndio ujudge kupitia biblia. Hakuna shortcut!
 
Kuwa na ndoa ni kuliishi kusudi la Mungu hapa duniani katika kuendeleza uumbaji pamoja na ufalme wa Mungu duniani, hizo sababu za kupika sijui kufua na mengine ni added advantage tu.
Kuna watoto wangapi dunia hii waliozaliwa nje ya ndoa? Huo siyo uumbaji?
 
Watu hawaachi kusafiri ama kutembea kwasabb kuna faida kubwa isiyoepukika ktk kusafiri na kutembea. Ambayo ni kutafuta riziki.

Sasa tuambie faida kubwa ya ndoa isiyoepukika ambayo tusio kwenye ndoa itatushawishi
Pia, watu wameziona faida ndio maana wakaingia kwenye ndoa. Wewe kutokuziona, usiseme hakuna sababu au zipo chache. Kutokuziona wewe sababu hazimaanishi kuwa hazipo. Chenye faida kwangu, kinaweza kikawa hakina faida kwako sio lazima tufanane, sisi ni binadamu sio programmed robots.
 
kwaakili zako wewe ukajua kuoa utabakia kuwa mme na mke tu😂😂😂. Basi ndio maana hujui faida ya ndoa. Swali unalojiuliza unashindwa kukaa chini na kudadavua msimamo wako unategemea mtu mzima mwingine akupe jibu tena linaloegemea upande wako, we unawaza deep kweli. Nani alikuambia ndoa ni kukaa na mke tu! Ulishaambiwa ndoa ni majukumu, mapenzi ni kipande tu. Ila wewe unakaa kuwaza gharama za kulala na mwanamke tu kwa siku. Boss, wewe ni mwanaume acha kuwaza leo tu, unatakiwa uwe nauwezo wa kudadavua zaidi ya leo. Basically unatafuta validation au justification ya kulala na wanawake tofauti😂😂😂. Jaribu kukua na kutake accountability ya maamuzi yako.
Badala ya kuandika maandishi meeeeengi yasiyo na hoja na kutuchosha kuyasoma, tafadhali andija japo neno moja tu Kama faida ya ndoa. Kama huna kaa kimya
 
Wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu na unayeweza kuyachambua maisha yako, huitaji ushawishi ili kutoa maamuzi ya maisha yako. Kama huwezi kufanya maamuzi bila ushawishi basi kwaujumla wewe hujakua hivyo hujui unalolitaka. Maana ukitaka kufanya mauaji leo hutaomba ushawishi kwanza, bali utatekeleza tu.
Inaelekea hakuna faida ktk ndoa. Maana hata wanaunga mkono suala la ndoa kama wewe hawana hoja
 
Pia, watu wameziona faida ndio maana wakaingia kwenye ndoa. Wewe kutokuziona, usiseme hakuna sababu au zipo chache. Kutokuziona wewe sababu hazimaanishi kuwa hazipo. Chenye faida kwangu, kinaweza kikawa hakina faida kwako sio lazima tufanane, sisi ni binadamu sio programmed robots.
Sasa si ututajie mkuu hizo faida? Humu jf Kuna watu wengi wenye uwezo wa kuchambya na kuchakata mambo. Tuambie faida ya ndoa ili tuchambue na kuchakata hizo faida
 
Ujue kuna wakati umri unafikia hatua Haina maana tena kuwa unatapatapa mtaani unaenda unatiatia tuuu hovyo hovyo. Upweke wa kiuumbaji haujawahi kumuacha mtu salama hata kidogo
Tafuta hela mzee baba ili ukitaka kukanyaga mbunye mpya unaita tu Kama Uber
 
Sio kweli, maybe if you work with stupid people, uninyime deal kisa sijaoa? that's a bullshit, anajaribu kukumanipulate uishi anavyotaka, those are kind of people who i dont associate with.
Kiufupi hawana cha kusema Kama faida ya ndoa ndiyo maana wanatafutiza visababu
 
Kijana wangu, ndoa ni tamaduni yakupasa kulielewa hilo. Ni moja ya mambo ya kale mno na yenye kujenga heshima na kuepusha jamii ya walioharibikiwa.
Nafasi ya ndoa bado ni jambo lenye busara, sisi wanaadamu tumepewa akili na tukaoana si wanyama wengineo ambao wao hawaioni thamani iliyopo katika ndoa hivyo kwao ni sawa tu kupandana.
Yakupasa ikikufikia muda sahihi uoe ili uwe ni sehemu ya wanajamii waliostaarabika. La hutaki kuoa sikushauri kupata mtoto nje ya ndoa.
Kama nimekupata vizuri kwenye maandishi yako unasisutiza kuwa faida ya ndoa ni:-
1. Kuenzi tamaduni. Yaani unakili kuwa akuna faida lkn nioe ili kuenzi tamaduni?
2 Ndoa ni ustaarabu. Yaani hakuna faida Ila nioe ili kuonesha nimestaarabika?
 
Kujenga familia na sometimes faraja.

Kama hujaoa ni kheri usizalishe hovyo.
Huko ni kukosa ustaarabu na kuishi kama mbuzi beberu tu.

Ndoa zina madhaifu na changamoto sana, kuna muda utawaz utaona ni kheri usioe.
Lakini kama unataka famili huna budi kuoa, usiwabebesj mzigo watu wengine kwa starehe zako.

NB. Wasiotaka kuoa wengi wanaogopa kuchapiwa tu hakuna kingine.
 
Back
Top Bottom