The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
- Thread starter
- #21
siyo kweli mkuu labda upende ww tu kujinyandua mwenyeweachana na ndoto za kizamani izo, hawa ma
laya wa kisasa bila pesa utapiga sana nyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo kweli mkuu labda upende ww tu kujinyandua mwenyeweachana na ndoto za kizamani izo, hawa ma
laya wa kisasa bila pesa utapiga sana nyeto
duuh yamekuwa hayo kumbe, hivi unajua maana ya vipaumbele ww, maisha yangu unayajua ww ?Mimi nimeshangaa sana yaani huyu jamaa ndiyo vipaumbele vyake hivi. Daah
Huna pesa utakuaje smart? Tafuta pesa kila kitu kitaonekana usoni.Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.
NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
MudaKitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.
NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Yaani wewe bado sana. Ukiwa smart unapendwa na vinuka mkojo vinavyobalehe. Anzia levo za chuo halafu eti uende na pum.bu zako tuu eti kisa ni smart halafu unashindwa kumnunulia savannah, my furendi utazalilikaMwanamke anapenda mwonekano wa nje kwanza kabla ya hela, ili akupende ukiwa na hela itamchukua muda kidogo kukuchunguza ili aamini kuwa una hela, na akigundua una hela kweli ila hujijali unavaa vaa tu hovyo hujijali basi mara nyingi atakuwa mchunaji tu kwako alafu anaenda kula na mtu anaempenda yeye
Tafuta pesa mabinti wanataka pochi pochi hawataki longolongo ukiwa na pesa huitaji kutongoza watakufuata wenyewe kwasababu zinanukiaKitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.
NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Hahaha ....unamkuta mtu anaforce usmart ili kumridhisha dem....ttafte hela ,....Kuna kulipa bili mkumbuke baada ya kuwapata hao madem....Mimi nimeshangaa sana yaani huyu jamaa ndiyo vipaumbele vyake hivi. Daah
Usiwaulize wanawake kuhusu wanawake kaka, watakupoteza mbaya. Kwanza hawapendi kuulizwa wanachotaka, wanataka mtu afigure out mwenyewe na atekeleze. Ukitaka kujifunza uvuvi unaenda kuuliza samaki au wavuvi wabobefu?Ngoja waje wenyewe wanawake watakujibu majibu sahihi
You're right indeed..mkuu kuna hela za kukidhi maisha yako tu ya mageton ya kila siku, alafu kuna zile hela zilizozidi kdogo ambazo wanaume wa aina hyo madem huwaita sponsor, so siyo lazima sana uwe hela za u-sponsor ndo uweze kuji-smartisha
mwanaumeMtoa mada ni mwanaume au mwanamke?
Tuwaache wanawake waseme wenyewe wanataka nn?
duuh nalo nenoUsiwaulize wanawake kuhusu wanawake kaka, watakupoteza mbaya. Kwanza hawapendi kuulizwa wanachotaka, wanataka mtu afigure out mwenyewe na atekeleze. Ukitaka kujifunza uvuvi unaenda kuuliza samaki au wavuvi wabobefu?
Kaa chini sikiliza maneno ya wanaume wenzio.
We ni smart mwenye pesa au smart kapuku. Na umewala wangapi mapaka ulete huu ushuhuda?mwanaume
mbona una maswali kama we ni policeWe ni smart mwenye pesa au smart kapuku. Na umewala wangapi mapaka ulete huu ushuhuda?
Au ni hadithi za kufikirika
Sure mkuu ndio maana kuna jamaa hao juu kasema mwanaume kuwa vizuri kama mtoa mada alivyoainisha LAKINI do it for your own good not otherwise.inahuzunisha saana, vjana wakike wanapambana kuwavutia wanaume huku vjana wa kiume wakipambana kuwavutia wanawake.
kweli n kizaz cha nyoka, kilichokosa maarifa wala kujitambua.
acha kupoteza nguvu za za ujana kwa mambo ysyo na tija uzeeni na kwa kizaz chako.