Wanaume: Only smartness itakufanya uwachakate wadada kirahisi sana

Wanaume: Only smartness itakufanya uwachakate wadada kirahisi sana

Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.

NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Huna pesa utakuaje smart? Tafuta pesa kila kitu kitaonekana usoni.
 
Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.

NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Muda
 
Mwanamke anapenda mwonekano wa nje kwanza kabla ya hela, ili akupende ukiwa na hela itamchukua muda kidogo kukuchunguza ili aamini kuwa una hela, na akigundua una hela kweli ila hujijali unavaa vaa tu hovyo hujijali basi mara nyingi atakuwa mchunaji tu kwako alafu anaenda kula na mtu anaempenda yeye
Yaani wewe bado sana. Ukiwa smart unapendwa na vinuka mkojo vinavyobalehe. Anzia levo za chuo halafu eti uende na pum.bu zako tuu eti kisa ni smart halafu unashindwa kumnunulia savannah, my furendi utazalilika
 
Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.

NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Tafuta pesa mabinti wanataka pochi pochi hawataki longolongo ukiwa na pesa huitaji kutongoza watakufuata wenyewe kwasababu zinanukia
 
inahuzunisha saana, vjana wakike wanapambana kuwavutia wanaume huku vjana wa kiume wakipambana kuwavutia wanawake.

kweli n kizaz cha nyoka, kilichokosa maarifa wala kujitambua.

acha kupoteza nguvu za za ujana kwa mambo ysyo na tija uzeeni na kwa kizaz chako.
 
Ngoja waje wenyewe wanawake watakujibu majibu sahihi
Usiwaulize wanawake kuhusu wanawake kaka, watakupoteza mbaya. Kwanza hawapendi kuulizwa wanachotaka, wanataka mtu afigure out mwenyewe na atekeleze. Ukitaka kujifunza uvuvi unaenda kuuliza samaki au wavuvi wabobefu?

Kaa chini sikiliza maneno ya wanaume wenzio.
 
mkuu kuna hela za kukidhi maisha yako tu ya mageton ya kila siku, alafu kuna zile hela zilizozidi kdogo ambazo wanaume wa aina hyo madem huwaita sponsor, so siyo lazima sana uwe hela za u-sponsor ndo uweze kuji-smartisha
You're right indeed..
 
Usiwaulize wanawake kuhusu wanawake kaka, watakupoteza mbaya. Kwanza hawapendi kuulizwa wanachotaka, wanataka mtu afigure out mwenyewe na atekeleze. Ukitaka kujifunza uvuvi unaenda kuuliza samaki au wavuvi wabobefu?

Kaa chini sikiliza maneno ya wanaume wenzio.
duuh nalo neno
 
inahuzunisha saana, vjana wakike wanapambana kuwavutia wanaume huku vjana wa kiume wakipambana kuwavutia wanawake.

kweli n kizaz cha nyoka, kilichokosa maarifa wala kujitambua.

acha kupoteza nguvu za za ujana kwa mambo ysyo na tija uzeeni na kwa kizaz chako.
Sure mkuu ndio maana kuna jamaa hao juu kasema mwanaume kuwa vizuri kama mtoa mada alivyoainisha LAKINI do it for your own good not otherwise.
 
Back
Top Bottom