Wanaume: Only smartness itakufanya uwachakate wadada kirahisi sana

Wanaume: Only smartness itakufanya uwachakate wadada kirahisi sana

Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.

NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Amen ubarikiwe Sana.
 
Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.

NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
Hebu tupatie "mechanism" ya kuwa smart bila kuwa na pesa. Vladmir Putina
 
Naona swala pesa unaliondoa kwenye equation lakini umesahau ili uwe na nguo nzuri zitazokupa muonekano (fueza),vyakula vizuri vitavyojenga mwili kuendana na mazoezi (fueza),na ile amani ya moyo na ku build ka self esteem fueza kwa namna flan inabid i play part kwenye hio equation
Pesa sio kila kitu ila ni muhimu sana kuzitafuta ili kurahisisha mambo.

 
Back
Top Bottom