kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Yaani ni kweli usmart wa kufanya uhuni eti kila mwanamke akupende ndo ujinga mkubwa usmart ni kujipenda na kutokubali kufanya ngono hovyo!Only smartness itakufanya ujue Na ujitambue kwamba kulala Na wanawake hovyo Ni Jambo la Kipumbavu Sana'
Ulimbukeni Na ujinga ndo itakufanya utaman kulala Na kila mwanamke anayepita Mbele zako kila siku Na kila wakati!
Anaugua huyo labda mtu smart asiye na pesa awe ana azima nguoUtakuwaje msafi na smart bila hela?..
Kuwa serious wewe..
Najua kuna watu wana hela ila sio smart ila ni ngumu kuwa smart bila hela.
Me hapa sipendi pesaIla ukiwa na pesa utapendwa tuu. Kwasababu pesa hazijifichi. Na hakuna Mwanamke hapendi pesa
Labda umezaliwa sayari ya marsMe hapa sipendi pesa
Ukishawachakata wengi itakusaidia nini ?Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.
NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.
ukimchakata mmoja inakusaidia niniUkishawachakata wengi itakusaidia nini ?
ha ha haa...Wanaume munapendezaga juu tyu mnasahau viatu huwa tunaangaliaga soli ya viatu vyenu [emoji41]
Hapo itakuwa inapendwa pesa sio weweIla ukiwa na pesa utapendwa tuu. Kwasababu pesa hazijifichi. Na hakuna Mwanamke hapendi pesa
Hebu usimtishe mtoto jamani.Bado unakua kijana sasa we wavutie waingie Kisha umpende halafu akuzoee hakuna rangi utaacha kuona! Wewe na smartness yako,pesa zako,akili zako,vipaji vyako mtanyanyaswa hujapata kuona..[emoji23]
Acha vuruguHebu usimtishe mtoto jamani.
Wanaume ambao wanavaa vaa hovyo Mzee ndiyo wanaume ambao pesa yao haiendi kizembe. Ndivyo wataalamu wanavyosema.Mwanamke anapenda mwonekano wa nje kwanza kabla ya hela, ili akupende ukiwa na hela itamchukua muda kidogo kukuchunguza ili aamini kuwa una hela, na akigundua una hela kweli ila hujijali unavaa vaa tu hovyo hujijali basi mara nyingi atakuwa mchunaji tu kwako alafu anaenda kula na mtu anaempenda yeye
Ila Kenzy πππ€£π€£π€£Bado unakua kijana sasa we wavutie waingie Kisha umpende halafu akuzoee hakuna rangi utaacha kuona! Wewe na smartness yako,pesa zako,akili zako,vipaji vyako mtanyanyaswa hujapata kuona..π
Umeeleweka zaid kuliko hao wanawakeMimi ni nani nikupinge mtoa mada ilihali hawa wanawake hawaeleweki ni kitu gani wao hutaka.
Kwa kuwa hawaeleweki basi uko sahihi 100%.
Kwa kuwa HAWAELEWEKI basi huu uzi upo sawia
Huu ulioandika hapa una ukweli mtupu lakini hakuna chenye faida kisicho na Hasara kwa Upande wangu kweli nilijipatia madem wengi sana na nikaenjoy lakini nilikuja kupata kisanga hicho baada ya fall kwa binti mmoja ambaye nilimpata kwa mazingira hayo hayo, Dadeki nilikoma baada ya kenyewe kujua nimekapenda mambo kaliyonifanyia nilijuta. Tangu hapo nikaacha huo ujinga kama demu simuelewi namchana Live Kucheza na Hisia za mtu ni kitu kimoja ambacho kinamaumivu makali na yasiyoonekana, Tangu huyo demu alivyocheza na hisia zangu na ndivyo nikaacha kuchezea hsia za mademu wengine cuz uchungu niliujua Live.Kitu ambacho nimegundua,
mwanaume ukiwa smart (unavaa vizuri,unakuwa msafi, unajijali , unafanya mazoezi ya viungo kuimarisha afya, unakula vizuri, yaani smartness in general) basi utawavutia wadada wengi sana na utawachakata mno na wengine watakuwa wanakutongoza wenyewe.
NB: SIJAZUNGUMZIA KUMILIKI HELA, wewe kuwa tu smart kuwa msafi, vaa vizuri just jijali socialize vizuri acha papara ya maneno, utapendwa sana hata kama huna hela.