Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

cacutee

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,512
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya.

Let's get Back to our business...
Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana 'malaya' anajua kucheza na saikolojia za wanawake....

Mfano anapohisiwa tu kwamba amechepuka au amemkosea mwenza wake... Pamoja na mwanamke wake kupanic na kuongea maneno Mabaya Sana kumhusu yeye atabaki na utulivu bila panic.... Ataongea kwa sauti tamuuu yenye kupenya vizuri masikioni mwa mwanamke akimuelewesha kwa nini imekuwa hivyo au atakana kabisa kufanya kosa husika. Wakati huo aweza kuwa hata ana mkiss au anafanya namna nyingine ili mradi tu kumfanya mwanamke atulie na kesi iishe Hali itulie. Wanaume wa aina hii huwa Hawana maneno mengi wao kauli zao mara nyingi ni fupi na maneno Yao ni machache.

Hivi ushajiuliza kwa nini ni ngumu Sana kuchomoka kwa wanaume wa aina??hii ndio sababu.

Wanajua nini wafanye wakati gani na kweli mwanamke anageuka mtumwa wa penzi La player.

Wanawake: Ushawahi kujikuta kwenye hiyo Hali?? Kwamba mwanaume ana dalili zote za kuwa mchepukaji lakini kila ukimbananisha anapangua na unajikuta wewe ndio mkosaji?

Kwa kweli wanaume type hii ni hatarii.
 
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya.

Let's get Back to our business...
Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana 'malaya' anajua kucheza na saikolojia za wanawake....

Mfano anapohisiwa tu kwamba amechepuka au amemkosea mwenza wake... Pamoja na mwanamke wake kupanic na kuongea maneno Mabaya Sana kumhusu yeye atabaki na utulivu bila panic.... Ataongea kwa sauti tamuuu yenye kupenya vizuri masikioni mwa mwanamke akimuelewesha kwa nini imekuwa hivyo au atakana kabisa kufanya kosa husika. Wakati huo aweza kuwa hata ana mkiss au anafanya namna nyingine ili mradi tu kumfanya mwanamke atulie na kesi iishe Hali itulie. Wanaume wa aina hii huwa Hawana maneno mengi wao kauli zao mara nyingi ni fupi na maneno Yao ni machache.

Hivi ushajiuliza kwa nini ni ngumu Sana kuchomoka kwa wanaume wa aina??hii ndio sababu.

Wanajua nini wafanye wakati gani na kweli mwanamke anageuka mtumwa wa penzi La player.

Wanawake: Ushawahi kujikuta kwenye hiyo Hali?? Kwamba mwanaume ana dalili zote za kuwa mchepukaji lakini kila ukimbananisha anapangua na unajikuta wewe ndio mkosaji?

Kwa kweli wanaume type hii ni hatarii.
Pole sana..umeingia ktk mfumo
 
Hahaha
Player hachagui shimo
Kuna pisi na vipisi vikali

 
Kiufupi wanawake wengi mpo emotional sana kiasi cha kuwa manipulated kirahisi..

Na wengi mnaishi kwenye huu msemo

"good boys take you to heaven, bad boys bring heaven to you".

Ila baada ya kupata madhara mnaanza tafuta good boys wa kuwaweka sawa baada ya kuumizwa. Na mkishakaa sawa mnarudi kule kule

Mungu awahurumie ili jumatatu kama hii, muwaze pesa kuliko toxic boyfriends
 
Kiufupi wanawake wengi mpo emotional sana kiasi cha kuwa manipulated kirahisi..

Na wengi mnaishi kwenye huu msemo

"good boys take you to heaven, bad boys bring heaven to you".

Ila baada ya kupata madhara mnaanza tafuta good boys wa kuwaweka sawa baada ya kuumizwa. Na mkishakaa sawa mnarudi kule kule

Mungu awahurumie ili jumatatu kama hii, muwaze pesa kuliko toxic boyfriends
Maisha yanakamilishwa na pande zote.
Wengine tuko JF Ila kazi zinafanyika huko.
So ni swala LA mipango tu
 
Kuna pisi na vipisi vikali

We mzee tulia
 
Siku zote kinacho wabeba wanaume player ni uzoefu wao.
Akikutana na mwanamke tayari ashamjua huyo mwanamke ni mtu wa aina gani, mfano kuna she ukimwambia ukweli umeharibu mpaka umdanganye, kuna she yeye anapenda ukweli daima, kuna she anapenda kukaa ndani hatokagi, kuna she yeye ni kujirusha viwanja...

huwa mara nyingi wana wasoma kwanza....kuna she huwaga yeye ni jino moja tu imetiki, kuna she mpaka uride ndinga hata ya kuazima au ujifanye upo kitengo fulani ndo akuvulie pichu wakati huo umemdanganya wewe ni meneja wa Crdb Bank 😅😅😅
 
Siku zote kinacho wabeba wanaume player ni uzoefu wao.
Akikutana na mwanamke tayari ashamjua huyo mwanamke ni mtu wa aina gani, mfano kuna she ukimwambia ukweli umeharibu mpanga umdanganye, kuna she yeye anapenda ukweli daima, kuna she anapenda kukaa ndani hatokagi, kuna she yeye ni kujirusha viwanja...huwa mara nyingi wana wasoma kwanza....kuna she huwaga yeye ni jino moja tu imetiki, kuna she mpaka uride ndinga hata ya kuazima au ujifanye upo kitengo fulani ndo akuvulie pichu wakati huo umemdanganya wewe ni meneja wa Crdb Bank 😅😅😅
Wanaume mna akili Sana kwa kweli...
Wanaume nyie mbingu hamuionii bila kutubu. Kuna player mmoja baada ya kuzurura Sana kwenye sehem za Siri za wadada na kuwajaza wa kutosha ilibidi atubu na awaombe msamaha...
Kuna muda akili zinawarudia
 
Back
Top Bottom