Ni uchafu tu hazina kazi yoyote, wala hazina utunzaji, zikifika ukubwa flani lazima zitatoa harufu tu, sema katika kuzinyoa kuna kunyoa kiparaa kabsaaaaaaa au kuziacha unga yani kama unyoaji wa nywele wa wanaume kichwani, na kwakuacha unga labda utumie mashine kupunguza lakini wax na cream, zinaacha kipara kama cha mtoto mchanga ha ha ha ha ha haSoma vizuri utanielewa n nn namaanisha....,sijasema hazina kazi ila nasema maswala ya utunzaji yani usafi....ndo hayo tuu...pia fahamu ikizd sana n kero ziwe saf au chafu hata kama wasema sjui kaz yake lakn si kihvyoo [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Wale wanaoacha kiduku fulani kina waves laini ni balaaa!😛😛Ni uchafu tu hazina kazi yoyote, wala hazina utunzaji, zikifika ukubwa flani lazima zitatoa harufu tu, sema katika kuzinyoa kuna kunyoa kiparaa kabsaaaaaaa au kuziacha unga yani kama unyoaji wa nywele wa wanaume kichwani, na kwakuacha unga labda utumie mashine kupunguza lakini wax na cream, zinaacha kipara kama cha mtoto mchanga ha ha ha ha ha ha
Hukufunzwa wewe; tatizo hili unalipata kutokana na kuokota okota wanaume barabarani. Mbona waarabu na wapemba wana ndevu na manyoya marefu hawatoi harufu? Mtoto una lugha chafu sana wewe kwanza huna adabu kabisa kutukana wanaume wote humuNaanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
My Nifah.kweli hana halijualo?Kwa hii comment ni wazi huna hulijualo.
Pole
Nenda pugu secDawa ya Pumbu Erosion ni nn?Msaada Tafadhali.
Kwani huitafunagi?Labda unaokutana nao mie nikikutana na le hubby huo uturi natamani hata kumtafuna...
Nasikitika hii comment haina like hata moja.Binadamu tumeumbwa na ustaarabu, unachokiona ukiwa faragha na mtu unakiacha huko huko au unashauri au kujiongeza huko huko (unashauri kistaarabu mfano Kuna mtu ananuka mdomo, sio kwamba anajua la, hiyo ni blind side yake, chakufanya mnunulie mouth wash, mpe dawa nzuri za meno, kama bado anaendelea mpeleke kwa wataalamu wa kinywa wampe ushauri )
Tatizo la kizazi hiki kwenye mahusiano tunawaza kugegedana tu, mahusiano ni zaidi ya hiyo, relationship simply means where I am weak, you are strong.
Rejecting ur weakness means I am Rejecting ur strength
Sasa wewe mkaka /mdada kama una tafuta malaika kwenye mahusiano wakati mwenyewe hauko hata semi-malaika, pole sana
Sure...My Nifah.kweli hana halijualo?
povu lazma limtoke huyo....Bibi acha ushamba kuishi na mume kazi wee mwenzangu nasema jiji utalijua[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unakuta mwanamke mzuri kaoga kapaka wanja,lipushaini na umbo zuri kiuno nyigu unaweza honga at a laki 200000 tatizo sasa muende faragha utajuta kosa atoe chupi at a kabla dushelele halijaanza kazi harufu itakayotoka pango LA nyoka dzaini panya kafia amo jamani Moniccca na wenzio mjitahidi jamani kusafisha uke mmmmh iyo harufu huwa inatukera harufu kama mzogaEnyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.