Ni kweli mapenzi sio pesa ila mapenzi na pesa ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana.Nimeona shoga,, kweli mwaka mpya na mambo mapya..
Sijui kwanini mie huwa naamini mapenzi siyo pesa,, au labda ni vile sipendi kuomba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani kufanyika both ways,
Wanaume wanapenda sex
Wanawake wanapenda kuonyeshwa kujaliwa..
kuna exceptions for some though...
Hii ni mada ya siku nyingine, jikite kwenye mada tafadhali.
Wao ndio wanataka haki sawa siku hizi halafu tukiwaambia wakaoshe vyombo wanaona wanadharaulika[emoji134][emoji134][emoji134]
Sidhan Kama wanawake wetu wanawaza kutafuta. Ht wakitafuta bado wanataka wahongwe tu.Wao wanataka wakute ziko tayari.Hivi kweny race nyingine pia Kuna wadangaji Kama walivyo wanawake wa kiafrika? Huwa hafikir wanaume wa kizungu mf inside London huwa nao wanahonga Kama sisi? Ifanyike analysis ya namna tunavyopoteza hela kwa kuhonga.Kwanini msitafute wote?
Mkaifurahia wote?
Usisubiri upate pesa, mtafute halafu muanze kuzitafuta wote....vichwa viwili ni bora zaidi ya kimoja.
Hakuna mapenzi ya kweli yaliyowekezwa kwenye pesa.
Ni kweli mapenzi sio pesa ila mapenzi na pesa ni pande mbili za sarafu zinazotegemeana.
Toa mwaya kile kidogo cha upendo..
usimzoeshe kumpa hela..au kumpa kila baada ya muda..lets say week mbili,
hii routine siku huna pesa ita create tension between you..
.usitoe kiasi kikubwa sana mpaka mifuko yako itoboke...ukifanya hivyo utaanza kujichukia ama ku feel guilty ukipata ishu nyingine inayohitaji pesa,...
toa pesa ndani ya uwezo wako...
halafu sio mara zote utoe cash,,,
Unaweza kumnunulia hereni,perfume au kumtoa dinner...
Wanaume wengi hawajui,
wanawake sisi tunapenda kuonyeshwa tunajaliwa constantly,kama wao wanavyopenda sex constantly...
ukicheza na emotions zetu utafurahia pendo..LOL....
Chunguza ambao hawajoa au ma senior bachelor wengi utagundua ni MABAHILI..LOL
Ukiwa mtu wa kujitoa,huwezi kukosa mke...lol
Nimeona shoga,, kweli mwaka mpya na mambo mapya..
Sijui kwanini mie huwa naamini mapenzi siyo pesa,, au labda ni vile sipendi kuomba..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu toka hapo bar nenda nyumbani,, hizo ulizokunywa zimetosha kwa leo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasi huwa tunazifanya pasi na malalamiko hata kidogo. Sasa wao kwenye majukumu yao hawataki napo wanataka tuyafanye sisi[emoji134][emoji134][emoji134]Halafu mbaya zaidi siyo kwamba hizo kazi hawaziwezi wanaziweza sana na kabla hawajaoa huwa wanazifanya ila wakishaoa huwa wanageuka vilema ghafla
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyu kaka yenu leo kaamkia wapi?
Nakazia mimi jamani"Tuma na ya kutolea"
[emoji23][emoji23]
nimekuelewa mkuu.I always say.
Mapenzi ya kweli ni upendo + Uaminifu na kujali. Pesa si mapenzi ila mapenzi yanahitaji back up na foundation ya pesa ili kuendesha mahusiano yenu.
Hutafurahia mapenzi yako kama huna pesa hata kama mdada anakupenda kiasi gani..You'll always be insecure begging for mercy.
Hakuna mapenzi ya kuoneana huruma, Kijana tafuta hela upate mapenzi ya kweli.
Utakosa hata bando la buku kuchat na mpenzi wako..Saka pesa, mapenzi ya kweli yatakusaka
Hahaa acha uongo, eti unaamini mapenzi sio pesa, ..inawezekana huombi hela, ila boyfriend wako asipokupa hela unakereka rohoni Karma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo mada inagusa kumoyo.
Cc Watu8
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nasi huwa tunazifanya pasi na malalamiko hata kidogo. Sasa wao kwenye majukumu yao hawataki napo wanataka tuyafanye sisi[emoji134][emoji134][emoji134]
Imbombo ngafu.
Kujaliwa constantly unakomaanisha, si ndo huko kupewa pesa constantly? Shida ni kuwa wanawake wengi mnapendea wanaume pesa, jitu hulipendi na halikuvutii kingono, ila likikutongoza, unalipa namba ili ulipige mzinga na likutoe out,
shida si kutoa hela, sisi wanaume hatutaki mtupendee hela, na mkitupendea hela, tuna-sense ndo maana tunalalamika humu jf mkituomba hela, maana unajua mmh hapa sipendwi Rebeca 83
Mapenzi sio pesa,ila pesa Ni muhimu katika mapenziNimeona shoga,, kweli mwaka mpya na mambo mapya..
Sijui kwanini mie huwa naamini mapenzi siyo pesa,, au labda ni vile sipendi kuomba..
Sent using Jamii Forums mobile app