Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Yaani tumefikia kipindi cha kushauriana tutafute pesa ili tuwahonge na tuonekane wa maana mbele ya wanawake?

Kwa hiyo unatushauri vijana kindakindaki huyo mzee hapo ndiye awe rolimodo wetu...


Kwanini uwaze kuzungukwa na mijanamke mingi hivyo ukiwa kifua wazi! Ungeweka picha ya mwanaume aliyemshikilia mwanamke wake vizuri na mtoto pembeni ukatushauri tujenge familia bora hatimaye tulijenge taifa lililostaarabika.
Babulai pesa ni utatuzi wa changamoto nyingi sana kwenye maisha haya na moja ya changamoto hizo iko kwenye mahusiano. Sasa basi kwa kuwa hii thread iko kwenye jukwaa la mahusiano acha tuijadili pesa kwa mintarafu hiyo.

Nadhani unajionea/kuskia malalamiko yanayoelekezwa kwa wanawake kutokana na materialistic tendency waliyonayo, sasa nini mwarobaini wa kukomesha malalamiko haya? Je, kuendelea kulalamika tu hivyo hivyo kwamba kuna siku watabadilika na wataacha kuomba hela?

Kuhusu hizo picha za huyo mshua hapo nimeweka kama kielelezo tu na wala sio lazima yeye achukuliwe kama role model na pia vile vile nimewachosha sana wasomaji kwa maelezo marefu hapo mwanzoni hivyo walihitaji kupata refreshment kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani sasa kwani kujua kulima tu ndiyo tayari mtu amejua maisha,, halafu hata dar mbona kulima kupo mfano kama sisi home kwetu tulihamia nyasi ziko hadi mlangoni..

Leo hii kuna bustani yenye maua na mboga mboga na hiyo kazi ya kulima na kupanda tuliifanya sisi isipokuwa kwa kipindi ambacho tulikuwa boarding ndiyo wazee walikuwa wanatafuta watu wa kufanya hizo kazi na eneo siyo kwamba ni dogo eti
Mwanaume hata jembe halijui..
Purukushani za mikoani hawazijui..wanalijua tu joto la dar..
Nikipata mwanaume wa dar aliyekulia dar na hajawahi kutoka nje ya dar.. walahi nitampeleka mbeya hata mwezi mzima, Tena mbeya vijijini kwa bibi huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani sasa kwani kujua kulima tu ndiyo tayari mtu amejua maisha,, halafu hata dar mbona kulima kupo mfano kama sisi home kwetu tulihamia nyasi ziko hadi mlangoni..

Leo hii kuna bustani yenye maua na mboga mboga na hiyo kazi ya kulima na kupanda tuliifanya sisi isipokuwa kwa kipindi ambacho tulikuwa boarding ndiyo wazee walikuwa wanatafuta watu wa kufanya hizo kazi na eneo siyo kwamba ni dogo eti

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kulima bustani nyumbani unahesabia kwamba Ni kulima?[emoji23]acha utani Basi

Ukitoa kwenu,watu gani wengine wanatekenya mikono na kujifurahisha kwa kulima kijibustani dar?

Kulima pekeyake sio kipimo Cha kuyajua maisha lakini mtu wa dar hasa mwanaume aisee wafanyage mpango hata wa kwenda mikoani kwa ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kulima bustani nyumbani unahesabia kwamba Ni kulima?[emoji23]acha utani Basi

Ukitoa kwenu,watu gani wengine wanalima dar?

Kulima pekeyake sio kuyajua maisha lakini mtu wa dar hasa mwanaume aisee wafanyage mpango hata wa kwenda mikoani kwa ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app

Nashindwa nikueleze kwa kutumia lugha gani ili usione kama natumia maneno magumu.

Technologia imekuja ili iturahisishie maisha, wewe unasomeshwa na wazazi ili uvuke hatua moja au mbili zaidi ya wao walipofika.

Sasa kama mzee alilima kwa jembe la mkono, wewe unatakiwa ulime kwa kutumia trekta.

Achana na old school thinking kwamba maisha ni lazima kupata tabu, maisha ni mipango na akili.

Swali: Ukimaliza shule utarudi shamba au unabaki mjini?
 
If you can't beat them,join them.....naona baada ya kupambana nao sana umeamua kuungana nao! Wamekusikia watakupa LIKES za kutosha. Ila wengine hatuvumilii wanawake ombaomba, we are down with independent women and there are loads of them out there.
Sure bro i really appreciate your stance on the matter, you got no business with 'em broke chicks you only do down with independent ones whom you won't even spend a spree on, sounds cool... but do they still breed those species?? Frankly now days it's easier to find a needle at the middle of the sea than snatch that kind you prefer to be with here in town.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa nikueleze kwa kutumia lugha gani ili usione kama natumia maneno magumu.

Technologia imekuja ili iturahisishie maisha, wewe unasomeshwa na wazazi ili uvuke hatua moja au mbili zaidi ya wao walipofika.

Sasa kama mzee alilima kwa jembe la mkono, wewe unatakiwa ulime kwa kutumia trekta.

Achana na old school thinking kwamba maisha ni lazima kupata tabu, maisha ni mipango na akili.

Swali: Ukimaliza shule utarudi shamba au ukabaji mjini?
Hata huko teknolojia imefika.
Jembe la mkono si Sana..na nimesema kilimo pekee sio hitimisho la kuyajua maisha.

Kilimo sio shida (tabu) bali ni kazi.

Bado mtazamo wangu ni uleule,mtu ambaye hajatoka nje ya dar,hasa mwanaume,namuona Kama Kuna kitu anakosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huko teknolojia imefika.
Jembe la mkono si Sana..na nimesema kilimo pekee sio hitimisho la kuyajua maisha.

Kilimo sio shida (tabu) bali ni kazi.

Bado mtazamo wangu ni uleule,mtu ambaye hajatoka nje ya dar,hasa mwanaume,namuona Kama Kuna kitu anakosa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mazingira, elimu, tamaduni na malezi yanashape jinsi tunavyofikiria.

Nakuelewa.
 
Back
Top Bottom