Kwa kufanya tu sample ya hapa mtaani kwetu watu wengi wanasema bila kutumia booster hutumia sekunde 5 Hadi dk 2. Na mm nikiwa mmoja wao.😡😡😡😡Umejuaje wanaume tunapanda kama jogoo wakati mapenz ni kati ya watu wawili me na ke?
😂😂😂Toa "sisi" weka "mimi" Ili upate msaada unaouhitaji
Labda labda labda ka;leftUmejuaje wanaume tunapanda kama jogoo wakati mapenz ni kati ya watu wawili me na ke?
Matatizo haya sasa idadi ya wanaume inazidi kupungua soon utakua mteja wa dawa za nguvu za kiume km zimechuliwa na LILTH/SUCCUBUSNa mm nikiwa mmoja wao.
Nimejiuliza hili swaliUmejuaje wanaume tunapanda kama jogoo wakati mapenz ni kati ya watu wawili me na ke?
Poleni woteWasaalam.
Jogoo humpanda tetea ndani ya sekunde mbili anakuwa ashamaliza kazi.
Asilimia kubwa ya sisi wanaume naona tushakuwa kama Jogoo ndani ya sekunde Tano tunakuwa tushamaliza.
Wale tunaotumia sekunde chache kama kuku tukutane hapa tupeane mbinu za kuondoa hili tatizo.
Nawasilisha.