Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Kwani umeyakubali hayo mafuta?? ,Tafadhali Jibu True or FalseMtajiju na mafuta yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umeyakubali hayo mafuta?? ,Tafadhali Jibu True or FalseMtajiju na mafuta yenu
Ndivyo alisema tale?Wenzio wanalipwq kwa dola na wamekagua na kutoa ripoti
We unaongea kama nan
Shhhh, naongea na wanaume, tuliaKwa hiyo mimi ni shangazi yako?
Situmii kabisa mafutaKwani umeyakubali hayo mafuta?? ,Tafadhali Jibu True or False
Ungemalizia hivyo maana wanaume hapa hawakuelewi unawachanganyaNdivyo alisema tale?
Taarifa inasemaje kwani?Tunaenda kwa taarifa sio kufikirika kwako
Kwa hiyo hata ukioga huwa hujipaki mafuta??Situmii kabisa mafuta
Alifanyaje jana yake? Nahisi nimepitwa na Mambo!!Hakuna siku nimemdharau Mondi kama jana
Sasa kwa P.didy alienda kufanyaje jaman?
Doh
Jana au mwaka huuAlifanyaje jana yake? Nahisi nimepitwa na Mambo!!
SijuiKwa hiyo hata ukioga huwa hujipaki mafuta??
Umesema hakuna siku umemdharau mond kama jana (kwako ilikuwa Jumatano), je kuna kauli alitoa kukiri kupiddidiwa? Yaani alifanya nini kilichopelekea umdharau?Jana au mwaka huu
Siri imefichuka septemab 16
Njoo inbox 📬 sasa 😋😋Sijui
Jua kutofautisha Chupa na Lita.Nenda BBC, CNN wameongea
Mbona umekasirika ivyo au anakuhusua?
Nimemdharau baada ya kusikia hadharani na audio zake za kupididiwaUmesema hakuna siku umemdharau mond kama jana (kwako ilikuwa Jumatano), je kuna kauli alitoa kukiri kupiddidiwa? Yaani alifanya nini kilichopelekea umdharau?
Kweli kabisaNadhani hizo vitu hatumii pekeake... Itakuwa watu wakienda party hapo kwake huwenda kuna michezo inafanyika kijumuia, kwahy washirika wanagawiwa mafuta kujisevia kila mtu na wake🤔
Let say party inawatu 50.... Kwahyo kila mtu akipewa mbili hapo mzigo mwez tu umekata🚶🚶
Hapo n ushetwan kwenda mbele
SijakuonaNjoo inbox 📬 sasa 😋😋
Chupa 1000 za nusu litaJua kutofautisha Chupa na Lita.
Chupa zinaujazo tofauti tofauti na mara nyingi kwa mafuta ya ngozi zinakua just few mls or gm
Wewe hizo Lita 1000 umezitoa wapi na umezipimaje? Au unataka kusema kila Chupa ilikua na Lita 1 ?
Basi ni Lita 500 siyo 1000.Chupa 1000 za nusu lita
Mafuta ya AlizetiMafuta Aina gani?