Wanaume tu: Hivi wanaume lita 1000 za mafuta zinakuwa zinatumika kwenye kitu gani wakati wa tendo la ndoa?

Wanaume tu: Hivi wanaume lita 1000 za mafuta zinakuwa zinatumika kwenye kitu gani wakati wa tendo la ndoa?

Nadhani hizo vitu hatumii pekeake... Itakuwa watu wakienda party hapo kwake huwenda kuna michezo inafanyika kijumuia, kwahy washirika wanagawiwa mafuta kujisevia kila mtu na wake🤔

Let say party inawatu 50.... Kwahyo kila mtu akipewa mbili hapo mzigo mwez tu umekata🚶🚶

Hapo n ushetwan kwenda mbele
 
Nenda BBC, CNN wameongea
Mbona umekasirika ivyo au anakuhusua?
Jua kutofautisha Chupa na Lita.

Chupa zinaujazo tofauti tofauti na mara nyingi kwa mafuta ya ngozi zinakua just few mls or gm

Wewe hizo Lita 1000 umezitoa wapi na umezipimaje? Au unataka kusema kila Chupa ilikua na Lita 1 ?
 
Umesema hakuna siku umemdharau mond kama jana (kwako ilikuwa Jumatano), je kuna kauli alitoa kukiri kupiddidiwa? Yaani alifanya nini kilichopelekea umdharau?
Nimemdharau baada ya kusikia hadharani na audio zake za kupididiwa
Yeye na burna boy
 
Nadhani hizo vitu hatumii pekeake... Itakuwa watu wakienda party hapo kwake huwenda kuna michezo inafanyika kijumuia, kwahy washirika wanagawiwa mafuta kujisevia kila mtu na wake🤔

Let say party inawatu 50.... Kwahyo kila mtu akipewa mbili hapo mzigo mwez tu umekata🚶🚶

Hapo n ushetwan kwenda mbele
Kweli kabisa
 
Jua kutofautisha Chupa na Lita.

Chupa zinaujazo tofauti tofauti na mara nyingi kwa mafuta ya ngozi zinakua just few mls or gm

Wewe hizo Lita 1000 umezitoa wapi na umezipimaje? Au unataka kusema kila Chupa ilikua na Lita 1 ?
Chupa 1000 za nusu lita
 
Back
Top Bottom