Chupa 1000 na sio lita 1000....Chupa inaweza ikawa 250 mlsTo be honest
Mpaka sahivi nawaza zile lita 1000 za p.diddy
Yani imenifanya kichwa kigande
Mpaka nikitembea barabarani nikikutana na mwanaume mweusi naona sura ya Pdiddy
Me simcheki P.diddy kabisa, wanaume wengi kwenye ndoa wanageuzana toka zamani mpaka sasa
Tofauti ni kwamba zamani hakukuwa na social media vitu vilikuwa havionekani, sasahivi social media imekuwa juu, vitu vinaanikwa juu kama vipya lakini hii michezo tangu na tangu
Huyo P.diddy wenu sio mwanzilishi
Sasa mtueleze basi, hizo mifuta yote lita 1000 inaenda kwa mwanamke au kuna mengine?
SauwaBasi ni Lita 500 siyo 1000.
SauwaMafuta ya Alizeti
Hayupo
Hawana umaskini wa kununua robot lita waleChupa 1000 na sio lita 1000....Chupa inaweza ikawa 250 mls
Uweee hahahaahhaaHuko mbeya kuna shoo zuchu kapafomu wakamrushia mawe akawauliza shida nini wakasema hawamtaki yeye wanamtaka mke wa pididi.
Pouwa MreumboSauwa
huenda alikuwa anayatumia katika ibada ya kukanyaga mafutaTo be honest
Mpaka sahivi nawaza zile lita 1000 za p.diddy
Yani imenifanya kichwa kigande
Mpaka nikitembea barabarani nikikutana na mwanaume mweusi naona sura ya Pdiddy
Me simcheki P.diddy kabisa, wanaume wengi kwenye ndoa wanageuzana toka zamani mpaka sasa
Tofauti ni kwamba zamani hakukuwa na social media vitu vilikuwa havionekani, sasahivi social media imekuwa juu, vitu vinaanikwa juu kama vipya lakini hii michezo tangu na tangu
Huyo P.diddy wenu sio mwanzilishi
Sasa mtueleze basi, hizo mifuta yote lita 1000 inaenda kwa mwanamke au kuna mengine?
Kwakweli na amewakanyaga wengihuenda alikuwa anayatumia katika ibada ya kukanyaga mafuta
Pouwa Mreumbo
huenda alikuwa anayatumia katika ibada ya kukanyaga mafuta
Lita za mafuta kwenye tendo la ndoa tena π³π³π³!!!!!
Kwan we mwenzetu uko wap na news za p.diddy zimekupita wap?Lita za mafuta kwenye tendo la ndoa tena π³π³π³!!!!!
Hui dunia inakoelekea hapana kwakweli
Kesi ya mapenzi ya hiari ngumu