Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hako kajambazi mkuuš¤£Kuna kamoja kako na 20 kako chuo kameniomba laki nimeona nikakaushie kwanza, kameanzia parefu mno wakati hata mbususu sijala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako kajambazi mkuuš¤£Kuna kamoja kako na 20 kako chuo kameniomba laki nimeona nikakaushie kwanza, kameanzia parefu mno wakati hata mbususu sijala
Hahaa mzee baba hao watoto wa shule ninawaogopa sana, bora hawa wa chuo.Yote haya baada magu kufariki ila angekuwepo Exrovert na wenzake wote saivi wangekuwa wanachungulia nondošš
Tayari ushaongeza idadi ya singo maza[emoji15]Wakuu natumaini ni wazima. Kuna mtu kanikumbusha huu uzi nikasema niwape mrejesho.
Haka kamchepuko bana bado niko nako mpaka leo! Mungu katubariki kwa sasa tuna katoto ka kiume kana miezi 3 sasa. Tangu kajifungue hatujakutana nimekamiss balaa.. Ila tumepanga wiki ijayo panapo majaaliwa katoroke tuonane maana bado kapo kwao. Ntaendelea kuwapa updates tuzidi kuombeana ya Mungu mengi.
cariha Extrovert Mlolongo financial services Abrianna logframe rikiboy
Tayari ushaongeza idadi ya singo maza[emoji15]Wakuu natumaini ni wazima. Kuna mtu kanikumbusha huu uzi nikasema niwape mrejesho.
Haka kamchepuko bana bado niko nako mpaka leo! Mungu katubariki kwa sasa tuna katoto ka kiume kana miezi 3 sasa. Tangu kajifungue hatujakutana nimekamiss balaa.. Ila tumepanga wiki ijayo panapo majaaliwa katoroke tuonane maana bado kapo kwao. Ntaendelea kuwapa updates tuzidi kuombeana ya Mungu mengi.
cariha Extrovert Mlolongo financial services Abrianna logframe rikiboy
ššššApa kuoa vijana tutapasikia tu mbususu kigwanguraWakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..
1: Utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utasikia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k." "mtungi umeisha gesi" " Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine.
2: Heshima inashuka..
Pili ni heshima yako inashuka baada ya kumnyandua binti huyo, kwani anakuona kama kijana mwenzake. Imagine binti wa 23 yrs anamwambia mzee wa miaka 70 assume ni baba yako. "hujakua wewe nakuacha" hapo mzee wa watu anapiga goti kisa tu mnato binti.. Na ukute mzee wa watu ndo una kibamia ndio utajuta yaani. Tutulie na wake zetu wakuu ama kunywa k vant aka kifutio kama una stress..
3: Kifo nje nje...
Pia kifo kinakuwa nje nje yaani, Izraili anakuwa kashashika kalamu anasubiri tu kupiga sign urudishe namba.. Vitoto hivi huwa vina style za laana wakati wa kufiringana. Mara "idondokee" mzee wa watu hujakaa vizuri mara kamekupa "nimekususia yote" kanakuja kukumalizia na sijui "covid 19" Nini hapo kama si mzee wetu uteme nyongo na maini? Tabu yote ya nini mzee mwenzangu? Mkeo anakupa kistaarabu kabisa wala hazijui hizo "doggy style"..punguza usije dedi ujaacha urithi..
Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.
Siku hizi wanawake wamekua aghari kuliko mabinti, kila wiki wanataka vijora, madela na hela yakutuza, yaani akitoka akitoka ngomani anaunganisha juu kwa juu; kwa msiojua kila sherehe ina vijora na madela manne hii, nayo ni lakuchagulia mchele, lakumtoa mwali, laharusi na lakumsindikiza bi harusi achilia mbali notinoti za kutuza, wanafilisi hawa akina mama.Wakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..
1: Utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utasikia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k." "mtungi umeisha gesi" " Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine.
2: Heshima inashuka..
Pili ni heshima yako inashuka baada ya kumnyandua binti huyo, kwani anakuona kama kijana mwenzake. Imagine binti wa 23 yrs anamwambia mzee wa miaka 70 assume ni baba yako. "hujakua wewe nakuacha" hapo mzee wa watu anapiga goti kisa tu mnato binti.. Na ukute mzee wa watu ndo una kibamia ndio utajuta yaani. Tutulie na wake zetu wakuu ama kunywa k vant aka kifutio kama una stress..
3: Kifo nje nje...
Pia kifo kinakuwa nje nje yaani, Izraili anakuwa kashashika kalamu anasubiri tu kupiga sign urudishe namba.. Vitoto hivi huwa vina style za laana wakati wa kufiringana. Mara "idondokee" mzee wa watu hujakaa vizuri mara kamekupa "nimekususia yote" kanakuja kukumalizia na sijui "covid 19" Nini hapo kama si mzee wetu uteme nyongo na maini? Tabu yote ya nini mzee mwenzangu? Mkeo anakupa kistaarabu kabisa wala hazijui hizo "doggy style"..punguza usije dedi ujaacha urithi..
Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.
Na ni ngumu Sana kutulia.Still bado sijaona point ya maana..
Kibinti cha chuo kikiomba 50 ya copy
Ni Sawa na mdada anaeomba Kodi ya miezi 6?
Au Ada ya mwanae?..
Labda useme Tu tutulie na wake zetu basi..
Hako kajambazi mkuu[emoji1787]
Kaambie kaje kuchukua ghetto. Ila huyu wako atakuwa apewa 'twisheni' na wapigania uhuru [emoji23]Kuna siku nilikapa 25 kalilia shida, naona kabla sijala mbususu kanataka laki nimekaambia subiri [emoji23]
Mimi sioni nafuu maana hata hiyo mishangazi na yenyewe inaomba hisani.
ššššWashatuharibia mpk bikira zenyewe tunazitafuta kwa tochi na hazionekaniWazee wazima hovyooooooo
Mkuu, mtoto wa 2000 ni binti wa ana 23 now, anaweza kulea mume na watoto kabisa.Jera itakumalizaš¤£
Wazee wazima hovyooooooo
Wazee wazima hovyooooooo