ladykiokote
Member
- Jun 12, 2014
- 87
- 31
Mamaako naye mwanamke pia.
Nalo neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamaako naye mwanamke pia.
Tatizo wanaume siku hi I wengi ni wachoyo hawaijui thaman ya mwanamke they are so selfish wanajifikiria wao tu ila saa ya kugonga mzigo wanakuwa kama walishapata hati miliki siwapendi kama nn wanaopenda kutia watoto Wa wenzao kuwahudumia hawawezi.
Unahudumia au na wewe longolongo kama MO11?
Hapo ndipo point yako iliposimamia
Kweli kabisa mkuu na wanavyotupanga hivi, akijitahd saana atalamba 10000, inayobaki watajazia wengine.
Nahudumia kiukweli.
Wajinga kweli...kwenye papuchi ka wa moto wametiwa ndimu kuhudumia mgogoro....kisingizio wanawake wa siku hizi wana mabwana kila kona....what a stupid excuse..unajua nina mabwana kila kona na bado unaendelea kuwa na mimi????
Point haija simam hapo,mkuu
I.mean, kama mwanamke wako akiw mwamnifu na heshima, mwanaume lazma utajikuta unatake responsibility
........otherwise forget t.
Kama unaemhudumia ni mke tu OK in case umeoa. let's say una mpenzi wako hujamuoa ina maana kumhudumia mpaka akuombe?
Hem nirushie laki na nusu kwanza kama kweli usemayo
Hata hapa sidhani kama kuna mtu amesema uhudumie changudoa...anamaanisha mpenzi....hivi mtu unaweza kujua kuwa mpenz wako si mwaminifu na bado ukaendelea nae? Si achana nae kama humuamini kuliko kubaki unaleta visingizio ambavyo unahisihisi tu huna uhakika navyo
Sio suala la kuomba ni financial discipline na ustaarabu tu kukaa na kupanga mambo yenu kwa pamoja, na hapo ndio huwa mnakosea sana!!!!!
Na walioweza hilo tu basi wanakuwa wamefaulu pakubwa sana!!!
Wew upo dunia gani!! Wote wanaokuja kulia humu Jf wanalia kwa sababu za machungudoa??? Fumbua jicho la tatu
Sio suala la kuomba ni financial discipline na ustaarabu tu kukaa na kupanga mambo yenu kwa pamoja, na hapo ndio huwa mnakosea sana!!!!!
Na walioweza hilo tu basi wanakuwa wamefaulu pakubwa sana!!!
May be nimetumia neno kubwa sana....namaanisha mtu kama unaona ana wapenzi wengi kwa nini uendelee kuwa nae na unamuita mpenzi wako?
Financial discipline????? Kuna vitu ambavyo sio lazima tukae mkutano kujadili eg matumizi ya kawaida ya kike ya kila siku hapo ni kujiongeza tu ebwanaeee dem wangu atajitaj 1..2..3...etc mpatie pesa atajua mwenyewe atakavyoitumia hata papuchi kuipata ni mteremko unakuta mwanaume bahili kama nn sijui lkn mashart kama mganga Wa kienyeji....lol