Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu

Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu

Financial discipline????? Kuna vitu ambavyo sio lazima tukae mkutano kujadili eg matumizi ya kawaida ya kike ya kila siku hapo ni kujiongeza tu ebwanaeee dem wangu atajitaj 1..2..3...etc mpatie pesa atajua mwenyewe atakavyoitumia hata papuchi kuipata ni mteremko unakuta mwanaume bahili kama nn sijui lkn mashart kama mganga Wa kienyeji....lol

Sasa hapo perspectives zingoma, hayo matumizi kabla yangu ulikuwa unayatoa wapi mpaka sasa iwe nongwa???!!!
Hivi kusema " perfumes zangu karibia zinaisha" inakugharimu nini???!!!!
Kuna pazia nimeziona nahitaji kujipanga nikanunue;how much? ?; 200: Lini unataka ukanunue; Nina 100 cash nikipata nyingine anytime ntaenda; nikumbushe j'mosi jioni; Ok
Hapo unapungukiwa nini???!!!!

Maisha ya kujiongeza haya ukitaka uwe kama mtoto wa lactogen 1 jiandae kuwa "wa mapito" !!!!
Siku za mwanzo utapewa tu lakini ukweli kila mtu ke kwa me anapenda mtu strategic awe long lasting partner!!!!
 
sijaelewa huyo wa kumuhudumia ni mke au hawara .....?
 
Financial discipline kumpa mpenz ila kunywa pombe na kwenda club kila weekend its okey

Hayo ni maisha yake tangu chuo so anayajua na formula ipo wewe mmekutana tayari kila mtu ana maisha yake so lazima wote mu adjust towards common goal na hiyo lazima muongee sana kwa uwazi mpaka mfikie saturation yaani kujua deodorizers, mafuta ya nywele mpaka ukienda saluni ku ritach sijui steaming yaani ukisema tu ajue steaming is 20 sasa we unataka mtu hamjuani akuoe tu pesa!!!!

Ukiona hivyo ujue unakazzwa tu hapo huna chako na utaachwa mapema tu sababu wahongaji wanataka nyama mpya tu sasa we ukiwekewa fungu lako likiisha umelambwa anza sio utake kuweka kambi na.kudai as if ni pensheni ulikatwa!!!!

So ni uchaguzi tu hapo uliwe ufaid uchape lapa au ukae maisha ya kweli kwa sustainable plan!!!!
 
Hii n kwa wale wanaofikir wanawake zao waliokua nao ni sex toys tu kwa mwanaume anaejijua na kujitambua hasubiri kukurupushwa...

Mimi mpendwa wangu huwa ananiambia anachukia sana kauli kwamba anahitaji kutunzwa wakati yeye anafanya kazi kama mimi. Nina hakika angekuwa mods huu uzi angeunyofoa. Siku zote yeye anapinga mwanamke kuishi kwa kutegemea mme.
 
OLESAIDIMU

Hahahah we unaongea tu.....ila with me nikikaa na mtu asiyejiongeza ni tabu tupu maana biashara ya kuomba hela hata kwa mzazi tu ilikuwaga ni mtihani...ukiona hadi nimesema nakaribia kukanyaga mstari mwekundu....mwanaume unatakiwa ujiongeze kama unavyojiongeza kwenye mambo mengine khaa yan nianze kukupigia bajeti yangu? Kwani we hujui mwanamke anahitaji nini?
 
Last edited by a moderator:
ladykiokote

Gari si yako na ulinunua ukiwa umejipanga sasa mafuta uwekewe tena kwa matumizi yako???!!
Sio lazima wala halazimiki kufanya hivyo ujue!!!
Ye kakuita wewe anayekupenda panda basi nenda au mwambie akufuate uone!!!
Au mwambie sina bajeti ya mafuta ya kuja huko ni nje ya mpango wangu, simamia maamuzi sio ukiitiwa bia na nyama kurupu!!!!
Nguo kwqni alikukuta uchi au unavaa ili mkutane si unavaa sababu ni lazima, kwani mkiachana utatembea uchi??!!

Sasa kwa thinking hii si utasema huna bahati jamani sababu kila ufanyalo we unataka ulipwe tu hata kuvaa ukapendeza???!!!
Kama ni biashara mwambie wazi kuwa hapa kila kitu pesa ajue na kuamua!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahah we unaongea tu.....ila with me nikikaa na mtu asiyejiongeza ni tabu tupu maana biashara ya kuomba hela hata kwa mzazi tu ilikuwaga ni mtihani...ukiona hadi nimesema nakaribia kukanyaga mstari mwekundu....mwanaume unatakiwa ujiongeze kama unavyojiongeza kwenye mambo mengine khaa yan nianze kukupigia bajeti yangu? Kwani we hujui mwanamke anahitaji nini?

Mi sikujui ki hivyooo hata kama tunakatana so siku za mwanzo nambie tu ili nijue nini ni nini, mi nataka kujua ukweli then from there ntafanya yangu sio mwanzo tu nijidai nakufahamu saana huo kwangu ni kujinasibu kwa mbwembwe na mwisho hauwezi kuwa mzuri, yaani sijui hata sabuni tu unayotumia sasa najuaje hii inatosha hii haitoshi???!!

Nawe uliza tu hii perfume leo inanukia vizuri inaitwaje, sh ngapi na kama hayo ndio life inaanza sasa mkijidai ni bureau de change nyie pesaaa tu aaaaanh mwezi tu chali halafu vilio vinaanza!!!

Mkishajuana bas inakuwa rahisi sana unajua mpenzi wangu nikimpa laki atajiongeza, au leo tuna mizunguko mingi gari yake ni poa kwa sababu ni ndogo so ntakuja kwako niache yangu tutumie yako sasa bila kuzungumza haya mi ntajuaje????!!!

Hayo mnayotaka yapo kwa play boys woote ila sasa nyie mnataka watu smart lakini style ya play boys hili hamtolipata!!!!
 
OLESAIDIMU
Mpenzi wako umekaa nae zaidi ya mwaka useme humjui kiivyooo...utani huu ni kukwepa majukumu tu hamna lolote na ukimkuta mwenzangu na mimi kaja mjini na gari la mbao mnakomeshea kweli
 
Last edited by a moderator:
Heading Ya Hii Thread Ingeandikwa; KAMPENI YA KUHIMIZA KUCHUNWA NA WANAWAKE BILA MALALAMIKO. Enyi Wanawake Achen Kuwa Tegemezi Na Kujiona Mna Haki Ya Kuhudumiwa Na Wapenz Wenu Kisa Tu Ni Mwanamke Mnajiandalia Mazingira Ya Kuchezewa Daima
 
Heading Ya Hii Thread Ingeandikwa; KAMPENI YA KUHIMIZA KUCHUNWA NA WANAWAKE BILA MALALAMIKO. Enyi Wanawake Achen Kuwa Tegemezi Na Kujiona Mna Haki Ya Kuhudumiwa Na Wapenz Wenu Kisa Tu Ni Mwanamke Mnajiandalia Mazingira Ya Kuchezewa Daima

Yes tuna haki ya kuhudumiwa kama ninyi mlivyo na haki ya kuhudumiwa na sisi....hivi mimi hapa nikitindikiwa nianze kuomba hela kwa baba wakati kuna limtu hapa limenifanya mi mkewe...kwanza naona aibu aisee..
 
OLESAIDIMU

Ukiwa na mm it means you are responsible kwa everything I need it doesn't matter nan alikuwa ananihudumia kabla sijakuwa na ww! Actually kama mlume anakubali kupokea taarifa ya vitu ninavyovihitaji before haina tabu mbona iyo simple. The issue ni wale wanaume manung'uniko hawatoi wanafanya kulalamikia kila hitaj la mpz wake iwe hitaji Dogo au kubwa.
 
Last edited by a moderator:
Heading Ya Hii Thread Ingeandikwa; KAMPENI YA KUHIMIZA KUCHUNWA NA WANAWAKE BILA MALALAMIKO. Enyi Wanawake Achen Kuwa Tegemezi Na Kujiona Mna Haki Ya Kuhudumiwa Na Wapenz Wenu Kisa Tu Ni Mwanamke Mnajiandalia Mazingira Ya Kuchezewa Daima

Tatizo la wanaume wenye fikra finyu kama huyu kuhudumia mpz anahisi anachunwa we unatoa wapi haki ya kunigegeda Mimi ilihal huwez kunihudumia?????? Hovyoo
 
Ukiwa na mm it means you are responsible kwa everything I need it doesn't matter nan alikuwa ananihudumia kabla sijakuwa na ww! Actually kama mlume anakubali kupokea taarifa ya vitu ninavyovihitaji before haina tabu mbona iyo simple. The issue ni wale wanaume manung'uniko hawatoi wanafanya kulalamikia kila hitaj la mpz wake iwe hitaji Dogo au kubwa.

Ha ha ha aaaaa mijinj tutauana humu!!!!!
Mi nataka partner bhana sitaki mdada wa kumlea kama mwanangu!!!
We leta mahitaji ninayoweza ntafanya mengine yatasubiri maana hata huyo mke tu hapewi 100% mengine naye ana offset kwa kujiongeza!!!!
 
Yes tuna haki ya kuhudumiwa kama ninyi mlivyo na haki ya kuhudumiwa na sisi....hivi mimi hapa nikitindikiwa nianze kuomba hela kwa baba wakati kuna limtu hapa limenifanya mi mkewe...kwanza naona aibu aisee..

Shangaa....hata babaangu ataniona mi sijui vp ..huyo mpz ndo kabeba majukumu ya baba
 
OLESAIDIMU

Olesaidimu we mbishi tena bora tu ukubali yaishe....its your responsibility kuhakikisha I'm living a comfortable life as possible as long as unataka kuwa na mm I mean unanipenda haijalishi utafikiri unanunua au ni hiari.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom