Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu

Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu

Mpenzi wako umekaa nae zaidi ya mwaka useme humjui kiivyooo...utani huu ni kukwepa majukumu tu hamna lolote na ukimkuta mwenzangu na mimi kaja mjini na gari la mbao mnakomeshea kweli
Ikishafika mwaka huyo partner tayari maana anajua mpaka size ya boxer na viatu sasa huyu mnajadili nini??!!!!
Lakini pia haimaanishi uje kama ATM yaani we ukihitaji basi ni short notice, nakubwaga tu hata kama iwe nini maana huna discipline sasa wa nini? ??!!!!

Hao wanoonekana kama wanakomeshwa ndio wanaibukaga na ndoa fasta kuliko much know!!!
Yaani huyu ukimpa pesa zake lakini atakuja na dozen ya leso zako!!!
Wenzangu na mie unampa zake akienda dukani anakuja na deni juu, ile haikutosha tunadaiwa 40 BEBI unipe nikalipe kesho!!!

MAAAANIYNAR!!!!
 
Olesaidimu we mbishi tena bora tu ukubali yaishe....its your responsibility kuhakikisha I'm living a comfortable life as possible as long as unataka kuwa na mm I mean unanipenda haijalishi utafikiri unanunua au ni hiari.

Mi sio mbishi wala ila nataka life smooth ya majadiliano na shirikishi yaani tuongee na kupanga tu hata kwa sms yanaenda pita dukani ona kitu tamani piga picha nitumie sema unakitamani kama ninayo tunanunua kama haipo utawekesha tutafuata in few days japo nione nawe you are considerate sio nihisi you are driving money away from us kila siku!!!!!

Nawe pia unatakiwa kuona am.comfortable without unneccessary stress wala childish naggs kutoka kwako, stoking my mind sababu unatamani mkoba nami sasa sina pesa sitaki kabisa kwanza mapochi unayo over 20 hii unatamani tu lakini umenuna bull shiyt!!!!

Makubaliano na majadiliano kwanza mengine baadaye!!!!
 
Hii ni gia ya kutongozea mademu.
Haya wanaotaka BMW kwenye birthday zao wam-pm.
 
Jembemtaji

Nimekupenda bure mtoa mada loh. Naomba urafiki nawee jamani
 
Last edited by a moderator:
OLESAIDIMU

Huo ni msimamo wako Oles....wapo wanaume vichwa ngumu balaaa kutoa hela Yake hata umwambie 2 months before. Ye hanaga hela kila siku ila bia tunywe mpaka tujikojolee maisha gan hayo. Wanaume wote wangekuwa ivo duh tungeinjoy.
 
Last edited by a moderator:
OLESAIDIMU

Mi nakuambia....kuna wanaume wabahili acha kabisa...speaking from experience hawafai kwa supu wala mshikaki
 
Last edited by a moderator:
Huo ni msimamo wako Oles....wapo wanaume vichwa ngumu balaaa kutoa hela Yake hata umwambie 2 months before. Ye hanaga hela kila siku ila bia tunywe mpaka tujikojolee maisha gan hayo. Wanaume wote wangekuwa ivo duh tungeinjoy.

Labda anakuona maisha yako na kipato we bize na vichen pati na matumizi ya hovyo lakini luku hununui service ya gari unapitisha mashuka sita magauni ya outing mia na sabini, viatu chooni mpaka juu ya dari super high hills nyingine huvai mwaka mzima!!!

Kwa nini apoteze muda na calcified detrimental behaviours???!!!!!
Anafurahia mechi nawe mengine anakuacha kama alivyokukuta!!!
 
OLESAIDIMU

Thubutuuu atafaid labda mechi moja ambayo itakuwa umemcost mbaya hapo siku za nyuma then tutaonana wabaya khaaaa mi stak ujinga eti kama viatu ni vingi si vyangu ye kaz Yake kununua ilo la kuvivaa aniachie mwenyeww
 
Last edited by a moderator:
Mi nakuambia....kuna wanaume wabahili acha kabisa...speaking from experience hawafai kwa supu wala mshikaki

Ndio maana nasisitiza mazungumzo mpaka saturation we mchimbe tu kuhusu maisha ye akileta stori za movie mpya msikilize akimaliza mbadilishie topic juu ya maisha mixer enjoyment haitachukua muda utamjua!!!

Na nyie bhana mtu muajiriwa kama wewe hana biashara wala hisa siku za mwanzo party life na hamuulizi lolote kikiisha kilichokuwepo mnanuna hivi mnadhani wanakojoa pesa???!!!
 
Thubutuuu atafaid labda mechi moja ambayo itakuwa umemcost mbaya hapo siku za nyuma then tutaonana wabaya khaaaa mi stak ujinga eti kama viatu ni vingi si vyangu ye kaz Yake kununua ilo la kuvivaa aniachie mwenyeww

Ha ha haaaa we ngekupata ujanani ungeniacha bila kuaga!!!!
 
Ndio maana nasisitiza mazungumzo mpaka saturation we mchimbe tu kuhusu maisha ye akileta stori za movie mpya msikilize akimaliza mbadilishie topic juu ya maisha mixer enjoyment haitachukua muda utamjua!!!

Na nyie bhana mtu muajiriwa kama wewe hana biashara wala hisa siku za mwanzo party life na hamuulizi lolote kikiisha kilichokuwepo mnanuna hivi mnadhani wanakojoa pesa???!!!

Ukimuuliza utasikia ananichimba anataka kujua vyanzo vyangu vya mapato ili anichune vizuri....hawanaga hata jema hawa watu....
 
Kumpa pesa mpenzi ili kumhudumia kama mke? Hivi wanawake unawajua au unawauliza? Hudumieni, yangu macho.
^^
kwahyoo ww unataka penzi tu na kutoa hela hutakii,kaz unayoo ww,kwahyoo mwenzetu unahudumiwa na jiran
 
Jembemtaji


nchi lazma iendelee kimapenzi kukiwa na wanaume wenye SMART THINKING kama wewe!!!yani wew xo man tu but ni GENTLE MAN
 
Last edited by a moderator:
Ukimuuliza utasikia ananichimba anataka kujua vyanzo vyangu vya mapato ili anichune vizuri....hawanaga hata jema hawa watu....

We muulize yu kiaina hata akinuna we ndo ushajua kuliko kukaa kama zoba uumie baadaye
 
Back
Top Bottom