Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Kwanza nianze kwa kukiri kuwa maisha ni magumu sana nadhani kila mtu anajua.
Na katika mahusiano ya mapenzi kati ya me na ke lazima kunakuwa na tofauti ya kipato, yaani Mara nyingi wanaume wanakuwa na hali mzuri kimapato kuliko mwanamke.
Nieleweke vizuri kuwa simaanishi kuwa wanawake wote wana kipato duni la hasha.
Ningependa kuwashauri wale wenye wapenzi wa kike mambo haya yafuatayo:-
1 Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia, unapokuwa na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua wewe ndio kidume uliemwezesha.
2 .Sio mpaka akuombe ndio umpe. jaribu kumfaamu hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.
3.Usiulize ya nini,ikitokea mpenzi amekuomba HELA usiulize ya nini ye ni MTU mzima awezi kukuomba HELA akaenda kuchambia.
4. Kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.
Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya nyota 5 kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.Cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwacha mpenzi wake 10000 ya nauli.
Huu ni ujinga bora ungeenda ata lodge ya nafuu yeye ukamwacha na HELA ya kutosha.
5.Tenga ata 10% ya mshahara MPE yeye aangalie kama kuna kitu cha kurekebisha arekebishe.
NB.
APA ni kwa wale Wanaume wanaowazidi kipato wanawake wao sio wanawake wenye vipato vizur.
Tusiwe wataalam wakutafuta Gspot wakati ukiombwa ata 1000 unanuna mapenzi ni pamoja na kupunguzia makali ya maisha.
Yeyote mwenye chochote anaweza kuongezea apo.
Na katika mahusiano ya mapenzi kati ya me na ke lazima kunakuwa na tofauti ya kipato, yaani Mara nyingi wanaume wanakuwa na hali mzuri kimapato kuliko mwanamke.
Nieleweke vizuri kuwa simaanishi kuwa wanawake wote wana kipato duni la hasha.
Ningependa kuwashauri wale wenye wapenzi wa kike mambo haya yafuatayo:-
1 Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia, unapokuwa na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua wewe ndio kidume uliemwezesha.
2 .Sio mpaka akuombe ndio umpe. jaribu kumfaamu hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.
3.Usiulize ya nini,ikitokea mpenzi amekuomba HELA usiulize ya nini ye ni MTU mzima awezi kukuomba HELA akaenda kuchambia.
4. Kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.
Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya nyota 5 kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.Cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwacha mpenzi wake 10000 ya nauli.
Huu ni ujinga bora ungeenda ata lodge ya nafuu yeye ukamwacha na HELA ya kutosha.
5.Tenga ata 10% ya mshahara MPE yeye aangalie kama kuna kitu cha kurekebisha arekebishe.
NB.
APA ni kwa wale Wanaume wanaowazidi kipato wanawake wao sio wanawake wenye vipato vizur.
Tusiwe wataalam wakutafuta Gspot wakati ukiombwa ata 1000 unanuna mapenzi ni pamoja na kupunguzia makali ya maisha.
Yeyote mwenye chochote anaweza kuongezea apo.
