Wanaume tuelimishane ulinzi, ni silaha gani nje ya bunduki ni nzuri kuimiliki sehemu unayoishi?

Hapo sawa mdau
 
Kanunue kifaa wanachotumiaga polisi kupiga shoti mtu..vinauzwa siku hizi..kariakoo vipo kibao..!!
 
Mungu ndie mlinzi wangu na wa nyumba yangu.
Mtegemeeni Mungu kwa kila jambo...

Mkishimdwa kumtegemea Mungu basi tumieni uchawi..

Sasa wewe uko peke yako afu njemba kama kumi zenye uzoefu wa ujambazi zikiwa na silaha za kisasa na za jadi.... unategemea utatoka na kipanga chako ukawakabili afu utoke salama?
 
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
 
Binafsi najua sana kutumia silaha na ngumi za ana kwa ana nashauri mazee kuwa na silaha pekee sio tija ila tujue namna za kuzitumia kwa kumjeruhi mbaya wako

Ndani nna kisu kimoja hatari sana
 
mungu alijua ayo mambo yapo ndomaana akakupa sauti. iyo ndo silaha kubwa kuliko zote.

si unaonaga mtoto akizaliwa ni lazma alie kwanza? sasa iyo ndo silaha namba moja zingine zote zinafata baadae.

iyo sauti yako ndo silaha kubwa! km una sauti ndogo tumia filimbi!

wale wahalifu wa usiku ukiwapigia makelele lazma wapoteane.
 
Silaha yangu kubwa ni kutokuishi Keko, Temeke, Vinguguti, Tandale, Mbagala na maeneo yote yasio na watu waliostaarabika. Hio ndio silaha ya kwanza.

Ya pili sipendagi vurugu vurugu kwahio sijiweki katika mazingira ya kutibuana na watu. Nahakikisha marafiki na jamaa ni wengi kuliko maadui.
 
do not carry a weapon "be a weapon" kacheze taekwondo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…