Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hapo sawa mdauUmenena hapo, maana sikuhizi hata simu za mifukoni zina tochi.
Ila kuna mdau kachangia kwamba silaha yake mojawapo ni tochi yenye mwanga mkali, nadhani kwa tuliowahi kusoma shule za boarding tunajua zilivyotumika, usiku taa zikizimwa mtu akipigwa mwanga mkali anakula mikanda bila kujua inatoka wapi
Kanunue kifaa wanachotumiaga polisi kupiga shoti mtu..vinauzwa siku hizi..kariakoo vipo kibao..!!Chukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibuWell umeongelea manati ni sawa yanaweza kukusaidia kwa mbali,lakini chukua mfano wameishafanikiwa kuingiza sebuleni wewe uko chumbani, kwenye situation kama hiyo bastola ni muafaka haswa kama umejificha kwenye Kona fulani unawadondosha mmoja mmoja, lakini swali je ni Kila mmoja wetu ana sifa ya kumiliki bastola jibu ni hapana,
trick inayoweza kukusaidia ni kuwa na switch inayoweza kuzima umeme nyumba nzima, halafu unavaa miwani Yako ya night vision, huku umeshika chupa ya plastic ya nusu Lita, zile za maji ya kunywa, ikiwa imejaa maji yaliyochaganywa na pilipili ya unga Kali kabisa kifuniko kikiwa kimetobolewa tundu dogo unene wa njiti mbili za kiberiti, kwa sababu hawakuoni wewe unawaona unawaminyia maji ya pilipili kwenye macho, wakati wanafikicha macho unamaliza game na silaha za jadi halafu unawasachi mifukoni kama walitembea na hela'then unaripoti tukio kwa vyombo vya usalama.
Funguka brooPilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
Hiyo Kali sana.tafuta uchawi tu hautajutia.
Hata hapo sebuleni hawatafika maana wakivuka tu geti lako wote nyuma wanaloa na wakijitia viburi lazima wapatwe na usingizi hapohapo sebuleni pamoja na kupigwa kipara wote.
mungu alijua ayo mambo yapo ndomaana akakupa sauti. iyo ndo silaha kubwa kuliko zote.Chukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Unajua kuvitumia?Panga na nondo
mbwa si anapewa sumu au nyama tam anatuliambwa mzuri ila si kila ntu anaweza kufuga
mbwa kazi kuu atasaidia zaidi kuwa kama alarm
do not carry a weapon "be a weapon" kacheze taekwondo"Chukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.