Wanaume tuelimishane ulinzi, ni silaha gani nje ya bunduki ni nzuri kuimiliki sehemu unayoishi?

Hyo speed utaitumia kukimbia juu darini au chumba kwa chumba?
 

We umetisha mbayaaa
 

Watu wanaongelea silaha, mapanga ,visu na kadhalika.

Lakini first line of defence ni situational awareness.
Paying attention to changes in your surroundings including, peoples wanao kuzunguka. Hiyo itakupa ability ya ku detect early signs of danger before hata haijatokea
 
Silaha nyingine ni kujichanganya simetimes na vijana kijiweni,Mimi huwa napata time ya kukaa na vijana wahuni,nanunua mizinga ya k vant pack za sigara tunakaa,unakuta wanajimaliza wenyewe .utasikia sema nin mshua hata nisikie jambo gani baya kwako ntakustua tuu huna bayaa.kuna siku niliibiwa nondo nje walirudisha
 
Usiku hakuna ambae atatoka
 
Mimi nimenunua tundikali nimeiweka kwenye syringe na iko peaceful packed kwenye drawer ya MEZA ya kitanda.... yaani ukijichanganya naispray usoni chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…