Wanaume tujifunze kushukuru Wake zetu baada ya tendo la ndoa na baada ya chakula

Wanaume tujifunze kushukuru Wake zetu baada ya tendo la ndoa na baada ya chakula

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Pengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.

Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.

Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.

Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.

@Kaeni nao kwa akili.
 
mbwa jike wananidhamu kwenye tendo lamaisha

dume likichomoa tu jike hugeuka fasta na kuaza kuulamba mkurunge....

Wanaume sisi tutawapaje asante wakati ikichomolewa tu mwanamke mojakwamoja bafuni.....mnaendaga kutoa nn
Hao wakwako mkuu ndio ukichomoa wanakimbilia bafuni moja kwa moja. Sasa jiulize kwanini wanakimbilia bafuni badala ya kupumzika🤣🤣🤣🤣
 
Pengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.

Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.

Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.

Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.

@Kaeni nao kwa akili.
Mimi kwa kweli nikishapelekewa moto lazima nishukuru yaan nimtoe mtu jasho alaf nimuangalie hivihivi jaman, lazima nimshukuru kwa kunikoja na yeye ananishukuru kwa mauno na mautundu kwa kweli, sex ni ubunifu lazima anishukuru kwa ubununifu yaan sanaa yangu kuchezea muwa wake
 
Kweli wanaume tumebaki wachache, yaan unataka wanaume tushukuru baada ya tendo wakati mwanamke ndie inabidi ashukuru, na khs chakula mwanamke inabidi ashukuru wewe umeamua kula chakula chake na sio cha mke wa pili au mchepuko?

You are just another stupid, weak and brainwashed boy. Nyie ndo wale mnalambwa tobo au mnatiwa madole na wake zenu ndio mdinde na mkiingiza ni nusu dakika tu.
Pengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.

Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.

Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.

Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.

@Kaeni nao kwa akili.
 
Kweli wanaume tumebaki wachache, yaan unataka wanaume tushukuru baada ya tendo wakati mwanamke ndie inabidi ashukuru, na khs chakula mwanamke inabidi ashukuru wewe umeamua kula chakula chake na sio cha mke wa pili au mchepuko?

You are just another stupid, weak and brainwashed boy. Nyie ndo wale mnalambwa tobo au mnatiwa madole na wake zenu ndio mdinde na mkiingiza ni nusu dakika tu.
Mjumbe hahaha
 
Pengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.

Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.

Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.

Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.

@Kaeni nao kwa akili.


Mpe pesa ya kutosha hata kama ni mkeo, utaona kila kitu kipo vema sana..!!
 
Back
Top Bottom