Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
😅😅🤣🤣🤣 sawa Tunda usijali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅🤣🤣🤣 sawa Tunda usijali
Ngoja tuone wakongwe Wana mtazamo ganiMm siko kwenye ndoa ila kuombana ipo tu iyoiyo ya code ndo umeomba 😂😂
Kwa hiyo chupa imejaa hadi inamwagika yenyewe jaman
Hujaona hata mtoto mdogo akiogeshwa?
😆wakumuingizia hajatokeaKwa hiyo chupa imejaa hadi inamwagika yenyewe jaman
Umeongea vzr ila sijui kama hata wamekuelewaPengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.
Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.
Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.
Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.
@Kaeni nao kwa akili.
Jaman hadi nimeitamani😆wakumuingizia hajatokea
Wewe na mwenza wako mnataka mfanane tabia na mbwa!😳mbwa jike wananidhamu kwenye tendo lamaisha
dume likichomoa tu jike hugeuka fasta na kuaza kuulamba mkurunge....
Wanaume sisi tutawapaje asante wakati ikichomolewa tu mwanamke mojakwamoja bafuni.....mnaendaga kutoa nn
sijasema hivyo ,kufutwa lazima hata mbwa yule kulamba Ile niasante baada ya kichapoWewe na mwenza wako mnataka mfanane tabia na mbwa!😳