Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
😆😆Hao wakwako mkuu ndio ukichomoa wanakimbilia bafuni moja kwa moja. Sasa jiulize kwanini wanakimbilia bafuni badala ya kupumzika🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆Hao wakwako mkuu ndio ukichomoa wanakimbilia bafuni moja kwa moja. Sasa jiulize kwanini wanakimbilia bafuni badala ya kupumzika🤣🤣🤣🤣
Ila wewe Nchi tisa una mamboo,Mbinu Hii Ni Kwa Vijana Wale Walioanza Kutomb Baada Ya kuanza Kujipata Au Walioanza Kupokea Mshahara Baada Ya Kuwa Bikra KwA Muda Wote Walipokuwa Hawana Senti Ila KwA Sisi Tunaojua Kutongoza Wala Hatuhitaji Pesa Ili Tutomb Wala Kupendwa.
Hii ndio naisikia leo😄😂😂mbwa jike wananidhamu kwenye tendo lamaisha
dume likichomoa tu jike hugeuka fasta na kuaza kuulamba mkurunge....
Wanaume sisi tutawapaje asante wakati ikichomolewa tu mwanamke mojakwamoja bafuni.....mnaendaga kutoa nn
ooohooo mie nafuga hapa kwangu ...nawaonagaHii ndio naisikia leo😄😂😂
1 Wakorintho 11:9Pengine ni kutokujua, Mume unapopewa tendo la ndoa na Mkeo ni huduma ile. Unapaswa kumpa Asante mara amalizapo kazi hii adhimu ya kukuhudumia Ili aendelee kuiboresha zaidi zaidi. Na hili huongeza sana ladha ya Mapenzi na upendo kwako.
Kadhalika hata anapokupikia na hata kikufulia unapaswa kumshukuru Mkeo. Hata kama chakula umenunua wewe. Hii itamfanya aendelee kukuhudumia vema kwa mapishi na kujali sana afya Yako.
Tusijishike sana na neno HAKI ya ndoa. Fahamu yule anayekupa HAKI hiyo naye anapaswa kuwa vizuri kisaikolojia, kiakili na kihisia.
Neno Asante kwa Mkeo ni Moja ya vitu vinachochoea na kusisimua sana Mapenzi yake ya dhati kwako.
Mke akikupenda atakuhudumia kwa kujali vizuri, na hivyo utakuwa salama zaidi.
@Kaeni nao kwa akili.
Hivi tuongee tu mi nisemeje? Kila tukimaliza ni kushukuru duh!😀😀
Mimi kwa kweli nikishapelekewa moto lazima nishukuru yaan nimtoe mtu jasho alaf nimuangalie hivihivi jaman, lazima nimshukuru kwa kunikoja na yeye ananishukuru kwa mauno na mautundu kwa kweli, sex ni ubunifu lazima anishukuru kwa ubununifu yaan sanaa yangu kuchezea muwa wake
Hapa inategemea na size ndio ita determine kama mtu apewe pole au asantiHivi huwa inasemwa "pole baby" au "asante baby"? Ni kipi hasa kinafaa, au vyote kwa pamoja?
Mmhh!! Wanaume Hawa Hawa tunaopishana nao , 😂😂 nipo nimekaa pale.
😂😂Kama kawaida wanaachajeWashaugeuza uzi kichwa chini miguu juu na kutaka kujua kwa nini thank you bebe wasipewe wao.
😃😃😃Mimi naona alieomba ndo ashukuru au 😃Hivi tuongee tu mi nisemeje? Kila tukimaliza ni kushukuru duh!
Mlioko kwenye ndoa hua mnaombana? Sisi huku uraiani tuna code zetu za shukran😃😃😃Mimi naona alieomba ndo ashukuru au 😃
Mm siko kwenye ndoa ila kuombana ipo tu iyoiyo ya code ndo umeomba 😂😂Mlioko kwenye ndoa hua mnaombana? Sisi huku uraiani tuna code zetu za shukran
Hahaha tunajikinga na afya ya akili wenzioNilijua huu uzi lazima ukukurupue mafichoni
🤣🤣🤣 sawa Tunda usijaliHahaha tunajikinga na afya ya akili wenzio