Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Mtoa mada
Kwenye upande wa tamaa unavofananisha mwanaume na mwanamke unakua unakosea Sana.

Mwanamke anaweza kaa ata miaka 2 bila kusex na akawa bado Yuko sawa.

Ila nitafutie mwanaume anayeweza kukaa miaka 2 bila kusex,
afu nambie utamkuta na Hali gani kiakili.

Unachotakiwa ujue,
Sisi Wanaume tukishamtamani mwanamke , pesa inakua Haina thamani Tena.

Kinachohitajika hapo Ni papuchi TU bhaaaas.

Mambo ya pesa, Ayo yanakua Ni makaratasi TU.

TUSIPOTOSHANE TAFADHALI
 
Mtoa mada anapaswa akapimwe afya ya ngono,

Huenda ana upungufu wa nyege mwilini.

Mwanaume aliekamilika ,
Tendo la Ndoa Ni mahitaji muhimu Kama ilivyo chakula,malazi na mavazi.

Kingine anajisahau kua kwa Zama tulizopo,pesa inarahisisha kupata mahitaji muhimu kwa urahisi.

Kwahiyo,
Kwenye suala la Kutoa pesa, wanaume anayetoa pesa anakua kapitia njia ya mkato zaidi.

Kwa maana
MDA wa Kujieleza Sana, tuchuma chuma maua, kulia Lia Sana unakua hamna.
 
umeongeA fact KABisa,

Afu Kitendo Cha mwanaume kuonea huruma na kuzipangia matumizi Ela za mwanaume mwenzake alozitafuta kwa jasho lake mwenyewe.

Huo Ni UJINGA ULOTUKUKA.
 
Wanawake wa Jf na nyie acheni kua vigeugeu.

[emoji117]Kaka ako akimpa sana pesa mwanamke wake, mnasema
"Kaka Hana Akili, anahonga honga Sana Ela kwa wanawake"

[emoji117]Ila Kaka ako uyo uyo,
Akikupa Sana wewe dada ake pesa, unasema
"Kaka ana Akili, hatumii pesa ovyo kwa wanawake"

Yaani ni ubinafsi juu ya ubinafsi
 
Fact mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…