Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Wanawake ambao hawana tako wanashida jamani kha!
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa umeniua sana hapo mwishoni! Hakuna bwege wa kutuma laki sita kwa demu asiye na shepu ya kueleweka😅
 
Wahuni wanabet hadi million kisa papursi
 
First things first, je wewe ni mdada?
 
Men are hunters and gatherers

Tumeumbwa hivyo
 
Ukipost tu point kakamavu kama hii nakupiga Kongole. KONGOLE KUBWA KWAKO MKUU. Tujifunze na tubadilike wanaume, familia zetu zinaishi maisha ya dhiki kwa sababu ya tamaa zetu za kijinga, kama tulijua hatuwezi acha uzinzi, basi tulipaswa tusianzishe familia ambazo kwa sababu yetu katika hili ndizo zinazoumia,,,kwa sababu yetu, watu wengine wasio na hatia (familia zetu) wanaishi maisha ya taabu
 

Hahahahahaha Carleen mzidi kutuweka kwenye maombi aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fact but not truth
 
Halafu ni hawa wa hizi nchi maskini!

Ndio maana namuelewa Trump alivyosema.

Yani Mwanaume maskini kukicha alfajiri anashika kichwa cha chini (lobo) na kukikuna kuonesha kuwa kipaombele chake kwenye maisha ni kungonoka,

Lakini Mwanaume tajiri na mwenye akili alfajiri ya siku ikifika hukuna kichwa cha juu kuwaza jinsi ya kwenda kufanya kazi na kuzalisha mali Kwa maendeleo endelevu.
 
Pale kati patamu.

Mimi nikipataga pale kati patamu huwa zinachaji sana huwana nachora mipango mikubwa mikubwa[emoji2]
 
Shukran kwa COMPLIMENT mkuu wangu 🙏

Hakika umenena.....tunawapa sana shida wanaotutegemea....
 
Umeongea Fact sema kwa asaivi wanaume wanatafuta sana pesa.Na hata kama kuna mtu anapenda ngono basi sio kama zamani enzi za mwanzo wa Mtandao waFb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…