Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Sioni faida yake, mana ukimjua ni lazima furaha yako itapotea tu. Kama anakupa furaha, anatimiza wajibu wake baki tu kujua kuwa huyu ni mume wangu na ananipenda au huyu ni mke wangu na ananipenda basi lakini si kuwaza vinginevyo kuwa muda huu mwenzangu anachepuka au yuko na mtu fulani, hautakuja kuwa na furaha kamwe...ishi kama uko peke yako hakuna mwenzako na siku ukishuhudia kwa bahati mbaya ndipo unatakiwa kufanya maamuzi papo apo bila kuweweseka au kujiuliza mengine. Mi huwa nipo hivyo, mpenzi wangu huwa namuona ni wa kwangu tu peke yangu, huwa simuwazii mabaya eti anachepuka. Ila siku nikianza kuona utofauti na ninashughudia. Huwa natoa maamuzi ya haraka sana. Tena naweza ata nisimwambie ila upendo moyoni unatoka tu wenyeweee atakuja gundua taratibu taratibu.
The Most Winner
nadhani hujaelewa point yangu
 
Wewe huwa unawala ma ex wako?
mimi Ma - Ex zangu wote ni rafiki zangu, ambao hawajaolewa, NDIO nawala mara chache inapotokea.
walioolewa umebaki urafiki tu sijawahi kula mke wa mtu na sifikirii hivo
 
Mwanamke akikuchiti na umeshuhudia kwa kuwaona live au kwa ushahidi wa maandishi kama text hivi.unapata wapi? Ujasiri wa kumsamehe
 
Kwanza lazima ifahamike kuwa wapenzi huwa hawaachani isipokuwa huwa wanatengana kwa tofauti zao,,
Hivyo kufuatilia X wa mpenzi wako ni sawa na kujaza pipa maji kwa kisoda,,,utakesha zaidi ikikuuma nawe kapashe kiporo huko buza
 
Aiseee..whatever bwana .
Tusiwekane roho juu
 
Kwanza lazima ifahamike kuwa wapenzi huwa hawaachani isipokuwa huwa wanatengana kwa tofauti zao,,
Hivyo kufuatilia X wa mpenzi wako ni sawa na kujaza pipa maji kwa kisoda,,,utakesha zaidi ikikuuma nawe kapashe kiporo huko buza
😀 😀
 
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Hawa majamaa ni wajinga sana, yaani wanatulia kabisa, na inauma kwa kweli. Lakini na mimi sipo nyuma, nimemlia jamaa
 
Back
Top Bottom