Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuliwa tu anafumuliwa marinda kabisa!
nadhani hujaelewa point yanguSioni faida yake, mana ukimjua ni lazima furaha yako itapotea tu. Kama anakupa furaha, anatimiza wajibu wake baki tu kujua kuwa huyu ni mume wangu na ananipenda au huyu ni mke wangu na ananipenda basi lakini si kuwaza vinginevyo kuwa muda huu mwenzangu anachepuka au yuko na mtu fulani, hautakuja kuwa na furaha kamwe...ishi kama uko peke yako hakuna mwenzako na siku ukishuhudia kwa bahati mbaya ndipo unatakiwa kufanya maamuzi papo apo bila kuweweseka au kujiuliza mengine. Mi huwa nipo hivyo, mpenzi wangu huwa namuona ni wa kwangu tu peke yangu, huwa simuwazii mabaya eti anachepuka. Ila siku nikianza kuona utofauti na ninashughudia. Huwa natoa maamuzi ya haraka sana. Tena naweza ata nisimwambie ila upendo moyoni unatoka tu wenyeweee atakuja gundua taratibu taratibu.
The Most Winner
mimi Ma - Ex zangu wote ni rafiki zangu, ambao hawajaolewa, NDIO nawala mara chache inapotokea.Wewe huwa unawala ma ex wako?
Nimekuelewa mkuu. Ila kujua ex wa mumeo au mkeo ni kujipa tabu. Kwanini usumbuke na icho kitu?nadhani hujaelewa point yangu
Hamna faida ya kumjuasimaanishi hivo boss, nadhani unafahamu faida za kumjua mwizi wako?
ni bora kuibiwa na mwizi usiyemjua au unaemjua ili ufanye maamuzi sahihi?Nimekuelewa mkuu. Ila kujua ex wa mumeo au mkeo ni kujipa tabu. Kwanini usumbuke na icho kitu?
The Most Winner
😀 😀Kwanza lazima ifahamike kuwa wapenzi huwa hawaachani isipokuwa huwa wanatengana kwa tofauti zao,,
Hivyo kufuatilia X wa mpenzi wako ni sawa na kujaza pipa maji kwa kisoda,,,utakesha zaidi ikikuuma nawe kapashe kiporo huko buza
kuibiwa na mwizi usiyemjua kunauma mkuuHamna faida ya kumjua
Hawa majamaa ni wajinga sana, yaani wanatulia kabisa, na inauma kwa kweli. Lakini na mimi sipo nyuma, nimemlia jamaaTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
hahaAiseee..whatever bwana .
Tusiwekane roho juu
aisee hahaHawa majamaa ni wajinga sana, yaani wanatulia kabisa, na inauma kwa kweli. Lakini na mimi sipo nyuma, nimemlia jamaa