Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Hapana mkuu mimi sijawahi na sitarajii kufanya kitu kama hicho ila nimeandika tu kutokana yaliyopo mtaani
Mimi Siamini mpaka nikutafte nithibitishe hili maana Kuna mahali pia nimekuona😃
 
X wako anakwambia hivi, unafanyaje ?
IMG_3966.JPG
IMG_3967.JPG
 
Na wachapaji inafikiA hatua wanajisifu na kuwatukana wuame halisi wa Ndoa....


Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.

Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.

Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.

Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.

Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.

Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
 
Tuishi tukiamini kuwa mumeo/mkeo ni wako peke yako.

Ikiwa utajua anachap(w)a nje(na ex au mtu mwingine yeyote), huna budi kuachana naye mara moja!!

Sababu: amevunja kiapo cha uaminifu.
 
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.

Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.

Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.

Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.

Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.

Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Mkuu hata wewe wanamtafuna wa kwako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha jamaa mmoja headmaster wa secondary alisafiri na mkewe kwenda kijijini kwao mwanamke kuhani msiba (ni mkoa flani kanda ya ziwa)
Walipofika huko kumbe kuna ex wa mkewe jamaa mmoja tena mwanakijiji mchafu mchafu hivi mke anamuaga jamaa usiku anamwacha chumbani peke yake eti anaenda kulala chumba cha wadogo zake wa kike akague madaftari yao na kuwashauri kuhusu masomo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa akawa anamkubalia mke anaenda anarudi alfajiri eti amelala na wadogo zake kumbe anapigwa pumbu na yule mwanakijiji jirani yao kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hata wewe wanamtafuna wa kwako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha jamaa mmoja headmaster wa secondary alisafiri na mkewe kwenda kijijini kwao mwanamke kuhani msiba (ni mkoa flani kanda ya ziwa)
Walipofika huko kumbe kuna ex wa mkewe jamaa mmoja tena mwanakijiji mchafu mchafu hivi mke anamuaga jamaa usiku anamwacha chumbani peke yake eti anaenda kulala chumba cha wadogo zake wa kike akague madaftari yao na kuwashauri kuhusu masomo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa akawa anamkubalia mke anaenda anarudi alfajiri eti amelala na wadogo zake kumbe anapigwa pumbu na yule mwanakijiji jirani yao kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahaha
 
Usichokijua akikuumizi, bora kitulia tuu na kutokumfatilia, ukimfatilia na ukija kujua kama anachepuka then what next..


Usimfatilie maisha yaendelee
 
Usichokijua akikuumizi, bora kitulia tuu na kutokumfatilia, ukimfatilia na ukija kujua kama anachepuka then what next..


Usimfatilie maisha yaendelee
Yaani umeshajua anachepuka then unauliza what next..? 😳🤔
 
Back
Top Bottom