Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Mkuu hivyo ndivyo ilivyo Katika nchi za Afrika,hata huku kwetu Ni majanga Bora huko kwenu,hivi nikuulize huko kwenu mbunge analipwa sh' ngapi kwa Mwezi Kama mshahara?
Millioni 11 tshs bado marupurupu hapo nyie huko vipi
 
Una
Mmmmmh acha zako ww mi najua hata nikipata hela 💰💰💰💰 nita attract malaya tu mkuuu

Nina wenzangu chuoni wana vihela vya kawaida ila bado mademu wanawahonga pesa ili wawe nao

Mi natafuta hela ili nisaidie masikini mkuuu


Sio kwa ajili ya wanawake ntatafuta mmoja nimpe. Hela anizalie nimtupe huko
Una mawazo kama Yangu Kamanda.
 
Back
Top Bottom