Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Niko Udom, CHS mwaka wa tatu huu kila demu anikataa!

Sadhours🤒🤒
Shaka ondoa Kaka!!!maliza kitabu,,,karibu kitaa tuenjoi na masingo maza,,hao acha waringe sasa,,, tutakutananao wakishakua Masingo Maza humu humu kitaa,,,mbona hawaendi popote wakishamalizaga chuo,,wangekua wananyakuliwa wangetuumiza vichwa sana!!!
 
Shaka ondoa Kaka!!!maliza kitabu,,,karibu kitaa tuenjoi na masingo maza,,hao acha waringe sasa,,, tutakutananao wakishakua Masingo Maza humu humu kitaa,,,mbona hawaendi popote wakishamalizaga chuo,,wangekua wananyakuliwa wangetuumiza vichwa sana!!!
Sure ngoja nimalize bachelor yangu kwanza, afu saiz magonjwa mengi!
 
Shaka ondoa Kaka!!!maliza kitabu,,,karibu kitaa tuenjoi na masingo maza,,hao acha waringe sasa,,, tutakutananao wakishakua Masingo Maza humu humu kitaa,,,mbona hawaendi popote wakishamalizaga chuo,,wangekua wananyakuliwa wangetuumiza vichwa sana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom