Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Mkuu hivyo ndivyo ilivyo Katika nchi za Afrika,hata huku kwetu Ni majanga Bora huko kwenu,hivi nikuulize huko kwenu mbunge analipwa sh' ngapi kwa Mwezi Kama mshahara?
Millioni 11 tshs bado marupurupu hapo nyie huko vipi
 
Vipi Hali ya maisha huko Tz ikoje? Hivi Kuna unafuu wa maisha huko mkuu?
Unafuu upo kwa wajanja mkuuu ukikaaa ki zombie zombie umeliwa kichwa tu

Watu wenye uthubutu ndo wanaotoboa tu hawa makurumbembe wengine hamna kitu hapo aseee 😁😁😁😁
 
N

Kenya saivi tumekumbwa na financial crisis na hiyo imepelekea maisha kuwa magumu Sana.Hata shilingi yetu imeshuka thamani kwa kiasi kikubwa Sana
140Ksh=1 US Dollar
1Ksh=18 Tsh
Duuh asee kuna kipindi ilikuwa

1 ksh = 21 tshs 😜😜

Haha nchi inawenyewe hiyo
 
Una
Una mawazo kama Yangu Kamanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…