Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Mie niliambukizwa gono na Dada moja ya kisabato,Dada alikuwa anasali yule-yani akitoka kazini kwake ni yeye na kanisani na alikuwa kiongozi wa kwaya.

Nililala nae mara 6,na nilisitisha kuendelea naye baada ya kunipa gono.nikatumia vidonge havikufua dafu mpaka sindano ndio nikaka sawa.

Cha ajabu yeye anasema hana,namuuliza Dokta akasema kisonono kwa mwanamke anaweza akaishi nacho hata 10 yrs na kisionekane.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]nmecheka utadhan mazuri[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa umekula kavu jana unapima HIV kesho

Anyway nilikua naona kwa wagonjwa tu mpaka nilipokutana na husna kimodo dadekii
Yani kabla ujakojoa unalia mchozi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yani kabla ujakojoa unalia mchozi [emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwaiyo nawe ulisambaza mkuu[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka mpaka Basi
Kama nakuona vile unavosubiri foleni[emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ukweli, tuambiane ukweli!....

Huwezi kuitwa mwanaume kamili/Shababi..... kama hujawahi likwaa Gono.......Tusidanganyane! Humu...wengi wetu 90[emoji817].... Tulishalivagaa....huo ndio ukweli,
Binafs na utukutu wote sijawahi mkuu[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…