.....Kwenye ukweli, tuambiane ukweli!....
Huwezi kuitwa mwanaume kamili/Shababi..... kama hujawahi likwaa Gono.......Tusidanganyane! Humu...wengi wetu 90💯.... Tulishalivagaa....huo ndio ukweli,
Duh kwahyo ikawaje
Ndom kazi yake ni ubatili 😅😅National Anthem huyu mleta mada alisahau matumizi ya ndom
Sasa ndo mjiandae kubabuka kirunguNdom kazi yake ni ubatili 😅😅
Hatar sana mkuuUnakwenda chumvini kwa mademu hawa wa kibongo Leo yupo na wewe kesho yupo na mwingine-wote anawanyonya.
[emoji38][emoji38][emoji38]nmecheka utadhan mazuri[emoji1787]AMINA KIJORA ANILIPA U.T.I SUGU ILE YA KUCHOMWA SINDANDO
MAMY ZE BOSS ALINIPA GONO
SIKUVAA BOKSA MIEZI 6 NILIKUWA NATEMBEA KAMA NINA BUSHA
KUKOJOA KAMA NIMEPIGWA SHOTI
NILIKUWA NALALIA MGONGO TU MAANA UKILALIA TUMBO KICHWA CHA UUME KINAPIGA SHOTI MUDA WOTE
Sasa umekula kavu jana unapima HIV kesho
Anyway nilikua naona kwa wagonjwa tu mpaka nilipokutana na husna kimodo dadekii
Yani kabla ujakojoa unalia mchozi
Kwaiyo nawe ulisambaza mkuu[emoji1787]Usiamini MTU. Mimi aliniambukiza demu Fulani mbichi kabisa anafanya kazi serikalini, bahati nzuri sikushuka uvinza. Kibaya zaidi niliwajibika kwa girl friend wangu wa kipindi hicho siku hiyo hiyo.Eebwanae. Kumwambia girl friend anayekuamini kwamba umemuambukiza gono Ni mbombo ngafu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka mpaka Basi2010 tulipiga mande masela 10 tukijua tumemkomoa yule malaya doh!!!
Maajabu ni kwamba kuna walioumwa gono,kaswende na uti mpaka nikajiuliza huyu demu ana juju au veep...
Nikajuta na zile pushapu nilizokua napiga..(nilikua na tabia ya kupiga pushapu wakati nasubiri foleni ili damu ichanganye..)
Dom naskia imeoza balaa,Gono msala hasa la dom ,[emoji28][emoji28]
masaa kadhaa mzigo unacheua...
Binafs na utukutu wote sijawahi mkuu[emoji4]Kwenye ukweli, tuambiane ukweli!....
Huwezi kuitwa mwanaume kamili/Shababi..... kama hujawahi likwaa Gono.......Tusidanganyane! Humu...wengi wetu 90[emoji817].... Tulishalivagaa....huo ndio ukweli,
We unazungumzia penadur zile ni za kaswendeMaumivu ya sindano ya gono sio ya kitoto nyie[emoji23]
Aisee Ni gonjwa la aibu mno,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] gonjwa la aibu
Kuna magonjwa hata kinga haizuii. Unaijua Pangusa?Huu uzi nimecheka,ila nimewahurumia vijana.Bora gono.Ngoma je?Cha muhimu tumieni kinga. Bora ujichue kuliko kuuza mechi wajameni wadogo zanguni .