Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Ni kaswende.. syphilis..huu ugonjwa unashambulia mdogomdogo lakini Ni hatari unaweza kuharibu Hadi ubongo ukawa kichaa..
Ni kweli kwani niliupata 2005 kwenda hospitali ilikuwa either 2006 au 2007 na nilimueleza dr kuwa mbona sijagusa mwanamke kavukavu muda mrefu. Akaniambia Neno hilo. Vidada vya majani mapana, nguvumali, Kisosora, Mwanzange na mwakidira ndio viliniambukiza hsyo.
 
Acha kabisa[emoji22][emoji22] Hiii kitu ilinifanya nile ada ya second term form five,2005,kwa kujitibia.Sitasahau.Ajabu nilipomwambia mhusika tulipoonana akakana kabisa kuwa hana!
 
Tembeeni ila kumbukeni kuna kaswende sugu (syphilis), kuna watu imegoma kabisa kuwatoka, kaswende uzuri wake ina kipimo kama cha HIV, ukimpima mwenzio hiv mpime na kaswende, ile kitu sio poa, sasa hii kaswende kwa mwanaume huwa haionekani chap kama mwanamke, yaani wao huwahi pata dalili, ina dawa yake moja inaitwa Benzathine penicillin aka Penadu, maumivu yake sio ya nchi hii, dawa nzito kama uji ikiingia kwenye nyama inawaka moto
 
Wahuni mnapitia.....
 
Eti sio POPOMA
 
Naomba jibu maana kuna harufu lazima ikukimbize au ulikua na mafua ?
Hata Kama Ni mafua, k iliyooza harufu yake Ni tofauti kabisa na Ile harufu natural ya k ambayo inamvuto.
Kama umeshawahi kununua samaki wabichi halafu ukawasahau kwenye buti ya gari Kama siku tatu hivi, hiyo harufu yake ndio harufu ya k gonjwa.
 
Umelamba uvundo wa k ? Aah cumamake wallah ungepata gono ya mdomo
Gono ya mdomo alipata. Sema gono linaonekana fasta kwenye abdala kichwa wazi kabla ya mdomoni. Alivyotibiwa sehemu zote zilipona pamoja. Sema tu MTU mwenye gono mdomoni anatoa harufu mbaya Sana mdomoni. Hii inawakumba wadada wenye tamaa wanaokimbilia kula koni kwa watu wasio na uhakika nao. Kuna jingine la msalani, kwa wadada wanaotoa tigo. Wapenzi wengi wa tigo hawavaagi Kinga Ile kuusikilizia utamu vzr matokeo yake unamkuta mdada amekaa kimtindo kwenye siti ya daladala na wepesi wa kupisha wazee kwenye siti.
 
Ukapigwa sindano ya ng'ombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…