Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Mwanamke ukinitongoza tegemea kunikosa " mademu kibao nishawachomolea " Sababu ambazo huwa zinapelekea kuwakataa ke wanaonitongoza ni

(1)huyu demu amenipendea nini hasa
(2)vp kama kuna kitu special pengne amelenga naweza kuwa nacho kumbe siko nacho si ndo atanidharau.

Nikiwazaga hivyo basi huwa najikuta feeling zinakata kabisa.. acha aendelee kunitamani na kuniona special siku zote
 
hahahahahahaaaa ukabaki umetumbua mimacho noma sanaaa
Hla vp ulienda?
 
Dah kweli tumeshaingia ndani ya kizazi cha njaa!!!
 
Mtumishi ungekua karibu unge wambwa makofi na fimbo nyingi, usha haribu uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtumishi mkulungwa alituaibisha sana eti mkuu?
 
hako kaupepo mbona Mimi hakajawahi kunitokea!
You don't make them to do it! Mbona kitu chakawaida sana mkuu mi hata siwezi kushuku chochote coz nishazoea! Ila sio kwamba najisifu ila Ni muhanga wa hilo tena zaidi ya mara moja!.. binafsi naonaga tu human expression hata siwezi mchukulia malaya!.

We ishi tu kawaida usiexpect hicho kitu pia usiwe serious sanaa! Usikute wapo ila namna ya kukuingia Sasa shughuli!.. wengine wanakuja kukuangalia tu yaliyomo yamo..😂
Chase your dreams they'll chase you.😃
 
Kutongozwa na wadada ni kawaida katika maisha yangu..
Hasahasa enzi za ujana kabisa.
Wako niliowachomolea wako niliowakubalia.

Sion cha ajabu kila mtu ana haki ya kusema hisia zake.
Nikianza kusimulia visa ni vingi sana.

Shida ni wale ninaowataka mimi,wengi wananichomolea za mbavuni kinomanoma.
 
Kyai kya rangi...
 
Nawapenda Halima, Aisha, Rehema na Winfrida ni experience nzuri sana sana walinipenda wakanitaka nikawakubali na kuwapea na viuno hatari kama BilekuMpasi wa Empire Bakuba hadi leo wanakumbuka ni mabest wa kawaida na wameolewa, Balaa kuna huyu Mnyamwezi Binti Mwasi ndoo balaa alimuacha msela wake na mabest wa msela nikapewa ufinyio wa ndani.

Rip Sembuche hesabu ndio mpango mzima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee et njoo geto tuone tunfanyaje !
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16]
 
Safii kaka kwa kuotea mchongo
Huwenda Mungu amekuonesha sehem ya kutokea baada ya kuona mkeo analeta wengee.

Endelea kudambua utaam
Japo baharia hapa sijawahi otea shavu kama hilo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…