Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Habari zenu wadau, nadhani nisipoteze muda ,
Hapa kijiweni vatcan usiku wa jana kumetokea matukio mawili ya kutudharirisha wanaume,
Jamaa flani akiwa amevalia jezi ya yanga hana hili wala lile anatafakari azame chimbo gani akapate ulabu mara paap anashangaa baamedi mwenye wese la kutisa analivaibureti kama wale dancer wa snura kwenye wimbo wa chura jamaa akabaki kaduwaa tu manake almost kila mtu alikuwa akitazama tukio hilo,
Tukio la pili demu mwingine kamkuta jamaa anasubiri msosi wake wa nyama ya kuku alioutolea oda uive asepe mara kanakuja kademu kamevaa nusu uchi kanaanza kujinyonga nyonga huku kaki force near body to body contact jamaa akaduwaa na kuanza kujiuliza hiki nini jamani ila eventually jamaa alichukua msosi wake na kusepa zake,
Sielewi wanawake wanatuchukuliaje manake huku ni kutudhalilisha ni kama vile SWALA amkimbize SIMBA .
UZI TAYARI.
Hapa kijiweni vatcan usiku wa jana kumetokea matukio mawili ya kutudharirisha wanaume,
Jamaa flani akiwa amevalia jezi ya yanga hana hili wala lile anatafakari azame chimbo gani akapate ulabu mara paap anashangaa baamedi mwenye wese la kutisa analivaibureti kama wale dancer wa snura kwenye wimbo wa chura jamaa akabaki kaduwaa tu manake almost kila mtu alikuwa akitazama tukio hilo,
Tukio la pili demu mwingine kamkuta jamaa anasubiri msosi wake wa nyama ya kuku alioutolea oda uive asepe mara kanakuja kademu kamevaa nusu uchi kanaanza kujinyonga nyonga huku kaki force near body to body contact jamaa akaduwaa na kuanza kujiuliza hiki nini jamani ila eventually jamaa alichukua msosi wake na kusepa zake,
Sielewi wanawake wanatuchukuliaje manake huku ni kutudhalilisha ni kama vile SWALA amkimbize SIMBA .
UZI TAYARI.