Wanaume tunakumbushana kuelekea msimu huu wa sikukuu. Kama wewe huwa unafanya hivi basi ni mpumbavu

Wanaume tunakumbushana kuelekea msimu huu wa sikukuu. Kama wewe huwa unafanya hivi basi ni mpumbavu

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Huu ndio uhalisia wa wanaume wengi wapumbavu kwenye mahusiano na girlfriends au wapenzi wao

Kwenye birthday ya mwanamke mwanaume mpumbavu ndiye humgharamia atamnunulia wig au salon n.k. Kwenye birthday yake malaya hamnunulii zawadi yoyote. Anaishia tu kumuwish bday then she only opens legs for him.

Kwenye sikukuu kama Christmas au Eid n.k mwanaume yuleyule mpumbavu ndiye humgharamia nguo ya sikukuu. Zawadi ya malaya anampa K

Kwenye Valentine Day, bado mwanaume mpumbavu atagharamia outing na mazagazaga mengine. Zawadi ya gf wake ni kumpea mbususu.

Kwenye mwaka mpya tena mwanaume yuleyule mjinga atapigwa vizinga. Malaya hana cha kumpa zaidi ya kumchanulia mapaja

Kwenye special occassions kama anniversary tena mwanaume mpumbavu ndiye atakayeingia gharama ya mambo yote kama zawadi. Kademu kake kanampa tena sex.

Christmas hii na matukio mengine ya mbeleni acha ujinga wewe simp usimnunulie zawadi. Kwa nini ujile kwenye penzi la upande mmoja.

HARD FACT: Ukweli ni kwamba wanawake wana pesa, lakini wanachagua tu kuzitumia kwa vitu au watu wanaowapenda.

Ikiwa unajiona kuwa wewe pekee ambaye unampa zawadi katika uhusiano, ujue tu inatosha kusema kuwa unadate mwenyewe au na malaya.

Mwanamke siyo kiumbe pekee ambaye anastahili kupewa zawadi hata wewe pia mwanaume unastahili kupokea zawadi kutoka kwa mpenzi wako.

Msimu huu hakupi zawadi na wewe usimpe zawadi wala pesa.

If she gifts you, gift her. If she spends on you, spend on her. If she tells you she's broke, tell her you are broke too.

Love is giving from both sides and not from only one side

Nothing more! Nothing less!


Learn or Perish
 
Inasikitisha sana kuona kuna wanaume wengine wanakimbilia kuwanunulia girlfriends zao zawadi halafu ndugu zao na wazazi wanastruggle kufurahia misimu ya sikukuu

Big shame, may that gf of you, leave when you go broke

Dont be like those men

Be wise! Charity begins at home
 
Huu ndio uhalisia wa wanaume wengi wapumbavu kwenye mahusiano na girlfriends au wapenzi wao

Kwenye birthday ya mwanamke mwanaume mpumbavu ndiye humgharamia atamnunulia wig au salon n.k. Kwenye birthday yake malaya hamnunulii zawadi yoyote. Anaishia tu kumuwish bday then she only opens legs for him.

Kwenye sikukuu kama Christmas au Eid n.k mwanaume yuleyule mpumbavu ndiye humgharamia nguo ya sikukuu. Zawadi ya malaya anampa K

Kwenye Valentine Day, bado mwanaume mpumbavu atagharamia outing na mazagazaga mengine. Zawadi ya gf wake ni kumpea mbususu.

Kwenye mwaka mpya tena mwanaume yuleyule mjinga atapigwa vizinga. Malaya hana cha kumpa zaidi ya kumchanulia mapaja

Kwenye special occassions kama anniversary tena mwanaume mpumbavu ndiye atakayeingia gharama ya mambo yote kama zawadi. Kademu kake kanampa tena sex.

Christmas hii na matukio mengine ya mbeleni acha ujinga wewe simp usimnunulie zawadi. Kwa nini ujile kwenye penzi la upande mmoja.

HARD FACT: Ukweli ni kwamba wanawake wana pesa, lakini wanachagua tu kuzitumia kwa vitu au watu wanaowapenda.

Ikiwa unajiona kuwa wewe pekee ambaye unampa zawadi katika uhusiano, ujue tu inatosha kusema kuwa unadate mwenyewe au na malaya.

Mwanamke siyo kiumbe pekee ambaye anastahili kupewa zawadi hata wewe pia mwanaume unastahili kupokea zawadi kutoka kwa mpenzi wako.

Msimu huu hakupi zawadi na wewe usimpe zawadi wala pesa.

If she gifts you, gift her. If she spends on you, spend on her. If she tells you she's broke, tell her you are broke, too.

Love is giving from both sides and not from only one side

Nothing more! Nothing less!


Learn or Perish
Nakubaliana nawe. Kwa vile umeyafanya na kuthibitisha upumbavu wako, nashukuru unawaonya wenzio japo madai yako ni too geneeral so to speak mwanangu.
 
Huu ndio uhalisia wa wanaume wengi wapumbavu kwenye mahusiano na girlfriends au wapenzi wao

Kwenye birthday ya mwanamke mwanaume mpumbavu ndiye humgharamia atamnunulia wig au salon n.k. Kwenye birthday yake malaya hamnunulii zawadi yoyote. Anaishia tu kumuwish bday then she only opens legs for him.

Kwenye sikukuu kama Christmas au Eid n.k mwanaume yuleyule mpumbavu ndiye humgharamia nguo ya sikukuu. Zawadi ya malaya anampa K

Kwenye Valentine Day, bado mwanaume mpumbavu atagharamia outing na mazagazaga mengine. Zawadi ya gf wake ni kumpea mbususu.

Kwenye mwaka mpya tena mwanaume yuleyule mjinga atapigwa vizinga. Malaya hana cha kumpa zaidi ya kumchanulia mapaja

Kwenye special occassions kama anniversary tena mwanaume mpumbavu ndiye atakayeingia gharama ya mambo yote kama zawadi. Kademu kake kanampa tena sex.

Christmas hii na matukio mengine ya mbeleni acha ujinga wewe simp usimnunulie zawadi. Kwa nini ujile kwenye penzi la upande mmoja.

HARD FACT: Ukweli ni kwamba wanawake wana pesa, lakini wanachagua tu kuzitumia kwa vitu au watu wanaowapenda.

Ikiwa unajiona kuwa wewe pekee ambaye unampa zawadi katika uhusiano, ujue tu inatosha kusema kuwa unadate mwenyewe au na malaya.

Mwanamke siyo kiumbe pekee ambaye anastahili kupewa zawadi hata wewe pia mwanaume unastahili kupokea zawadi kutoka kwa mpenzi wako.

Msimu huu hakupi zawadi na wewe usimpe zawadi wala pesa.

If she gifts you, gift her. If she spends on you, spend on her. If she tells you she's broke, tell her you are broke, too.

Love is giving from both sides and not from only one side

Nothing more! Nothing less!


Learn or Perish
Well said
 
Ni huzunii kwakwelii
FB_IMG_1733940721388.jpg
 
Back
Top Bottom